Askofu wa Katoliki Jimbo la Bukoba atetea uwepo wa kiti cha Rais Kanisani

Askofu wa Katoliki Jimbo la Bukoba atetea uwepo wa kiti cha Rais Kanisani

Baada ya hapa harutomuamin tena
Askofu huyu alipewa mgao wa milioni 80 na Rugemalira enzi zileee.

Hana sifa za uaskofu huyu. Ni mlamba viatu wa watawala na mlamba rushwa mkubwa.
 
Kiti cha urais hakipashwi kuletwa kanisani!
Unatetea "utukufu" wa Rais /mwanadamu mbele ya utukufu wa Mungu! Hapa umepotoka kiasi kikubwa. mambo mengine jinyamazie! Umekengeuka!
Hilo linalojiita kanisa katoliki halina uhusiano na Mungu.Ni utawala wa kidunia kama zilivyotawala zingine.Wao hushirikiana na watawala kuwapumbaza wanadamu na Kisha kuwabaka,kuwanajisi,kuwaibia nk .Katika mapinduzi ya Ufaransa 1789,hawa waliangukiwa na kitu kizito .Wao na mabwanyenye washirika wao,walichinjwa kama kuku.
 
Mambo mengine ni utashi tu wa mtu mwenyewe.

Kama mhusika angekuwa reasonable enough angekataa huo utaratibu wa kuwekewa likiti kuubwa ndani ya Nyumba ya Mungu.

Kwakua amejikuza na kutaka kujilinganisha na anayetoa mamlaka.

Mamlaka ya juu itashuhulika na utawala wake.
 
Askofu huyu alipewa mgao wa milioni 80 na Rugemalira enzi zileee.

Hana sifa za uaskofu huyu. Ni mlamba viatu wa watawala na mlamba rushwa mkubwa.

Zero na ndio tatizo wa Watu wapumbavu, hawana heshima na nguvu ya Hoja . Unatafuta ushindi kwa kuhamisha hoja. Ukweli ni Ukweli haujalishi msemaji msikilizaji msomaji au watu kama wewe.
 
We askofu !Acha kutetea UJINGA!

Mama anahofu juu ya jambo fulani ambalo mimi na wewe hatulijui!!

Na hofu yake inazidisha hofu zaidi KWA wenye akili timamu kuliko wajinga!

Kuanzia msumbiji kwenye wine,hadi kanisani ni dhahiri shahiri mama haamini Mtu kamwe!!

Usalama wake wa hicho anachokiogopa ni kuachia kinachowindwa na wawindaji wake!!

MAMA ANAHOFU!NDICHO NINACHOJIFUNZA MIMI!!
 
Wapendwa, nimeona mjadala juu ya kiti cha Rais na nikaonelea nitoe maelezo kidogo. Kanisa katika protocol zake inatambua na kuwaheshimu viongozi katika hadhi zao mbali mbali.

Hii protocol siyo ya sasa au jana ni ya miaka mingi. Rais ni kiongozi wa nchi hivyo hadhi yake ni hadhi ya nchi siyo yake binafsi.

Kwa sababu ya unyenyekevu wa viongozi wetu, kiti cha Rais kilikuwa kumebanwa kati ya mabenchi amezungukwa na masista na watu wengine. Kikawaida ingebidi sehemu moja ya kanisa benchi ziondolewe na kipangwe kiti chake rasmi na wapambe wake.

Hiyo ndiyo protocol halisi ya Mkuu wa Nchi anayekuja rasmi kwa dhifa ya kitaifa kama Rais wetu alivyokuja kwa kumbukumbu ya kitaifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hiyo si heshima kwake bali kwa nchi. Hewala si utumwa, tukikosa heshima kwa viongozi wetu tutakosa heshima hata nyumbani mwetu.

Tunatoa shukrani nyingi kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine wa Taifa kuungana nasi katika ibada ya kumwombea Baba wa Taifa. Ni jambo jema sana.

Hata kanisani tunaheshimu siyo mtu binafsi lakini nafasi yake anayoishika. Kwa mfano Kardinali akiwa yeye haongozi ibada hakai pembeni na maaskofu wengine bali anapewa kiti maalumu kwa heshima yake. Unashukuru wat wa Itifaki ya Ikulu waliotuazima viti walau tukatoa heshima hiyo ndogo kwa mgeni wetu maalumu wa siku hiyo.

