Askofu wa Katoliki Jimbo la Bukoba atetea uwepo wa kiti cha Rais Kanisani

Baba Askofu shukuru tu Wakatoliki hatuna utamaduni wa kubishana vinginevyo tungempopoa!
 
Shida ya viongozi wetu WA dini huwa hawasimamii wanachokiamini Bali wanazungumza Kwa woga, Rais anapokuwa kwenye ibada anakuwa chin ya kiongozi WA ibada na anafuata masharti ndio maana hata akienda msikitin lazma avue viatu,hawez kusali na viatu Kwa kuwa ni Rais,
 
Wewe Bavicha hovyo kabisa!
Nikuambie mara ngapi kuwa mimi sio Bavicha?
Nimejiunga na Chadema 1997 na kushiriki mkutano mkuu wa kumchagua Bob Makani kuwa mwenyekiti leo nitakuwaje Bavicha?
Ninauhakika mwaka huo lazima utakuwa hata mjini hujafika maana pengine unachunga mbuzi huko Nanjilinji kwenu.
🤣🤣
 
Kilaini anajulikana kwa kuegemea kwa watawala hadi kuna kipindi alidai mtu fulani alikuwa chaguo la Mungu, kwa hiyo siwezi kumshangaa kutetea jambo kama hilo. Mwenye mamlaka ndani ya hekalu ambaye anamwakilisha Mungu ni Kuhani Mkuu ambaye mbali na kukalia kiti maalumu, pia hata mavazi yake ni maalumu, halafu wanafuata makuhani wengine, watumishi hadi waumini wa kawaida. Atuwekee maandiko hapa kama ndani ya hekalu lililojengwa na mfalme Suleiman, mfalme alikuwa na kiti chake juu ya kiti cha Kuhani Mkuu ili aweze kutuaminisha kwamba ilikuwa sahihi rais kuingia na kiti chake kanisani.​
 
Huu mjadala hauna afya tangu lini walatoliki wakazuia mtu kwenda na kiti chake kama anataka, tumeona wengi tu wamaenda na viti vyao husisani watu wenye umri mkubwa.
 

Mkuu Kiranga hakuna mtu anayekubali kuibiwa kura, labda uweke sentensi yako vyema. Huyo mwizi wa kura huko altareni haingii kwa ridhaa ya aliowabia kura, bali madaraka yake yanaweza kumuingiza humo.

Anaweza kupiga marufuku mikutano ya kisiasa maana anaagiza vyombo vya dola kuzuia hiyo mikutano, na hakuna mahakama zenye nguvu unazoweza kupeleka shtaka likaenda kinyume na utashi wa mwenye madaraka. Wapinzani wanaweza kupigwa risasi maana wapinzani hawana silaha, hivyo hawana la kufanya labda wajaribu kuingia msituni.

Hawakatai rais kuingia na kiti kanisani, bali wanakosoa rais kujipa utukufu usio na sababu yoyote, huku wakiwa wameingia madarakani kwa njia za wizi. Ingekuwa wamezuia rais kuingia na kiti kanisani wangeenda nje ya hilo kanisa na kuzuia.
 

Sikutegemea Kilaini kuongea tofauti na alichoongea.
 
Huu mjadala hauna afya tangu lini walatoliki wakazuia mtu kwenda na kiti chake kama anataka, tumeona wengi tu wamaenda na viti vyao husisani watu wenye umri mkubwa.
Usifananishe mtu wa kawaida anayebeba kiti kutoka nyumbani kwake na rais ambaye kiti chake kinabeba mamlaka......hii kwa maana nyingine ni kwamba rais anapeleka mamlaka yake hekaluni.
 
Narudia tena, kupeleka kiti ndani ya nyumba ya ibada ni ulimbukeni.

Mbona hakubeba hicho kiti kule kwenye basi la london?
 
Labda tungemuuliza huyo Baba Askofu ni lini alimchagua huyo Kiongozi anayemsema? Nijuavyo mimi Viongozi wa watu huchaguliwa hata Papa mwenyewe hupigiwa kura!
We kweli kijakazi, hujui kabisa km ulimchagua Samia? Tuna safari ndefu.
 
Wakati naogelea pale Kilimanjaro hotel Swimming pool Mwenyekiti wako Mbowe alikuwa Mlinzi pale BOT

Alikuwa anafungua mlango wa gari ya Gavana na wakati mwingine alitumwa kuwaleta Akina naniliu pale Swimming pool kiulinzi zaidi lakini baadae alivutiwa na kuvuta jiko kabisa

Hapo Ufipa st naweza kuongea na Mrangi tu ndio aliwahi kuja mjini akitokea Kondoa na basi la Siri Yako!
 
Labda tungemuuliza huyo Baba Askofu ni lini alimchagua huyo Kiongozi anayemsema? Nijuavyo mimi Viongozi wa watu huchaguliwa hata Papa mwenyewe hupigiwa kura!

mradi kaapishwa ndio anakuwa kiongozi
 
Baba Askofu umejichanganya.
Ile 80 milioni ulishairudisha?
 
Ulishatwambia kwamba Kikwete alikuwa chaguo la Mungu.Kwenye mgao wa ESCROW napo ukapiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…