Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo alikua anakaa chini?Hivi magufuli alitembea na kitu chake
Nikuambie mara ngapi kuwa mimi sio Bavicha?Wewe Bavicha hovyo kabisa!
Watanzania wengi ni watu wanaoweza kukubali kuibiwa kura mtu akachukua urais isivyo halali, halafu akachukua mic altare kanisani na kujiweka juu katika mimbari ya kanisa.
Akazuia mikutano ya kisiasa inayokubalika kikatiba. Akapiga risasi wapinzani.
Halafu wakakataa rais kuingia na kiti chake kanisani.
A very peculiar bunch.
Kilaini anajulikana kwa kuegemea kwa watawala hadi kuna kipindi alidai mtu fulani alikuwa chaguo la Mungu, kwa hiyo siwezi kumshangaa kutetea jambo kama hilo. Mwenye mamlaka ndani ya hekalu ambaye anamwakilisha Mungu ni Kuhani Mkuu ambaye mbali na kukalia kiti maalumu, pia hata mavazi yake ni maalumu, halafu wanafuata makuhani wengine, watumishi hadi waumini wa kawaida. Atuwekee maandiko hapa kama ndani ya hekalu lililojengwa na mfalme Suleiman, mfalme alikuwa na kiti chake juu ya kiti cha Kuhani Mkuu ili aweze kutuaminisha kwamba ilikuwa sahihi rais kuingia na kiti chake kanisani.
Anatoa utetezi wa kinadharia bila kufanya reference kwenye maandiko........Sikutegemea Kilaini kuongea tofauti na alichoongea. bila backing ya kimaandiko....
Usifananishe mtu wa kawaida anayebeba kiti kutoka nyumbani kwake na rais ambaye kiti chake kinabeba mamlaka......hii kwa maana nyingine ni kwamba rais anapeleka mamlaka yake hekaluni.Huu mjadala hauna afya tangu lini walatoliki wakazuia mtu kwenda na kiti chake kama anataka, tumeona wengi tu wamaenda na viti vyao husisani watu wenye umri mkubwa.
We kweli kijakazi, hujui kabisa km ulimchagua Samia? Tuna safari ndefu.Labda tungemuuliza huyo Baba Askofu ni lini alimchagua huyo Kiongozi anayemsema? Nijuavyo mimi Viongozi wa watu huchaguliwa hata Papa mwenyewe hupigiwa kura!
Anatoa utetezi wa kinadharia bila kufanya reference kwenye maandiko........
Wakati naogelea pale Kilimanjaro hotel Swimming pool Mwenyekiti wako Mbowe alikuwa Mlinzi pale BOTNikuambie mara ngapi kuwa mimi sio Bavicha?
Nimejiunga na Chadema 1997 na kushiriki mkutano mkuu wa kumchagua Bob Makani kuwa mwenyekiti leo nitakuwaje Bavicha?
Ninauhakika mwaka huo lazima utakuwa hata mjini hujafika maana pengine unachunga mbuzi huko Nanjilinji kwenu.
🤣🤣
Labda tungemuuliza huyo Baba Askofu ni lini alimchagua huyo Kiongozi anayemsema? Nijuavyo mimi Viongozi wa watu huchaguliwa hata Papa mwenyewe hupigiwa kura!
mradi kaapishwa ndio anakuwa kiongozi
Baba Askofu umejichanganya.Wapendwa, nimeona mjadala juu ya kiti cha Rais na nikaonelea nitoe maelezo kidogo. Kanisa katika protocol zake inatambua na kuwaheshimu viongozi katika hadhi zao mbali mbali.
Hii protocol siyo ya sasa au jana ni ya miaka mingi. Rais ni kiongozi wa nchi hivyo hadhi yake ni hadhi ya nchi siyo yake binafsi.
Kwa sababu ya unyenyekevu wa viongozi wetu, kiti cha Rais kilikuwa kumebanwa kati ya mabenchi amezungukwa na masista na watu wengine. Kikawaida ingebidi sehemu moja ya kanisa benchi ziondolewe na kipangwe kiti chake rasmi na wapambe wake.
