Mburia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 2,369
- 3,488
Ushabiki upi? Wewe kosa lake unalijua?Acha Ushabiki maandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushabiki upi? Wewe kosa lake unalijua?Acha Ushabiki maandazi
😀Ushabiki upi? Wewe kosa lake unalijua?
Huwezi kuwatangazia watu msamaha wa jambo fulani wakati hukuwahi kuwaambia kosa walilolifanya.
Ni kama kuja na majibu wakati hukuwahi kuleta maswali. Huwezi kupokea simu kama hukupigiwa.
Unafki hauangalii dini bali tabia nmeuliza kaomba msamaha kwa kosa gani nasi waumini tujue. Maana ya unafki ni kuitikia tu bila kujua sababu.Yaani wakristo wameombana msamaha wao kwa wao, HALAFU ANATOKEA MUISLAMU INAMUUMA HATARI..!!! Hii ni zaidi ya balaa
Unafki hauangalii dini bali tabia nmeuliza kaomba msamaha kwa kosa gani nasi waumini tujue. Maana ya unafki ni kuitikia tu bila kujua sababu.
Wakristo hatuna mambo mengiUnafki hauangalii dini bali tabia nmeuliza kaomba msamaha kwa kosa gani nasi waumini tujue. Maana ya unafki ni kuitikia tu bila kujua sababu.
NakaziaNi Siri ya Viongozi kulindiana heshima.
Heri Wenye Moyo SafiSamehe Saba Mara Sabini Na Baadaye Atarudishwa Kijitonyama
Acheni Masuala Ya Imani Yaende Kwa Taratibu Zake
Angeandika mwingine nisingeuliza mara mbili, wewe hapa jf ni mwandishi muda mrefu iweje utulishe matango pori?Ameomba msamaha kwa Maaskofu Wachungaji na Waumini wa KKKT
Uwe unaelewa!
Hakuna mlutheri wa ajabu hivi, eti wapentekoste ni "makelele"? jifunze kuwa na religious tolerance and respect for others.Ameomba msamaha kwa makosa yepi? Ni muhimu ili waliokua wanamfuata wajue. Kwa maoni yangu Kimaro alikua akienda kinyume na mafunzo ya kilutheri.
Sisi walutheri ibada zetu zinaongozwa na liturgia yetu yenye msingi wa mafunzo ya martin luther. Waluther original hatupendi mifumo na style za kipentekoste 'kilokole' kochosha waomini kwa makelele na concepts za imani za mtu binafsi badala ya zile za kanisa.
Yeye ameomba msamaha bila kutaja kosa kwa sababu msamaha mkuu ulishatolewa msalabaniAngeandika mwingine nisingeuliza mara mbili, wewe hapa jf ni mwandishi muda mrefu iweje utulishe matango pori?
Ndio ameomba msamaha!! Kwa kosa lipi? Mchungaji alikosea nini mpaka kuomba msamaha?
Akina johnthebaptist walikua wanataka wale hela za kile kigango cha kijitonyama ndo jamaa akawagomea wakaamua kumtoa sasa mapato yameshuka aibu kwaoHuyo askofu anamsamehe kama nani au kwa niaba ya nani? Kosa kama ametenda Mungu atamuadhibu kwa wakati wake, wenyewe wamrudishe pale au wameona mapato yameshuka
Askofu mwenyewe kashiba uyo...kakaa kipigajiAkina johnthebaptist walikua wanataka wale hela za kile kigango cha kijitonyama ndo jamaa akawagomea wakaamua kumtoa sasa mapato yameshuka aibu kwao
Msamaha wa kalvariAkina johnthebaptist walikua wanataka wale hela za kile kigango cha kijitonyama ndo jamaa akawagomea wakaamua kumtoa sasa mapato yameshuka aibu kwao
Kumbe Kimaro aliomba msamaha kama nimekuelewa kwenye aya ya mwisho japo kichwa cha habari yako hukusema so zilekelele za wafia Kimaro hawakujua kuwa nguvu ya mamba kumayiAskofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16,2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.
Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.
Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema “Sote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewa”
Ungekuwa muumini ungeijua sababu. Acha longolongo..!!! Wakati anapewa likizo uliuliza sababu? Back to square one, wameombana msamaha wenyewe, wewe usiyehusika na kanisa lao inakuumiza kivipi?Unafki hauangalii dini bali tabia nmeuliza kaomba msamaha kwa kosa gani nasi waumini tujue. Maana ya unafki ni kuitikia tu bila kujua sababu.
KWani mtu akishakuwa mchawi, kuna kustaafu..???Hahaaa, mchawi mstaafu bro wangu Mshana Jr alibeba bango pamoja na wale akina mama?