Ndugu zangu nimeona nitoe maelezo hayo kwa sababu niliona hoja inakua bila kutazama protocol za kanisa na heshima zake. Vile vile hakuna katazo kiti Fulani kisiingie kanisani ndiyo sababu unaona hata viti vya plastic vinavyotumika sehemu nyingine vinawekwa kanisani watu wakiwa wengi.

Nachukua fursa hii kuwashukuru waamini wa Bukoba Kanisa Kuu na parokia Jirani kwa kuungana nasi kwa wingi kumwombea Baba wa taifa. Mungu awabariki.

Askofu Method Kilaini
Kilaini acha siasa zako, Yesu alipokuwa akiingia kwenye ibada hakutaka wala kuomba apewe nafasi ya kipekee. Sasa kati ya Yesu na Samia nani zaidi?
 
Zero na ndio tatizo wa Watu wapumbavu, hawana heshima na nguvu ya Hoja . Unatafuta ushindi kwa kuhamisha hoja. Ukweli ni Ukweli haujalishi msemaji msikilizaji msomaji au watu kama wewe.
Mjinga umeoa kioja huku ukijipa moyo kuwa umetoa hoja.
 
Mkuu Kiranga hakuna mtu anayekubali kuibiwa kura, labda uweke sentensi yako vyema. Huyo mwizi wa kura huko altareni haingii kwa ridhaa ya aliowabia kura, bali madaraka yake yanaweza kumuingiza humo.

Anaweza kupiga marufuku mikutano ya kisiasa maana anaagiza vyombo vya dola kuzuia hiyo mikutano, na hakuna mahakama zenye nguvu unazoweza kupeleka shtaka likaenda kinyume na utashi wa mwenye madaraka. Wapinzani wanaweza kupigwa risasi maana wapinzani hawana silaha, hivyo hawana la kufanya labda wajaribu kuingia msituni.

Hawakatai rais kuingia na kiti kanisani, bali wanakosoa rais kujipa utukufu usio na sababu yoyote, huku wakiwa wameingia madarakani kwa njia za wizi. Ingekuwa wamezuia rais kuingia na kiti kanisani wangeenda nje ya hilo kanisa na kuzuia.
First things first.

Kama kura zimeibiwa, na walioiba kura bado wako madarakani, Watanzania wote wanaoamini wameibiwa kura amekubali kuibiwa kura.

Vinginevyo wangewatoa hao walioiba kura.

Full stop.
 
Church.
Screenshot_20221016-133903_Google.jpg
Screenshot_20221016-133839_Google.jpg
Screenshot_20221016-133813_Google.jpg
 
First things first.

Kama kura zimeibiwa, na walioiba kura bado wako madarakani, Watanzania wote wanaoamini wameibiwa kura amekubali kuibiwa kura.

Vinginevyo wangewatoa hao walioiba kura.

Full stop.

Wanaoiba kura wana Backup ya vyombo vya dola, walioibiwa wameshika makali na sio kila mmoja anaweza kupambana kunakoweza kupelekea kupoteza uhai.
 
Wapendwa, nimeona mjadala juu ya kiti cha Rais na nikaonelea nitoe maelezo kidogo. Kanisa katika protocol zake inatambua na kuwaheshimu viongozi katika hadhi zao mbali mbali.

Hii protocol siyo ya sasa au jana ni ya miaka mingi. Rais ni kiongozi wa nchi hivyo hadhi yake ni hadhi ya nchi siyo yake binafsi.

Kwa sababu ya unyenyekevu wa viongozi wetu, kiti cha Rais kilikuwa kumebanwa kati ya mabenchi amezungukwa na masista na watu wengine. Kikawaida ingebidi sehemu moja ya kanisa benchi ziondolewe na kipangwe kiti chake rasmi na wapambe wake.

Hiyo ndiyo protocol halisi ya Mkuu wa Nchi anayekuja rasmi kwa dhifa ya kitaifa kama Rais wetu alivyokuja kwa kumbukumbu ya kitaifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hiyo si heshima kwake bali kwa nchi. Hewala si utumwa, tukikosa heshima kwa viongozi wetu tutakosa heshima hata nyumbani mwetu.

Tunatoa shukrani nyingi kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine wa Taifa kuungana nasi katika ibada ya kumwombea Baba wa Taifa. Ni jambo jema sana.

Hata kanisani tunaheshimu siyo mtu binafsi lakini nafasi yake anayoishika. Kwa mfano Kardinali akiwa yeye haongozi ibada hakai pembeni na maaskofu wengine bali anapewa kiti maalumu kwa heshima yake. Unashukuru wat wa Itifaki ya Ikulu waliotuazima viti walau tukatoa heshima hiyo ndogo kwa mgeni wetu maalumu wa siku hiyo.

