ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Rudi darasani wewe mbumbumbuOngezeko la mshahara lina tija gani kwa mlala hoi!? Linaongeza mzunguko wa fedha mtaani!?.
Ongezeko lililofanywa kisiasa kwa kulenga 2025.
2025 we will murder someone, labda waweke mgombea mwingine.
You have my words.
Mwambie anunue kipaza sauti aende stand kulalamika ππHakuna rais anayeweza kukuwekea pesa mfukoni mwako, utaendelea kulialla mpaka mwisho wa maisha yako.
JPM aliambiwa na wanyamwezi ndugu zake kwamba mzee huku kwetu kuna njaa sana!, akawaambia njaa mnataka nije niwapikie chakula nyumbani kwenu?. Hilo ndilo jibu la halali la kumpa mtu mvivu anayelialia siku nzima.
Tunajadiliana na watu wengi wajinga wajinga humu jukwaani. Haelewi maana ya purchasing power kuwa juu.Rudi darasani wewe mbumbumbu
Mlala hoi anauza mchicha ,anauza nguo,anatembeza samaki nk
Ongezeko.la salary inaongezeka purchasing power ya mtumishi (consumer) ambae automatically hakai na pesa ndani Bali ataongeza expenditures.
Same applied kwenye Ajira Mpya na Posho kuongezeka.View attachment 2758213
Tunazungumzia kodi isiyo kandamizia kandamizi kwa mwananchi wa kawaida.Vijana wa BBT unawajua wazazi wao?
Kama awamu zilizotangulia zilishindwa Kupeleka umeme na Barabara Vijijini ulitegemea Kwa miaka 2.5 Samia amalizie hizo shida zote? Though is doing excellent job than any other before.Kodi zimeanza awamu ya 6? Kama Kuna mfumuko wa bei Kwa nini huzungumzii mfumuko wa pesa walizopata Sasa ambazo kabla walikuwa Hawapati? Uwe unaweka ushahidi kama Mimi
View: https://www.instagram.com/p/CxWFJZ3M6QD/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Mkoa kama wa Mwanza lini ulikuwa na uhakika wa Maji? Ni sasa ndio Samia anajenga chanzo kikubwa Cha Butimba Kumaliza shida ya Maji kama Dar.
Kwanza lazima uelewe hicho unachoita gharama za magonjwa ya figo ni zimeshuka half price,Mama alishusha kama unabisha Uliza daktari wako amkwambie bei za 2020 na Sasa.On top of that hata hizo CT Scan zilikuwa hospital kubwa Sasa ni Mikoa yote(Kazi ya Samia vinginevyo wewe ulitakiwa utoke Nanjilinji Kufuata CT Scan Dar).
Mwisho maisha ya Vijijini Kwa Sasa ni Bora zaidi kuliko miaka 2 iliyopita ndio maana hukuti watu kukimbilia Mjini , Kijijini Kuna umeme,maji,Huduma za Afya,Shule na uhakika wa usafiri.
View: https://twitter.com/ruwasatz/status/1697129408434151904?t=-Ga72_Cq00nO0Uo8etX08g&s=19
Wavumilieni hivyo hivyo wakizidisha unawachana makavu ππTunajadiliana na watu wengi wajinga wajinga humu jukwaani. Haelewi maana ya purchasing power kuwa juu.
Na wewe Tuletee mabandiko ya kuchemsha ambayo hayajapikwa.Tunazungumzia kodi isiyo kandamizia kandamizi kwa mwananchi wa kawaida.
Unataka kutuaminisha na data zako plus mabandiko yako ya kupika yaliyoandaliwa na chawa kama wewe.
HII mbona kinyume chakeMimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.
Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.
Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.
Biashara kuimalika
Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa
Mzunguko wa pesa kuonekana
Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki
Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha
Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo
Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa
Wakulima angalau wanaona faida
Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Kufanya mengi ndo kuongeza mishahara?Tatizo lenu ni hilo hilo kukimbilia maongezi ya matumizi ya neno chawa. Hasira zenu hazina msaada wowote wa kubadili hiyo hali.
