Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume wako wa zamani ni BAVICHA ?Mchanga ameona hela zitamuacha akaamua akapige goti ,zile kelele za kuanzisha kanisa kutoka kwa BAVICHA zimeishia huko
USSR
kwa watu wa rohoni ni alama ya nguvu na ushindi, kisasi na mabishano na alama ya kushindwa na udhaifu wa nafsiMentality hii ni kujenga Taifa la mafala...unaombaje msamaha kwa kitu usichokijua?....tabia ya kijinga sana hii...
Ni muhimu mtu ajue kosa ili arekebishe alipokosea...huu ujinga wa kuomba omba msamaha unatengeneza roho ya inferiority sana...
Kumkufuru Roho MtakatifuNitajie ni kosa lipi kwa Mungu asilolisamehe ukimrudia kwa toba?
Wamekuja na u-kimaro! 😆😆Ukabila umeingia kwenye hili
USSR
Sio kweli...nasema tena sio kweli...kutambua kosa ni muhimu kwa ajili ya kurekebisha...mtu yoyote anaekupenda atakuambia ukweli otherwise atakuwa ana roho mbaya...atubu kwanza...kwa watu wa rohoni ni alama ya nguvu na ushindi, kisasi na mabishano na alama ya kushindwa na udhaifu wa nafsi
Nyie ndiyo wachawi kasoro tunguli.ni mfano tu, anaweza pangiwa pahala popote lakini pia anaweza rudishwa KIJITONYAMA;
So long as ni muajiriwa wa KKKT basi tutegemee lolote, lakini kwa ushauri , wampangie tu kwengine, sometimes inaweza mjengea mtu kiburi, sometimes.
Kyaka Kagera kule sio Tanzania.Haya wampangie majukumu mengine huko Kyaka Kagera na anayemtaka amfate huko.
Siyo kweli. Thibitisha huo uchochezi.Ni sahihi pia kosa la kuchochea vurugu na uasi kanisani. Hekima hakuwa nayo kabisa.
Hapo Kuna siasaAcha kupotosha! Anaendelea na likizo yake ya siku 60 ili kuendelea kutafakari. Kwanini unakuwa na roho ya kiibilisi ya kushabikia migogoro ya kichungaji?Hizo siasa zako peleka huko na si kanisani. Acha kanisa lifuate taratibu zake.
Hawa huwa wako kama sigara kali ukiwasha mbele au nyuma kote inawaka.Akina Chinembe,sasa mmetoka kwenye siasa na sasa mpo kwenye mambo ya dini au ndio mmegeuza siasa na dini kuwa kachumbari[emoji848]
Huyo Kimario ametokea wapi tena?[emoji23] labda hamumjui vzuri Askf Dkt Malasusa, ngojeni muone nini kitatokea, kkkt ina mambo yake pekeyake, kimario ameshawekwa kibra, time will tell