MAGNATE
Member
- Jan 12, 2015
- 70
- 141
Biblia inatuambia alihudhuria harusini ila haisemi kuwa alifungisha ndoa.Injili ya Yohana sura ya 2 anzia mstari wa 2.
Yesu alihudhuria sherehe ya harusi kana sasa sijui hoja yako ni ipi.....hiyo harusi aliifungisha nani sasa wewe au[emoji28][emoji28][emoji28]