Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Huwezi kuwatangazia watu msamaha wa jambo fulani wakati hukuwahi kuwaambia kosa walilolifanya.

Ni kama kuja na majibu wakati hukuwahi kuleta maswali. Huwezi kupokea simu kama hukupigiwa.
 
Huwezi kuwatangazia watu msamaha wa jambo fulani wakati hukuwahi kuwaambia kosa walilolifanya.

Ni kama kuja na majibu wakati hukuwahi kuleta maswali. Huwezi kupokea simu kama hukupigiwa.
Muhimu ni msamaha!
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote

Askofu Malasusa amemtangazia msamaha

Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo

Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi

Source Upendo Tv
Wamfunde pia aache kuponda na kudharau wapentekoste ilhali yeye mwenyewe huendesha ibada kwa mfumo wa kipentekoste na si kilutheri
 
Kwa mwenyehekima kuomba msamaha hata kama huna kosa ni kujishusha, jambo ambalo MUngu hupenda. Kuomba msamaha ni kutafuta roho ya mapatano kwa maana hata kama una haki kujikweza hakuleti upendo wa Mungu maana unyenyekevu ni jawabu la roho. Utii ni bora kuliko dhabihu
Wewe umejuaje hana kosa,sio Kila kitu lazima hao viongozi wawake wake,vingine vinabaki kwa wao wenyewe,kanisa Lina misingi,na taratibu zake.ndio maana tangu mwanzo kosa halijatangazwa Kila mtu anasema lake
 
Abadilike sasa asilete mambo yake yale.

Kanisa lina misingi yake.

Misingi yake ni kuhubiri injili watu wamjue Mungu.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote

Askofu Malasusa amemtangazia msamaha

Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo

Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi

Source: Upendo TV

View attachment 2522599

Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Lovely,glory to God
 
Back
Top Bottom