econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Waache wafu wazikane, hapo ndo mapambano yanaanza, wakimrudisha tu anaanza kujijenga kivita sasa.
Ameomba msamaha hayo mengine uongo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wafu wazikane, hapo ndo mapambano yanaanza, wakimrudisha tu anaanza kujijenga kivita sasa.
Si mlisema Kimaro Yuko sahihi? Kwanini sasa aombe msamaha? Tulikua tunamsubiria March tumsomee mashtaka yake. Hakuna mkubwa aiseeeUfipa st yote kimyaaa!
Mwana kondoo ameshinda
YesAmeomba msamaha hayo mengine uongo tu.
Wewe tulizana hapo ufipa st!Si mlisema Kimaro Yuko sahihi? Kwanini sasa aombe msamaha? Tulikua tunamsubiria March tumsomee mashtaka yake. Hakuna mkubwa aiseee
Sasa magomvi ya chumbani kwanini msamaha wa sebuleni?Magomvi ya chumban unatak kuyajua
Ila huyu jamaa Ataarbu tuu maan amepew koromeo la kiume lakn utashi wa kike
Kosa ganiAlitenda kosa
Muhimu ni msamaha!Huwezi kuwatangazia watu msamaha wa jambo fulani wakati hukuwahi kuwaambia kosa walilolifanya.
Ni kama kuja na majibu wakati hukuwahi kuleta maswali. Huwezi kupokea simu kama hukupigiwa.
Wamfunde pia aache kuponda na kudharau wapentekoste ilhali yeye mwenyewe huendesha ibada kwa mfumo wa kipentekoste na si kilutheriMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote
Askofu Malasusa amemtangazia msamaha
Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi
Source Upendo Tv
Wewe umejuaje hana kosa,sio Kila kitu lazima hao viongozi wawake wake,vingine vinabaki kwa wao wenyewe,kanisa Lina misingi,na taratibu zake.ndio maana tangu mwanzo kosa halijatangazwa Kila mtu anasema lakeKwa mwenyehekima kuomba msamaha hata kama huna kosa ni kujishusha, jambo ambalo MUngu hupenda. Kuomba msamaha ni kutafuta roho ya mapatano kwa maana hata kama una haki kujikweza hakuleti upendo wa Mungu maana unyenyekevu ni jawabu la roho. Utii ni bora kuliko dhabihu
Tulisema lakini, na hili sio suala la ufipaWewe tulizana hapo ufipa st!
Mwambie Mshana jr awe Mpole!Tulisema lakini, na hili sio suala la ufipa
Lovely,glory to GodMchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote
Askofu Malasusa amemtangazia msamaha
Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi
Source: Upendo TV
View attachment 2522599
Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Kosa gani?Alitenda kosa
La kikanisa!Kosa gani?
Hata wewe unajibu kwa kiwango cha chini kiasi hiki?La kikanisa!
Ameomba msamaha kwa Maaskofu Wachungaji na Waumini wa KKKTHata wewe unajibu kwa kiwango cha chini kiasi hiki?
Sikuwahi kujua kwamba alikutwa na makosa gani, hivyo nashindwa kuelewa ameomba msamaha kwa kosa gani?Hatimaye kimeeleweka..