mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,108
- 3,155
Aliongea ukweli mahali pasipo sahihiAlikosa nini ie kosa gani Kimaro alifanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliongea ukweli mahali pasipo sahihiAlikosa nini ie kosa gani Kimaro alifanya?
Sasa unafiki wa wakristo wewe unakuumiza nini? Maana kama na wewe ni mkristo basi ni mnafiki mwenzao, lakini kama wewe ni muislamu, acha wanafiki wanafikiane wenyewe..!! Maana hakuna mahala unafiki wa wakristo unawaharibu waislamu kwenye hili..!!Wakristo waache unafiki, msamaha kwani alikosa? Alipewa likizo na kuripoti makato makuu Sasa wapi hapo inaonesha alikosea, kama walikoseana sirini iweje Leo msamaha uwekwe hadharani?
ANGALIA ELIONA ALIVYO ONGEA KI-MASTA 1. Nashukuru kwa maongezi, maombi na nasaha zako. Tuliongea sana kwenye simu.Amefanya jambo zuri kuomba msamaha hadharani na kusamehewa,aendelee na kazi ya Mungu sasa popote pale atakapopangiwa.
Na yule Aliyekuwa Shehe wa Dar mwendazake walimwona kama MUNGU MTUMalasusa chawa wa Mwendazake
Nawewe mumeo naniMalasusa chawa wa Mwendazake
Acha upumbavu mchungaji kaomba msamaha na kaandika baruaMalasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Malasusa, Ahadi Mussa na Pengo hawa walikuwa chawa wa marehemuMalasusa chawa wa Mwendazake
Hilo la kutoomba msamaha kwa Mungu anajua yeye na Mungu wake,lakini pia kumbuka yupo kwenye nyumba ya Malezi ya Kichungaji kwahio suala la Kumuomba Mungu kama ni kulifanya atakuwa amelifanya au analifanya huko maana anasema amefunga na anaendelea na maombi.ANGALIA ELIONA ALIVYO ONGEA KI-MASTA 1. Nashukuru kwa maongezi, maombi na nasaha zako. Tuliongea sana kwenye simu.
2. Nilikuwa nafundisha vijana kuhusu life discipline na personal discipline. Watu wengine huko wakatengeneza clip wakaitafsiri kivingine.
3. Hii likizo kwangu mimi siyo adhabu bali ni wakati mzuri wa kutafakari na kuutafuta uso Mungu.
4. Ahsante kwa kumtuma askofu mstaafu kuja kuongea na mimi.
5. Nakuomba wewe binafsi msamaha!
Yaani Mchungaji Kimaro hajaomba msamaha kwa Mungu kwa sababu anajua hajamkosea Mungu. Kaomba kwa binadamu : Likizo haijaisha so am,esamehewa akiwa likizo, MALASUSA: "umesamehewa, endelea kutafakari" -hiyo kauli tata sana kwa askofu, angata na kupuliza: Lengo ni kuona vyenye upepo unapoelekea:
Mbona Kimaro ndiyo kaomba radhi tena hadharani,japo hajasema alikosa nini.......sasa Malasusa kashindwaje, wakati Kimaro yeye mwenyewe alishika Mic na kuongea?Malasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Mleta Uzi ni mpotoshajiAcha upumbavu mchungaji kaomba msamaha na kaandika barua
Uko sawa jamaa kaweka kishabiki hatari.Do! umeandika kishabiki sana labda mimi sijakuelewa
Yaaan wanashindwa kuchanana laivu hapo hio ndo unafikiANGALIA ELIONA ALIVYO ONGEA KI-MASTA 1. Nashukuru kwa maongezi, maombi na nasaha zako. Tuliongea sana kwenye simu.
2. Nilikuwa nafundisha vijana kuhusu life discipline na personal discipline. Watu wengine huko wakatengeneza clip wakaitafsiri kivingine.
3. Hii likizo kwangu mimi siyo adhabu bali ni wakati mzuri wa kutafakari na kuutafuta uso Mungu.
4. Ahsante kwa kumtuma askofu mstaafu kuja kuongea na mimi.
5. Nakuomba wewe binafsi msamaha!
Yaani Mchungaji Kimaro hajaomba msamaha kwa Mungu kwa sababu anajua hajamkosea Mungu. Kaomba kwa binadamu : Likizo haijaisha so am,esamehewa akiwa likizo, MALASUSA: "umesamehewa, endelea kutafakari" -hiyo kauli tata sana kwa askofu, angata na kupuliza: Lengo ni kuona vyenye upepo unapoelekea:
Chukua maneno yangu, acha zile PRMbona Kimaro ndiyo kaomba radhi tena hadharani,japo hajasema alikosa nini.......sasa Malasusa kashindwaje, wakati Kimaro yeye mwenyewe alishika Mic na kuongea?
yupo sahihi na wazi mbele za Mungu ila kwa katiba ya KKKT hairuhusu hayo anayofundisha Kimaro , hivyo anavunja katiba :Kuna wakati nasikiliza mahubiri ya Kimaro, hakika anajua kugusa maisha ya watu. Hana unafiki, ni msema kweli.
Malasusa amekutana na kigingi kizito, kakubali yaishe, alizoea kuoneaonea wachungaji, Sasa ameweka ugoko, Kimaro kaweka Jiwe la Mbinguni, wachungaji wajiandae kumuangusha katika nafasi yake ya uaskofu, wasamehe lakini wasisahau anayewaangamizaView attachment 2522759
Hayo ya chumbani baki nayo mwenyewe mkuu,ila mwanaume na ndevu kuomba radhi hadharani siyo udhaifu bali amekubali kuna mambo alikoseaChukua maneno yangu, acha zile PR
Hiyo ni technical retreat....he just lost a battle, Malasusa should prepare for a full scale warHayo ya chumbani baki nayo mwenyewe mkuu,ila mwanaume na ndevu kuomba radhi hadharani siyo udhaifu bali amekubali kuna mambo alikosea