Umaskini upo na utaendelea kuwepo kwa miaka mingi. Lakini nakataa kusema kwamba awamu ya sita haifanyi lolote. Yapo mengi sana ya kiuchumi yanayoendelea kufanyika muda huu.
Kuna suala la mishahara kuongezeka huwa haliongelewi, kuna masuala ya msururu wa kodi kufutwa hata siku moja hayasemwi.
Ukiamua kuyaongelea unapachikwa jina la Chawa!, kisa unajitegemea kwenye suala la kutoa maoni.
ThibitishaHII mbona kinyume chake
Mimi pia ningekuchapa kibao cha uso. Pesa imeongezeka mtaani, TRA hawafungi biashara za watu kwa kuwakomoa kisa vyeo vyao, wanatumia njia za kistaarabu za kupata pesa yao ya kodi.Kufanya mengi ndo kuongeza mishahara?
Mlioko kwenye mnyororo wa kiunyonyaji bhana! Natamani ningelikuwa nakujua ningelikuchapa kibao
Kwani kati ya mengi wewe umeona mishahara tuu? Nikuorodheshew hayo mengi uyaone? Si unajifanya umevaa miwani ya mbali wewe au?Kufanya mengi ndo kuongeza mishahara?
Mlioko kwenye mnyororo wa kiunyonyaji bhana! Natamani ningelikuwa nakujua ningelikuchapa kibao
Rudi darasani wewe mbumbumbu
Mlala hoi anauza mchicha ,anauza nguo,anatembeza samaki nk
Ongezeko.la salary inaongezeka purchasing power ya mtumishi (consumer) ambae automatically hakai na pesa ndani Bali ataongeza expenditures.
Same applied kwenye Ajira Mpya na Posho kuongezeka.
Una akili mbovu sana, kwahiyo unaamini kutofungiwa biashara ndo kupunguza ukali wa kodi!?Na wewe Tuletee mabandiko ya kuchemsha ambayo hayajapikwa.
Kodi kandamizi ni kama zipi? Zimeanza na Samia? By the way Samia amezifita Kodi nyingi sana na kurahisisha mambo ya regulatory kiasi kwamba Leo kama unadaiwa Kodi hufunhiwi biashara kama kule mlikokuwa mnapora pesa za wafanyabiashara
Umeandika pumba ποΈποΈποΈUna akili mbovu sana, kwahiyo unaamini kutofungiwa biashara ndo kupunguza ukali wa kodi!?
Mama ako aliamua kuzipunguza baada ya kuona maji yamemfika shingoni.
Mkuu ongezeko la mshahara lilifanywa kwaajili ya kukufumba macho mjinga kama wewe ambaye haujielewi ili 2025 ukawachague.
Grow up and open your eyes.
2025 we gonna murder you and your grandmaπ.
Tuwekee bei hivyo vitu ulivyo vitaja kipindi cha JK, JPM na sasa tulinganishe.Una akili gani? Bei ya vyakula sasa ni sawa na wakati ule? Unajua JPM aliacha unga na mchele sh ngapi? Unajua aliacha mafuta bei gani? Serikali imeshindwa kuthibiti mfumko wa bei. Kisingizio cha global issues ni kichaka cha wahuni ku inflate bei ya vitu kuliko uhalisia.
Sasa kama dollar hakuna, mafuta hayashikiki, maji hayaeleweki, na sasa umeme masaa hadi 15 hakuna utasema kuna watu wanafanya kazi? Unajua biashara ngapi zinapepesuka? Au upo kwenye AC office za umma unafikiri kila mtu yupo hivyo?
Umeme kipindi chote cha JPM ulikuwa unakatika kawaida lakini si mgao! JPM alileta mvua? JPM alikuwa na vyanzo vipya vya umeme? Tena si alitimua baadhi ya vyanzo umizi kama IPTL lakini bado nchi ilipata umeme.
