Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Naamini Kimaro siyo mjinga!
 
Kanisa limesoma upepo ndani ya siku hizo 60 likaona show iishe namna hiyo
 
Kwani alipoomba msamaha ..alisema anaomba tu msamaha bila ya kutaka kosa lake??

Basi huk sio msamaha .. .. Safi ..chinyango tu!
 
Pamojaamkuu tumalizanee naamzembee kwanza
Maombiyakooo
 
Kwani alipoomba msamaha ..alisema anaomba tu msamaha bila ya kutaka kosa lake??

Basi huk sio msamaha .. .. Safi ..chinyango tu!
Amesema aliposema Vijana wa kiislamu ni waaminifu baadhi ya Watu walimtafsiri vibaya!
 
Muhimu yameisha na yakiisha yaishe kote ,mpaka huku.
 
Kwa hiyo mmeligeuza kanisa la Kabila la wanyakyusa?
Ulijifunza historia wapi wewe. Uliwahi kuwasikia Rebman na Krapf, ambao ndiyo walilileta kanisa KKKT. Rudi darasani ujifunze tena historia ya makanisa (RC, KKKT, Anglican, SDA, n.k. ili ujuwe hayo makanisa walianzia na kushamiri wapi. Utashangaa kusikia Bagamoyo ndiyo kitovu cha Ukristu Afrika Mashariki na siyo Mwakaleli wala Unyayusani kama unavyotudanganya. Ndiyo maana kila Mnyakyusa anadanganya kuwa Mbeya ni Unyakyusani kumbe ni Usafwani!
 
Huyu alimkosea mtu au kanisa? Hadi huyu malasusa ajitokeze au kwa niaba yy huyu malasusa alichemka mangapi akavumiliwa?
 
Vyeti feki vimetokea wapi? Au ndio yale ya mtu ana PhD lakini hawezi kuongea au kuandika sentensi ya kiingereza, na maprofesa waliomsaidia kuandika thesis wote akawapa byeo?
Kuwa na Ph.D. siyo lazima ujue kuandika na kunyoosha sentesi ya Kiingereza. Inategemea hiyo Ph.D. iliandikwa katika lugha gani! Unaweza kuandika Ph.D. kwa lugha zaidi ya 30. Ni sisi tu hapa Afrika ndiyo tunaandika Ph.D. zetu kwa lugha za kigeni..Kiirussi, Kireno, Kiingereza, Kichina, Kifaransa, Kipolandi, Kiholanzi, Kidenishi, Kikikuyu, na Kikurya.
 
Wewe sasa ndiyo unadhihirisha ukabila. siyo kila anayeonekana kuwa upande wa Kimaro ni Mchagga na wa upande wa Mwakjafyale ni Mnyakyusa. Watu wanaandika jinsi wanavyoliona hili jambo. Wewe unaweza kuwa sahihi au mimi ninaweza kuwa sahihi. Yule atayekuwa sahihi hatakuwa sahihi kwa sababu ya kiukabila.
 
Sasa mkuu, hapa wewe na huyu Chiembe ni nani amedhihirisha kwamba yeye ni mkabila?

Nini kinafanya wewe uone kuna mtu anamchukia Dr Malasusa? Kinachokufanya uone kuna jambo la kikabila hapa ni nini?

Baadhi ya watanzania ni wajinga sana, yani sisi tunaona katika misingi na taratibu za kinadhamu za Kanisa lakini kuna wengine mnaona kwenye Ukabila?

Hivi mkuu ukisoma tena ulichoandika huoni hata aibu? Tumia hicho kichwa kufikiri na uache ukabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…