Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Malasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Acha kupotosha! Anaendelea na likizo yake ya siku 60 ili kuendelea kutafakari. Kwanini unakuwa na roho ya kiibilisi ya kushabikia migogoro ya kichungaji?Hizo siasa zako peleka huko na si kanisani. Acha kanisa lifuate taratibu zake.
 
Malasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759

Mchungaji wako kalia kama mtoto kuomba msamaha

Asubiri sasa apangiwe majukumu mengine
 
Acha chuki na upumbavu kushadadia mambo ya Mungu mwenye upendo na mwenye msamaha usiomithirika,

Msamaha wake Mungu ni mfano wa mtoto mdogo ukimchapa ndani ya hilo lisaa amesahau fimbo zote na kuambatana na mtoa adhabu!

Mungu siyo mwanadamu kama wewe mwenye chuki na majivuni pia kijicho!

Mungu alimsamehe Paulo aliyechinja mamia elfu ya wafuasi wa Yesu, sembuse kimaro na Makonda?

Nitajie ni kosa lipi kwa Mungu asilolisamehe ukimrudia kwa toba?

chuki yako na ufe nayo

Mungu angikuwa ni Mchaga, msukuma angefanya nini?

JE kama angekuwa Msukuma? Wazaramo wangefanya nini? Na Mungu angelikuwa wa wenye pesa tu, masikini wangiliishije?

Mungu yeye ni Mungu tu, ni Mungu wa wote wenye mwili, mawazo yake hayachunguziki,
Daah kumbe hujui kwamba!;Hayo ni Matokeo ya Maombi ya Mtumishi wa Mungu na Waumini Kumlilia Yesu Mwenye Kanisa lake Amebidua Meza kama Alivyo bidua Meza Hekalunj![emoji123][emoji106]
Na waharibifu wanao weka tuta Habari Njema isue sue Wasipotubu!; Siku zitasema!
Ref!; Ngwamba!
 
ingekuwa kwa Wakatoliki kwanza wangeondoa mapadre wote na huduma zote za kichungaji kisa kuandamana na huyo padre angehamishwa kabisa hapo
YANAFANYIKA LAKINI KIMYA KIMYA NA WAKATI WA UHAMISHO WA JUMLA WA KILA MWAKA
 
Wakristo waache unafiki, msamaha kwani alikosa? Alipewa likizo na kuripoti makato makuu Sasa wapi hapo inaonesha alikosea, kama walikoseana sirini iweje Leo msamaha uwekwe hadharani?
na siku 90 alizopewa ndio kwanza zimefika nusu
 
Malasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Akina Chinembe,sasa mmetoka kwenye siasa na sasa mpo kwenye mambo ya dini au ndio mmegeuza siasa na dini kuwa kachumbari🤔
 
Back
Top Bottom