Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Askofu wa KKKT Dkt. Alex Malasusa atangaza kumsamehe Mchungaji Kimaro

Mungu ni mwema. Ikiwapendeza viongozi wa KKKT tunaomba wamlete Mchungaji Kimaro kwenye usharika wa Mpombwe, Kalambo mkoani Rukwa.
 
Kijitonyama wakati wa Mchungaji Hiza ndio Katibu mkuu wa CCM mzee Makamba alikuwa anakuja kuabudu na kuchukua ile mistari ya Biblia

Kijitonyama imejitambua kitambo sana kabla hawajahamia akina Macha!
Hivi kwenye hilo Kanisa la Kiinjili La Kikatoliki Tanzania, kuna maaskofu kutoka makabila mengine mbali ya wachaga na wanyakyusa ?
 
Yeye ameomba msamaha bila kutaja kosa kwa sababu msamaha mkuu ulishatolewa msalabani

Askofu amemtangazia msamaha ambao ulishatolewa msalabani

Wakristo tunalielewa Hili vizuri kwa sababu hatuamini katika kisasi

Kutajiana makosa hadharani ni Mambo ya Agano la Kale
🙄🤣
 
Ameomba msamaha kwa makosa yepi? Ni muhimu ili waliokua wanamfuata wajue. Kwa maoni yangu Kimaro alikua akienda kinyume na mafunzo ya kilutheri.

Sisi walutheri ibada zetu zinaongozwa na liturgia yetu yenye msingi wa mafunzo ya martin luther. Waluther original hatupendi mifumo na style za kipentekoste 'kilokole' kochosha waomini kwa makelele na concepts za imani za mtu binafsi badala ya zile za kanisa.
Huko ulaya kwa kutumia liturgy hiyo hiyo wameamua kuruhusu wachungaji mashoga na kufungisha ndoa za kishoga Chief. Stuka mi nilifikir unasema kabadili mafundisho ya kikristo kumbe ni utaratibu wa liturgy bure kabisa.
 
Mlimpa likizo ya siku 60 kwamba mnashughulikia suala lake; kabla hata ya siku 60 mmemwita Kinyerezi aombe radhi na msamaha. Kwenye msamaha badala yakuomba radhi Kwa makosa aliyotenda amekuwa mjanja na ametumia PhD yake kuwaombea radhi wale waliokubeza nakufanya udhalilike mitandaoni

Je, radhi aliyoomba Kimaro NI wewe kukashfiwa mitandaoni au ililenga nini? Kwanini aombe radhi kanisani Kinyerezi ambapo siyo usharika wake? Ripoti yenu ya uchunguzi inasemaje? Au ndo kuwatisha wachungaji wasiendelee kusimamia kweli?

Nakubaliana na matamshi ya Askofu Bagonza; nakubaliana na reform inayofanywa ndani ya Ofisi ya shekhe mkuu WA Dar es salaam. Viongozi waliokuwa kwenye kamati ya Amani ya Makonda damu za watu walioteseka mkakaa kimya hazitawaacha salama. Mliacha kumtumikia Mungu mkamtumikia Makonda, laana isipowapiga itawapiga watoto wenu. Endeleeni kujiona ninyi ni wakubwa wa taasisi, ipo siku.
Kanisa ni moja. Na Dayosisi ni moja ...kwani rais anapoongea na. Wazee wa dar es salaam haimaanishi wazee wa dodoma haiwahusu.
Hivyo askofu popote alipo ana kuwa na mamlaka kamili .
Kwani wafungwa wote wa keko,ukonga au segerea wamefanya makosa sehemu hiyo hiyo au mkoa wa dsm pekee.
 
Mlimpa likizo ya siku 60 kwamba mnashughulikia suala lake; kabla hata ya siku 60 mmemwita Kinyerezi aombe radhi na msamaha. Kwenye msamaha badala yakuomba radhi Kwa makosa aliyotenda amekuwa mjanja na ametumia PhD yake kuwaombea radhi wale waliokubeza nakufanya udhalilike mitandaoni

Je, radhi aliyoomba Kimaro NI wewe kukashfiwa mitandaoni au ililenga nini? Kwanini aombe radhi kanisani Kinyerezi ambapo siyo usharika wake? Ripoti yenu ya uchunguzi inasemaje? Au ndo kuwatisha wachungaji wasiendelee kusimamia kweli?

