Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mfano tu, anaweza pangiwa pahala popote lakini pia anaweza rudishwa KIJITONYAMA;Unajua heshima yako JF ni kubwa, ukianza kuandika hovyo hovyo kama majibu haya, you are ruining your well built credibility on JF!
😅😅😅 Kanyooka karudi kuomba msamaha,hakuna mkubwa zaidi ya Taasisi dadeki hahahah.mbona hakuanzisha kabisa lake? Samaki ana Kasi akiwa majini tu,ukimtoa nchi kavu kwisha habari yake.Na akae kwa kutulia sasa,Wala wasimpe cheo Tena hapo kanisani,au wamemwamishia kinyerezi nini?Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote
Askofu Malasusa amemtangazia msamaha
Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo
Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi
Chanzo: Upendo TV
View attachment 2522599
=====
Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16, 2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.
Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.
Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema “Sote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewa”
Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Kinyerezi amealikwa tu kwenye ibada ndio akakutana na msamaha wa MALASUSA.😅😅😅 Kanyooka karudi kuomba msamaha,hakuna mkubwa zaidi ya Taasisi dadeki hahahah.mbona hakuanzisha kabisa lake? Samaki ana Kasi akiwa majini tu,ukimtoa nchi kavu kwisha habari yake.Na akae kwa kutulia sasa,Wala wasimpe cheo Tena hapo kanisani,au wamemwamishia kinyerezi nini?
Sasa tufuate nini?Hizo dini ni siasa ,ujinga tu
MoroccoBango la kimaro lipo wapi leta link
Atapangiwa Kituo kipyaAnarudi kijitonyama?
Apelekwe misenyi huko akaihubiri injili ya kweliHaya wampangie majukumu mengine huko Kyaka Kagera na anayemtaka amfate huko.
ana kipaji cha kupendwa naturally, na huko atawavuta waumini kumpenda na kummwagia mihela 😀 😀 😀 😀 😀 😀 na kuahatarisha uaskofu wa malasusa kwenye uchaguzi huru na haki ambao haujasimamiwa na CCM/tume ya uchaguzi😀😀😀😀Atapangiwa Kituo kipya
huko Misenyi hakuna wahubiri?Apelekwe misenyi huko akaihubiri injili ya kweli
tumeshaambiwa amesema mwenyewe ni yale mahubiri ya kusema vijana waislam ni waaminifu kutuzidi😅😅😅 Kanyooka karudi kuomba msamaha,hakuna mkubwa zaidi ya Taasisi dadeki hahahah.mbona hakuanzisha kabisa lake? Samaki ana Kasi akiwa majini tu,ukimtoa nchi kavu kwisha habari yake.Na akae kwa kutulia sasa,Wala wasimpe cheo Tena hapo kanisani,au wamemwamishia kinyerezi nini?
Yeye anapenda Kijitonyama kwa sababu mko Wengi mle meku!ana kipaji cha kupendwa naturally, na huko atawavuta waumini kumpenda na kummwagia mihela 😀 😀 😀 😀 😀 😀 na kuahatarisha uaskofu wa malasusa kwenye uchaguzi huru na haki ambao haujasimamiwa na CCM/tume ya uchaguzi😀😀😀😀
Meku wako Moshi si KijitonyamaYeye anapenda Kijitonyama kwa sababu mko Wengi mle meku!
Panafanania sana!Meku wako Moshi si Kijitonyama
Hujui lolote:Yeye anapenda Kijitonyama kwa sababu mko Wengi mle meku!
Kijitonyama wakati wa Mchungaji Hiza ndio Katibu mkuu wa CCM mzee Makamba alikuwa anakuja kuabudu na kuchukua ile mistari ya BibliaHujui lolote:
Alikuwa KKKT KARIAKOO , kipindi kaingia Kariakoo kanisa lilikuwa limeoza na hakuna washirika, hakuna vyombo wala kwaya, KIMARO kaleta yote hayo na kanisa likafurika na watu walitoka mbezi na kbaha kuna kusali KAriakoo, WAKAMTOA na kumpekeka Kijitonyama, ndio akaanzisha MAHUBIRI KAMA YA YESU na kuachana na liturujia za mafarisayo na masadukayo ,dhahabu ukiificha hata kwenye tope ina angaza.
We nae ni mfuasi wake ?mfuateni hakuna aliyewazuia 😅😅😅WOKOVU umeingia KKKT, Baraza la MAFARISAYO na MASADUKAYO limesarenda, Mziki wa Yesu mwanadamu hauwezi , Bango la jana, magari yashawekwa chata na kanisa lilikuwa limebaki jengo bila washirika,
Niliiona sana labda youtubeIronbutterfly Mshana Jr ki29 Retired Naombeni ile Clip ya Hananja akisema hii movie ya kihindi mshindi atakuwa Kimaro😁
Kinyerezi amealikwa tu kwenye ibada ndio akakutana na msamaha wa MALASUSA.