Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Mlimpa likizo ya siku 60 kwamba mnashughulikia suala lake; kabla hata ya siku 60 mmemwita Kinyerezi aombe radhi na msamaha. Kwenye msamaha badala yakuomba radhi Kwa makosa aliyotenda amekuwa mjanja na ametumia PhD yake kuwaombea radhi wale waliokubeza nakufanya udhalilike mitandaoni

Je, radhi aliyoomba Kimaro NI wewe kukashfiwa mitandaoni au ililenga nini? Kwanini aombe radhi kanisani Kinyerezi ambapo siyo usharika wake? Ripoti yenu ya uchunguzi inasemaje? Au ndo kuwatisha wachungaji wasiendelee kusimamia kweli?

Nakubaliana na matamshi ya Askofu Bagonza; nakubaliana na reform inayofanywa ndani ya Ofisi ya shekhe mkuu WA Dar es salaam. Viongozi waliokuwa kwenye kamati ya Amani ya Makonda damu za watu walioteseka mkakaa kimya hazitawaacha salama. Mliacha kumtumikia Mungu mkamtumikia Makonda, laana isipowapiga itawapiga watoto wenu. Endeleeni kujiona ninyi ni wakubwa wa taasisi, ipo siku.
 
Mlimpa likizo ya siku 60 kwamba mnashughulikia suala lake; kabla hata ya siku 60 mmemwita Kinyerezi aombe radhi na msamaha. Kwenye msamaha badala yakuomba radhi Kwa makosa aliyotenda amekuwa mjanja na ametumia PhD yake kuwaombea radhi wale waliokubeza nakufanya udhalilike mitandaoni

Je, radhi aliyoomba Kimaro NI wewe kukashfiwa mitandaoni au ililenga nini? Kwanini aombe radhi kanisani Kinyerezi ambapo siyo usharika wake? Ripoti yenu ya uchunguzi inasemaje? Au ndo kuwatisha wachungaji wasiendelee kusimamia kweli?

Nakubaliana na matamshi ya Askofu Bagonza; nakubaliana na reform inayofanywa ndani ya Ofisi ya shekhe mkuu WA Dar es salaam. Viongozi waliokuwa kwenye kamati ya Amani ya Makonda damu za watu walioteseka mkakaa kimya hazitawaacha salama. Mliacha kumtumikia Mungu mkamtumikia Makonda, laana isipowapiga itawapiga watoto wenu. Endeleeni kujiona ninyi ni wakubwa wa taasisi, ipo siku.
Mchanga ameona hela zitamuacha akaamua akapige goti ,zile kelele za kuanzisha kanisa kutoka kwa BAVICHA zimeishia huko

USSR
 
Mlimpa likizo ya siku 60 kwamba mnashughulikia suala lake; kabla hata ya siku 60 mmemwita Kinyerezi aombe radhi na msamaha. Kwenye msamaha badala yakuomba radhi Kwa makosa aliyotenda amekuwa mjanja na ametumia PhD yake kuwaombea radhi wale waliokubeza nakufanya udhalilike mitandaoni

Je, radhi aliyoomba Kimaro NI wewe kukashfiwa mitandaoni au ililenga nini? Kwanini aombe radhi kanisani Kinyerezi ambapo siyo usharika wake? Ripoti yenu ya uchunguzi inasemaje? Au ndo kuwatisha wachungaji wasiendelee kusimamia kweli?

Nakubaliana na matamshi ya Askofu Bagonza; nakubaliana na reform inayofanywa ndani ya Ofisi ya shekhe mkuu WA Dar es salaam. Viongozi waliokuwa kwenye kamati ya Amani ya Makonda damu za watu walioteseka mkakaa kimya hazitawaacha salama. Mliacha kumtumikia Mungu mkamtumikia Makonda, laana isipowapiga itawapiga watoto wenu. Endeleeni kujiona ninyi ni wakubwa wa taasisi, ipo siku.
Acha chuki na upumbavu kushadadia mambo ya Mungu mwenye upendo na mwenye msamaha usiomithirika,

Msamaha wake Mungu ni mfano wa mtoto mdogo ukimchapa ndani ya hilo lisaa amesahau fimbo zote na kuambatana na mtoa adhabu!

Mungu siyo mwanadamu kama wewe mwenye chuki na majivuni pia kijicho!

Mungu alimsamehe Paulo aliyechinja mamia elfu ya wafuasi wa Yesu, sembuse kimaro na Makonda?

Nitajie ni kosa lipi kwa Mungu asilolisamehe ukimrudia kwa toba?

chuki yako na ufe nayo

Mungu angikuwa ni Mchaga, msukuma angefanya nini?

JE kama angekuwa Msukuma? Wazaramo wangefanya nini? Na Mungu angelikuwa wa wenye pesa tu, masikini wangiliishije?

Mungu yeye ni Mungu tu, ni Mungu wa wote wenye mwili, mawazo yake hayachunguziki,
 
Leo Jumapili 19-2-2023 zikiwa zimebaki siku 16 likizo ya miezi 3 aliyopewa MCH ELIONA KIMARO iishe Kanisa limemrudisha kwa kusema limemsamehe; Washirika hawajui kosa lake isipokuwa tu labda sababu kuu ni kuleta wokovu KKKT , sala, kunena kwa lugha, kwaya na nyimbo za kucheza kama WALOKOLE WA TAG wafanyavyo , kukemea mapepo na maombi ya kufunguliwa:

Kimsingi tumepigwa tu maana hamjaambiwa kosa lake mmeambiwa tu amesamehewa 😂😂😂amesamehewa nini tunabaki kubunibuni tu.