Nakubaliana na matamshi ya Askofu Bagonza; nakubaliana na reform inayofanywa ndani ya Ofisi ya shekhe mkuu WA Dar es salaam. Viongozi waliokuwa kwenye kamati ya Amani ya Makonda damu za watu walioteseka mkakaa kimya hazitawaacha salama. Mliacha kumtumikia Mungu mkamtumikia Makonda, laana isipowapiga itawapiga watoto wenu. Endeleeni kujiona ninyi ni wakubwa wa taasisi, ipo siku.
Kanisa ni moja. Na Dayosisi ni moja ...kwani rais anapoongea na. Wazee wa dar es salaam haimaanishi wazee wa dodoma haiwahusu.
Hivyo askofu popote alipo ana kuwa na mamlaka kamili .
Kwani wafungwa wote wa keko,ukonga au segerea wamefanya makosa sehemu hiyo hiyo au mkoa wa dsm pekee.
 
Huu ni utumwa wa kipuuzi, udhalilishaji kwa mchungaji Kimaro na familia yake na hata aibu pia kwa wana KKKT.. THIS IS EVIL.. Hakuna Mungu wala nn hapo, Mungu hawezi fanya huo uonevu na udhalilishaji, that is evil spirit.

Malasusa mwenyewe alifukuzwa na KKKT kama sio serikali wakati ule, Malasusa ungekuta sio Askofu wa KKKT..

Huu ni ujinga tu, wanamuonea wivu Kimaro, this is not acceptable, upuuzi. Kimaro anzisha kanisa lako ASAP, achana na hao akina Malasusa, acha moyo wa uoga uoga. Jiuzulu kisha, anzisha kabisa lako, pitisha michango within a month unajenga kanisa, waamini utawapata maradufu ya hapo... Hapo hutaweza ongea tena, utakuwa umefungwa mdomo na hutaweza sema kweli na mahubiri yako yatakuwa ya kujifunga kabisa..
Akumbuke alisoma.yeye Ila cheti na wakfu wa kuwa mchungaji ni Mali ya kanisa kwa mujibu wa kiapo..kimaro sio mjinga kaangalia kinachofuata baadae.
Hayo maoni ni rahisi mno km angekua. Amesomea makanisa ya kilokole
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote

Askofu Malasusa amemtangazia msamaha

Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo

Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi

Chanzo: Upendo TV

View attachment 2522599


=====

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16, 2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.

Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.

Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema “Sote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewa”

Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
NILIJUA KAJIUZULU NIAGIZE MBUZI KAHAWAA
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote

Askofu Malasusa amemtangazia msamaha

Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo

Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi

Chanzo: Upendo TV

View attachment 2522599


=====

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16, 2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.

Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.

Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema “Sote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewa”

Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Mungu ni mwema sana sana.

Wanasiasa wangeiga huu mfano nchi yetu isingegeuka heka heka.

Hongereni Kanisa la Kiinjili la Kilutheri kwa kumuaibisha shetani.


Sisi wapentekoste kila kukicha tunaanzisha makanisa kwa sababu eneo la UTII tumelifanya kama anasa yaani ni ngumu sana amani kuwepo huku kwa sababu ya dhambi ya kutaka ukubwa
 
Huu ni utumwa wa kipuuzi, udhalilishaji kwa mchungaji Kimaro na familia yake na hata aibu pia kwa wana KKKT.. THIS IS EVIL.. Hakuna Mungu wala nn hapo, Mungu hawezi fanya huo uonevu na udhalilishaji, that is evil spirit.

Malasusa mwenyewe alifukuzwa na KKKT kama sio serikali wakati ule, Malasusa ungekuta sio Askofu wa KKKT..

