kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Kwani aliyempangua JPM ni Gwajima au Shoo..?Samahani, hayo yanahusiana vipi na ufufuko? Ya kaisari tumwachie kaisari. Leo siku muhimu, pangua pangua ni kazi ya mama Samia si ya YESU. Leo tungeelezana habari za ufufuo.
Kwakuwa upo rohoni mwake utakuwa unajuaKwaiyo amchague Mbowe, Mnyika, Sugu wawe RC?
Naona akili zako ndogo uwakatae hao au achague wengine lakini awatoki nje ya CCM, aidha walipelekwa upinzani kwa kazi maalumu au watoke ndani ya CCM ndio wanapewa UONGOZI.
Na mama atabaki kuwa MWANACCM si vingine
Ukweli ndiyo huoKwani aliyempangua JPM ni Gwajima au Shoo..?
Mungu humtumia mtu kuwaponya watu, usijefanya ujinga ukitegemea hakuna wakukutoa kwenye nafasi.. NO
Kuwa muelewa na wewe...Kwaiyo amchague Mbowe, Mnyika, Sugu wawe RC?
Naona akili zako ndogo uwakatae hao au achague wengine lakini awatoki nje ya CCM, aidha walipelekwa upinzani kwa kazi maalumu au watoke ndani ya CCM ndio wanapewa UONGOZI.
Na mama atabaki kuwa MWANACCM si vingine
Semeni yoote mpendavyo ila watanzania wanachofurahi ni kuwa watu hatari kama nyinyi MATAGA mmefurushwa kutoka kuta za jengo kuuNa kuna mahali Magu alikuwa Askofu?
Kuna tofauti kubwa kati yao.
Umeonaeeeeeee[emoji23][emoji23][emoji23]Mazezeta wa lumumba ni kiumbe wa ajabu sana wanasahau hata walichokiropoka sekunde mbili nyuma [emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]
Jidanganye hivyo hivyo, hata akibadilisha VIONGOZI atochagua nje ya CCM.Kwakuwa upo rohoni mwake utakuwa unajua
Huyu sindiye yule alikuwa dc hai akaharibu shamba la mtanzania mwenzake kisa tu yeye siyo mwana ccm?Byakwanwa- RC Mtwara
Ndani ya ccm bado watakuwepo watu wenye utu na ubinadamu ingawa walikuwa hawapendwi kwa kwa wanajitofautisha na wenye roho za kinyama.Jidanganye hivyo hivyo, hata akibadilisha VIONGOZI atochagua nje ya CCM.
Madhehebu mengi ya Tanzania yahubiri Siasa ,badala ya dini.Kweli wakoloni walikuja kwa njia ya dini.#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
Sikushangai kwa matusi maana moja ya sera zenu uvccm ni kutukanaSawa Da Maria Sarungi
Na sisi tutaendelea kuwaombea corona iwatafune na safari hii itaanza na weweZama za kuitwa ikulu kwenda kushangaa tausi na kula visheti vya hiriki zilishapita. Mtaendelea kufinyangwa mpaka muujue uzalendo wa nchi hii.
Viongozi wadini sio raia..?Madhehebu mengi ya Tanzania yahubiri Siasa ,badala ya dini.Kweli wakoloni walikuja kwa njia ya dini.
Achana nae bado ana hasira juu ya kifo cha yule mshambaSikushangai kwa matusi maana moja ya sera zenu uvccm ni kutukana
#HABARI Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Frederick Shoo amesema wale wote waliokuwa wanajifanya vifutu, kwa sasa chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, wakae mguu sawa, wakae tayari./https://bit.ly/3sR1WwS
NB:
Kwa kusaidia niwataje tu vifutu ili kumraisishia Rais wetu kazi...
1. Dr. Bashiru - Huyu Rais kashafanya kazi nzuri sana. Na tayari jana karudi home kwake Msewe.... Wiki hii ndio atanunua gari lake binafsi
2. Chalamila - RC Mbeya
3. Ole Sabaya
4. Salum Hapi
5. Pole Pole
6. Mpogolo
7. Jafo - Tayari kaporomoshwa
8 Doto James
9.
10.
Kwani aliyempangua JPM ni Gwajima au Shoo..?
Mungu humtumia mtu kuwaponya watu, usijefanya ujinga ukitegemea hakuna wakukutoa kwenye nafasi.. NO
Jipeni tu moyo kwa hii half time rudini dakika 45 zilizobakia tuwanyooshe. Yote yalifanywa na Hayati yalikuwa chini ya mamlaka ya rais, CCM ndio chama tawala na ilani ni ile Ile.
Bwana ametoa, bwana ametwa eeh mungu umpe mpendwa wetu raha ya milele
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]