Kwakifupi tu nikwamba mzk wake hawauwezi hawana lakumfanya 😂😂
Vizuri wamesameheana Safi ...madalali mkae mkao Sasa mtanyooshwa😂😂 Alipewa likizo ya siku 60 ambayo ilipaswa kukoma March 16.

Jana baada ya bango kupandishwa ndio kanisa likaona limalize mchezo au🤔

Nini kimefanya likizo ya siku 60 kukatishwa?

Wasingeweza kukaa nae bila kuleta taharuki kwa jamii na wakamwambia shida iliyopo na wakampa nafasi ya kuomba msamaha?

Bango limepandishwa juzi wao wamemsalisha kinyerezi leo🤔

Siku 33..

Anyway KKKT tuangalie mbinu bora zaid ya kukabiliana na misuguano kwenye hizi Taasisi zetu

 
WOKOVU umeingia KKKT, Baraza la MAFARISAYO na MASADUKAYO limesarenda, Mziki wa Yesu mwanadamu hauwezi , Bango la jana, magari yashawekwa chata na kanisa lilikuwa limebaki jengo bila washirika,
 
Mapato hakuna, waumini asite asite,

Tumemsamehe Eliona Kimaro.
 
Naye Mch. aliomba msamaha wa nini sasa kama
Alifuata kanuni ya Yesu, ukipigwa shavu hili geuza na lile, ameomba kwa lolote lile including hata kama ilikuwa ni kichaka cha kutopeleka watu mbinguni, maana kama unakataza watu mafundisho ya kunena kwa lugha, zaka, malimbuko, ibada za utakaso, eeh wewe unataka nini?
 
Ameomba msamaha kwa makosa yepi? Ni muhimu ili waliokua wanamfuata wajue. Kwa maoni yangu Kimaro alikua akienda kinyume na mafunzo ya kilutheri...
Sema nyinyi ni wakatoliki mliovurugwa. [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ameomba msamaha kwa makosa yepi? Ni muhimu ili waliokua wanamfuata wajue. Kwa maoni yangu Kimaro alikua akienda kinyume na mafunzo ya kilutheri...
KIMARO akirudi na mambo yake ya WALOKOLE wa TAG mambo ya kunena kwa lugha, kuombea wagonjwa, zaka, upako, ukiri tunamfukuza aende akaungane nao, sisi tunataka liturujia yetu n misingi ya kilutheri
 
Usitoe conclusion, yeye kaomba msamaha. Aulizwe yeye ameomba msamaha wa Nini.
Msamaha wa kufuata mafundisho ya Yesu na kuacha mapokeo ya Dini, yaani alikuwa anafundisha biblia badaya ya liturujia.
Tumeshaambiwa amesema mwenyewe ni yale mahubiri ya kusema vijana waislam ni waaminifu kutuzidi
 
Bango la kimaro lipo wapi leta link, MORROCO , bado kwenye magari ya washirika mabango na stka zipo kibao
xxx.jpeg
xxx.jpeg
 
Acha chuki na upumbavu kushadadia mambo ya Mungu mwenye upendo na mwenye msamaha usiomithirika,

Msamaha wake Mungu ni mfano wa mtoto mdogo ukimchapa ndani ya hilo lisaa amesahau fimbo zote na kuambatana na mtoa adhabu!

Mungu siyo mwanadamu kama wewe mwenye chuki na majivuni pia kijicho!

Mungu alimsamehe Paulo aliyechinja mamia elfu ya wafuasi wa Yesu, sembuse kimaro na Makonda?

Nitajie ni kosa lipi kwa Mungu asilolisamehe ukimrudia kwa toba?

chuki yako na ufe nayo

Mungu angikuwa ni Mchaga, msukuma angefanya nini?

JE kama angekuwa Msukuma? Wazaramo wangefanya nini? Na Mungu angelikuwa wa wenye pesa tu, masikini wangiliishije?

Mungu yeye ni Mungu tu, ni Mungu wa wote wenye mwili, mawazo yake hayachunguziki,
Mkuu hapo msamaha umeonbwa Kwa Mungu au Malasusa au Kwa Kanisa?

Msamaha wowote utolewao baina ya wanadamu na wanadamu lazima utanguliwe na kosa lililotendeka ili wengine waweze kujifunza kwamba kufanya hivi NI kosa. Mchungaji Kimaro alitenda kosa gani?

Yawezekana msamaha aliaombiwa aombe nikuwaambia watu adharani kwamba amepewa likizo Jambo ambalo siyo kosa. Waafrika tunatendence yakutotaka kusema na kuambiwa ukweli

Kimaro kutoka adharani na kusema amesimamishwa haikuwa kosa, wangejikita kwenye Sababu za kusimamishwa. Mfumo wa Kanisa usipokuwa na uwazi huo mfumo imekufa........hii ni copy and paste kutoka kwenye mifumo ya siasa ya nchi kwamba mkubwa hakosei
 
Back
Top Bottom