Huu ni ujinga tu, wanamuonea wivu Kimaro, this is not acceptable, upuuzi. Kimaro anzisha kanisa lako ASAP, achana na hao akina Malasusa, acha moyo wa uoga uoga. Jiuzulu kisha, anzisha kabisa lako, pitisha michango within a month unajenga kanisa, waamini utawapata maradufu ya hapo... Hapo hutaweza ongea tena, utakuwa umefungwa mdomo na hutaweza sema kweli na mahubiri yako yatakuwa ya kujifunga kabisa..
Kuomba radhi ni kuaibishwa.
Kiburi ndii kilimfanya shetani kifukizwa
Kuomba radhi ni jambo la kawaida kabisa unapokosea .ndio maana ndoa zimekuwa hazidumu siku hizi sababu ya kiburi Cha kutokukubali makosa na kuomba radhi
Wanafunzi shuleni wanejawa na kiburi kwa walimu walikosea hawataki kuambiwa
Watoto hawawatii wazazi Wala wakubwa zao kwa sababu tu hawako tayari kukiri makosa
Tufundishe watoto wetu kuomba radhi Kila wanapokoaea
Hawatakuja kuona shida ukubwani
 
Mlimpa likizo ya siku 60 kwamba mnashughulikia suala lake; kabla hata ya siku 60 mmemwita Kinyerezi aombe radhi na msamaha. Kwenye msamaha badala yakuomba radhi Kwa makosa aliyotenda amekuwa mjanja na ametumia PhD yake kuwaombea radhi wale waliokubeza nakufanya udhalilike mitandaoni

Je, radhi aliyoomba Kimaro NI wewe kukashfiwa mitandaoni au ililenga nini? Kwanini aombe radhi kanisani Kinyerezi ambapo siyo usharika wake? Ripoti yenu ya uchunguzi inasemaje? Au ndo kuwatisha wachungaji wasiendelee kusimamia kweli?

Nakubaliana na matamshi ya Askofu Bagonza; nakubaliana na reform inayofanywa ndani ya Ofisi ya shekhe mkuu WA Dar es salaam. Viongozi waliokuwa kwenye kamati ya Amani ya Makonda damu za watu walioteseka mkakaa kimya hazitawaacha salama. Mliacha kumtumikia Mungu mkamtumikia Makonda, laana isipowapiga itawapiga watoto wenu. Endeleeni kujiona ninyi ni wakubwa wa taasisi, ipo siku.
PhD Gani
Na huku ana cheti feki Cha form four
 
Huu mgogoro namna ulivyoanza na namna ulivyomalizika, unaanza kuleta taswira tofauti kabisa na pia kuleta maswali mengi zaidi kuliko majibu. Naona sasa Siasa zinataka kuhamia kwenye nyumba za Ibada. Ikumbukwe kuwa kuna waumini walilazimika kuandamana kutokana na mgogoro huu.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama ameomba msamaha kwa Kanisa zima la KKKT, Maaskofu, Wachungaji na Waumini wote

Askofu Malasusa amemtangazia msamaha

Askofu awataka Waumini waache Ushabiki kwa sababu wanaligawa Kanisa na huo siyo Ukristo

Tukio lilikuwa mubashara KKKT Kinyerezi

Chanzo: Upendo TV

View attachment 2522599


=====

Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Dkt Alex Gehaz Malasusa leo kupitia Ibada ya Jumapili katika Kanisa la KKKT Usharika wa Kinyerezi ametangaza msamaha kwa Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la KKKT Usharika wa Kijitonyama Dr. Eliona Kimaro ambaye January 16, 2023 Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) ilimpa likizo ya miezi miwili bila kuweka wazi sababu za likizo hiyo.

Licha ya kupewa likizo ya miezi miwili, Kimaro alitakiwa kuripoti Makao Makuu pindi likizo yake itakapomalizika, jambo ambalo liliibua taharuki kwa Waumini wa Kanisa hilo na hata baadhi ya Waumini wa KKKT Kijitonyama wakaandamana wakiomba Uongozi wa Kanisa hilo umrudishe Kimaro.

Askofu Malasusa leo amenukuliwa akisema “Sote ni Wakristo lakini wengine tumeitwa ili tuwaongoze katika kazi ya Mungu na hawa ni Wachungaji, tuwatunze, tuwasaidie, tuwaombee na tuwapende, Mchungaji Kimaro, Ndugu yangu kama ulivyoomba na Mimi nasema kwa niaba ya Washarika umesamehewa”

Kuhusu kusimamishwa kwake, soma: Mchungaji Eliona Kimaro wa KKKT Kijitonyama apewa likizo ya siku 60 na kutakiwa kuripoti Makao Makuu
Sio Kimaro alipaswa kumsamehe Malasusa kweli?!
 
Hivi kosa lake ni lipi? Kwani waumini kumshabikia mchungaji wao ni kosa? Nawe askofu fanya yako ushabikiwe.
 
Back
Top Bottom