Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Kwa mwenyehekima kuomba msamaha hata kama huna kosa ni kujishusha, jambo ambalo MUngu hupenda. Kuomba msamaha ni kutafuta roho ya mapatano kwa maana hata kama una haki kujikweza hakuleti upendo wa Mungu maana unyenyekevu ni jawabu la roho. Utii ni bora kuliko dhabihu
 
 
Ameomba msamaha kwa makosa yepi? Ni muhimu ili waliokua wanamfuata wajue. Kwa maoni yangu Kimaro alikua akienda kinyume na mafunzo ya kilutheri.

Sisi walutheri ibada zetu zinaongozwa na liturgia yetu yenye msingi wa mafunzo ya martin luther. Waluther original hatupendi mifumo na style za kipentekoste 'kilokole' kochosha waomini kwa makelele na concepts za imani za mtu binafsi badala ya zile za kanisa.
 
Ni sahihi pia kosa la kuchochea vurugu na uasi kanisani. Hekima hakuwa nayo kabisa.
 
Hasa wewe uache ushabiki
 
Msamaha kwa kosa lipi kuwanyima mapato yatokanayo na kigango cha kijitonyama au. Huo ni unafki at its best na katika uislam moja ya kitu kitakachokunyima mbingu ni Unafki na imeandikwa
Sasa kama kawanyima mapato huoni kuwa hilo ni kosa. Kwani ni kanisa lake binafsi? KKKT ni taasisi na Kimaro ni mwajiriwa. Akikiuka taratibu ni lazima aonywe au aadhibiwe. Ondoka na ushabiki wako kanjanja hapa. Ndio kishaomba msamaha, jinyonge sasa.
 
Msamaha kwa kosa lipi kuwanyima mapato yatokanayo na kigango cha kijitonyama au. Huo ni unafki at its best na katika uislam moja ya kitu kitakachokunyima mbingu ni Unafki na imeandikwa

Usitoe conclusion, yeye kaomba msamaha. Aulizwe yeye ameomba msamaha wa Nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…