Ndugu zangu nimeona nitoe maelezo hayo kwa sababu niliona hoja inakua bila kutazama protocol za kanisa na heshima zake. Vile vile hakuna katazo kiti Fulani kisiingie kanisani ndiyo sababu unaona hata viti vya plastic vinavyotumika sehemu nyingine vinawekwa kanisani watu wakiwa wengi.

Nachukua fursa hii kuwashukuru waamini wa Bukoba Kanisa Kuu na parokia Jirani kwa kuungana nasi kwa wingi kumwombea Baba wa taifa. Mungu awabariki.

Askofu Method Kilaini
Haya ni maoni ya Kilaini siyo maoni ya Kanisa Katoliki.
 
Wanaoiba kura wana Backup ya vyombo vya dola, walioibiwa wameshika makali na sio kila mmoja anaweza kupambana kunakoweza kupelekea kupoteza uhai.
Sawa. Lakini sehemu zote walizofanya mabadiliko kwani waliofanya mabadiliko walikuwa na dola?
 
Wapendwa, nimeona mjadala juu ya kiti cha Rais na nikaonelea nitoe maelezo kidogo. Kanisa katika protocol zake inatambua na kuwaheshimu viongozi katika hadhi zao mbali mbali.

Hii protocol siyo ya sasa au jana ni ya miaka mingi. Rais ni kiongozi wa nchi hivyo hadhi yake ni hadhi ya nchi siyo yake binafsi.

Kwa sababu ya unyenyekevu wa viongozi wetu, kiti cha Rais kilikuwa kumebanwa kati ya mabenchi amezungukwa na masista na watu wengine. Kikawaida ingebidi sehemu moja ya kanisa benchi ziondolewe na kipangwe kiti chake rasmi na wapambe wake.

Hiyo ndiyo protocol halisi ya Mkuu wa Nchi anayekuja rasmi kwa dhifa ya kitaifa kama Rais wetu alivyokuja kwa kumbukumbu ya kitaifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Hiyo si heshima kwake bali kwa nchi. Hewala si utumwa, tukikosa heshima kwa viongozi wetu tutakosa heshima hata nyumbani mwetu.

Tunatoa shukrani nyingi kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine wa Taifa kuungana nasi katika ibada ya kumwombea Baba wa Taifa. Ni jambo jema sana.

Hata kanisani tunaheshimu siyo mtu binafsi lakini nafasi yake anayoishika. Kwa mfano Kardinali akiwa yeye haongozi ibada hakai pembeni na maaskofu wengine bali anapewa kiti maalumu kwa heshima yake. Unashukuru wat wa Itifaki ya Ikulu waliotuazima viti walau tukatoa heshima hiyo ndogo kwa mgeni wetu maalumu wa siku hiyo.

Ndugu zangu nimeona nitoe maelezo hayo kwa sababu niliona hoja inakua bila kutazama protocol za kanisa na heshima zake. Vile vile hakuna katazo kiti Fulani kisiingie kanisani ndiyo sababu unaona hata viti vya plastic vinavyotumika sehemu nyingine vinawekwa kanisani watu wakiwa wengi.

Nachukua fursa hii kuwashukuru waamini wa Bukoba Kanisa Kuu na parokia Jirani kwa kuungana nasi kwa wingi kumwombea Baba wa taifa. Mungu awabariki.

Askofu Method Kilaini
Ubarikiwe sana Baba Askofu Kilaini kwa kuweka mambo sawa. Humu jukwaani tunao vijana wengi hivyo mawazo yao bado yanakua na hata ule uzoefu wao kabla hawajachangia mada yoyote huwa una upungufu fulani.
 
Nyerere aliyekuwa mkatoliki kama lile kanisa lililofanya kumbukumbu ya misa yake, lilikuwa likimtengea benchi zima.

Katikati anakaa yeye, kulia na kushoto kwenye kona kabisa wanakaa walinzi wawili, hiyo ni mwaka 1984 pale Saint Joseph.

Rais Samia na Makamu wake wamekuwa waungwana sana kutumia viti na pembeni yao wakakubali kusimama pembeni ya waumini wengine.
 
Ajikwezae au ajipandishae juuu kwenye madhabahu ya Jehova hushuswaa,kanisa wameamua kufunika kombe tu wazee wavatkan wachora kwa darubini tu
 
Back
Top Bottom