Hii nchi imejaa wahuni, hawa wahuni wakikuona legelege wanafanya watakalo na ndio kinachoendelea.
Huduma zote zimefeli mno kama Huduma gani na thibisha.Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno
Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!
Huduma za matibabu hovyo
Dollar hakuna
Umeme hakuna
Huduma ya maji safi ni taabu
Pesa mtaani hakuna
Bidhaa juu, hadi kero
Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo
Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!
Bandari zimemshinda kuzisimamia
Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake
Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii
Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!
Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini
Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!
Ni tafrani tupu
Huyu amefeli sana kwa kua mtu mjinga anayeyejiamini. Kumpinga magufuli ilikua kosa kubwa na ndicho kitu kilimtenga na umma wa wananchi.Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno
Ripoti za CAG zinawekwa makabatini tu kwa mh sipika bila kufanyiwa kazi na wahusika wapo, hii ni dhambi kubwa sana na unyanyasaji kwa vibaka wa kuiba kuku huku mafisadi yakilelewa na viongozi!
Huduma za matibabu hovyo
Dollar hakuna
Umeme hakuna
Huduma ya maji safi ni taabu
Pesa mtaani hakuna
Bidhaa juu, hadi kero
Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo
Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!
Bandari zimemshinda kuzisimamia
Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake
Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii
Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!
Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini
Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Vijana wanabuya unga tu na kuwa kama mazezeta, maana yake, awamu hii wauza unga wanatamba tu hawana mtu wa kuwatisha!
Ni tafrani tupu
Huyu amefeli sana ππππHuyu amefeli sana kwa kua mtu mjinga anayeyejiamini. Kumpinga magufuli ilikua kosa kubwa na ndicho kitu kilimtenga na umma wa wananchi.
Kujengwa mikoa 26 ndo kitu gani? Na ni shule ngapi sasa hizo?Huyu amefeli sana ππππ
Shule kama hizi Maalumu za Wasichana zinajengwa Mikoa 26 chini ya Samia,hakuna kima mwingine yeyote amewahi fanya hivi.
Hapo sijazungumzia Sekondari za O level,Shule za Msingi nk
View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1704203321022493104?t=EeU0isNSZMIWHQeOGITMEg&s=19View attachment 2758296
Na nyie mlioshindwa kuweka dawati za Watoto onyesheni mlichofanya π€£π€£Kujengwa mikia 26 ndo kitu gani?
Hakiondoi ukweli kwamba, huduma kwa wananchi ni mbovu kuliko falme zozote zilizowahi kupita Tanzania
Umeandika pumba ποΈποΈποΈ
Kutofungwa biashara kunakupa uhakika wa existence kwenye soko na wateja kujenga trust na Biashara Yako na mwisho faida
Mama yangu aliamua kuzipunguza kutoa nafuu zaidi Kwa Mwananchi,kumfika Shingo ipi wewe nyumbu? Kwani aliziweka yeye?
Ajira Mpya, Ongezeko la salary ni njia za kuongeza money supply kwenye uchumi hivyo kuchochea uchumi zaidi,huo ushuzi umeandika kamsimulie mkeo.
Mwisho on top of that watu wanazidi kupiga hela wewe unalalamika π€£π€£π€£π€£π€£
View: https://www.instagram.com/p/CxXXcYVsRKC/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Unajua kipimo cha CT SCAN ni shilingi ngapi!?Na nyie mlioshindwa kuweka dawati za Watoto onyesheni mlichofanya π€£π€£
Sasa kwani ukiongea wewe huo ujinga wako ndio inafanya Huduma kuwa mbovu? Endelea kuongea ila haibadili ukweli kwamba Samia amewafunika woooote hapa mnajifariji Kwa maumivu ya wivu tuu ππ
View: https://twitter.com/wizara_afyatz/status/1704379131322859950?t=LRpbxPr1Fjd23uX827wntA&s=19View attachment 2758305View attachment 2758306View attachment 2758307View attachment 2758308View attachment 2758309View attachment 2758310