Hiyo ndiyo protocol halisi ya Mkuu wa Nchi anayekuja rasmi kwa dhifa ya kitaifa kama Rais wetu alivyokuja kwa kumbukumbu ya kitaifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hiyo si heshima kwake bali kwa nchi. Hewala si utumwa, tukikosa heshima kwa viongozi wetu tutakosa heshima hata nyumbani mwetu.
Tunatoa shukrani nyingi kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine wa Taifa kuungana nasi katika ibada ya kumwombea Baba wa Taifa. Ni jambo jema sana.
Hata kanisani tunaheshimu siyo mtu binafsi lakini nafasi yake anayoishika. Kwa mfano Kardinali akiwa yeye haongozi ibada hakai pembeni na maaskofu wengine bali anapewa kiti maalumu kwa heshima yake. Unashukuru wat wa Itifaki ya Ikulu waliotuazima viti walau tukatoa heshima hiyo ndogo kwa mgeni wetu maalumu wa siku hiyo.
Ndugu zangu nimeona nitoe maelezo hayo kwa sababu niliona hoja inakua bila kutazama protocol za kanisa na heshima zake. Vile vile hakuna katazo kiti Fulani kisiingie kanisani ndiyo sababu unaona hata viti vya plastic vinavyotumika sehemu nyingine vinawekwa kanisani watu wakiwa wengi.
Nachukua fursa hii kuwashukuru waamini wa Bukoba Kanisa Kuu na parokia Jirani kwa kuungana nasi kwa wingi kumwombea Baba wa taifa. Mungu awabariki.
Askofu Method Kilaini
Ulishatwambia kwamba Kikwete alikuwa chaguo la Mungu.Kwenye mgao wa ESCROW napo ukapiga.Wapendwa, nimeona mjadala juu ya kiti cha Rais na nikaonelea nitoe maelezo kidogo. Kanisa katika protocol zake inatambua na kuwaheshimu viongozi katika hadhi zao mbali mbali.
Hii protocol siyo ya sasa au jana ni ya miaka mingi. Rais ni kiongozi wa nchi hivyo hadhi yake ni hadhi ya nchi siyo yake binafsi.
Kwa sababu ya unyenyekevu wa viongozi wetu, kiti cha Rais kilikuwa kumebanwa kati ya mabenchi amezungukwa na masista na watu wengine. Kikawaida ingebidi sehemu moja ya kanisa benchi ziondolewe na kipangwe kiti chake rasmi na wapambe wake.
Hiyo ndiyo protocol halisi ya Mkuu wa Nchi anayekuja rasmi kwa dhifa ya kitaifa kama Rais wetu alivyokuja kwa kumbukumbu ya kitaifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hiyo si heshima kwake bali kwa nchi. Hewala si utumwa, tukikosa heshima kwa viongozi wetu tutakosa heshima hata nyumbani mwetu.
Tunatoa shukrani nyingi kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine wa Taifa kuungana nasi katika ibada ya kumwombea Baba wa Taifa. Ni jambo jema sana.
Hata kanisani tunaheshimu siyo mtu binafsi lakini nafasi yake anayoishika. Kwa mfano Kardinali akiwa yeye haongozi ibada hakai pembeni na maaskofu wengine bali anapewa kiti maalumu kwa heshima yake. Unashukuru wat wa Itifaki ya Ikulu waliotuazima viti walau tukatoa heshima hiyo ndogo kwa mgeni wetu maalumu wa siku hiyo.
Ndugu zangu nimeona nitoe maelezo hayo kwa sababu niliona hoja inakua bila kutazama protocol za kanisa na heshima zake. Vile vile hakuna katazo kiti Fulani kisiingie kanisani ndiyo sababu unaona hata viti vya plastic vinavyotumika sehemu nyingine vinawekwa kanisani watu wakiwa wengi.
Nachukua fursa hii kuwashukuru waamini wa Bukoba Kanisa Kuu na parokia Jirani kwa kuungana nasi kwa wingi kumwombea Baba wa taifa. Mungu awabariki.
Askofu Method Kilaini
Na pia alisema Kikwete ni chaguo la Mungu.Askofu huyu alipewa mgao wa milioni 80 na Rugemalira enzi zileee.
Hana sifa za uaskofu huyu. Ni mlamba viatu wa watawala na mlamba rushwa mkubwa.