Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Awamu ya Rais Samia ndiyo awamu iliyofeli kuliko awamu zote na kufanya wananchi kujutia zaidi uongozi huu

Muajiriwa wa serikalini anayetembelea V8 na kulipwa marupurupu ya millioni kila mwezi na kuzurura tu pasipo kufanya kazi ngumu...hawezi elewa mantiki ya huu uzi
huu uzi una maana kubwa sana
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?

Mama Abdul hajui kinachoendelea nchi hii, na kama anajua, basi hajali. Anaishi kwenye bubble ya maisha ya Urais.
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.

Kabisa, uko sahihi, hata mwendawazimu ana maoni, funguka.
 
Huduma zote mhimu kwa wananchi zimefeli vibaya mno

Huduma za matibabu hovyo

Dollar hakuna

Umeme hakuna

Huduma ya maji safi ni taabu

Pesa mtaani hakuna

Bidhaa juu, hadi kero

Mafuta hayana mdhibiti, mfanya biashara akiamka vibaya tu, hasira zote anazielekezea kwa walala hoi, anapandisha bei ama kuficha bidhaa hiyo

Bei za vifaa vya ujenzi havishikiki!

Bandari zimemshinda kuzisimamia

Ni awamu itakayeongoza kuwapeleka jela wanawake

Kodi nyingi na za ajabu ajabu, ni awamu hii

Lilianza suala la umeme, kutoka 27,000 hadi malaki ya fedha kuingiziwa umeme, badaye kulifuata Bima ya mtoto utadhani mtoto ana hatia kuzaliwa duniani!

Badala yake, tumeona sheria za wake za maraisi kuingizwa kwenye kulipwa utadhani na wao wanaingia ofisini

Mbona hawazungumziwi na au sheria hiyo kuwahusu wake za watumishi wote wa umma?
Nape anasema msiompenda mama muuza ni kikundi tu cha wachache.
 
Mimi naona ni awamu iliyo fanikiwa kuliko iliyopita.

Miradi mingi ya kimkakati imeanzishwa na mingine kumaliziwa ya awamu ya tano na ikiendelezwa vizuri.

Bei ya bidhaa kama Korosho , ufuta na Mbaazi kuimalika.

Biashara kuimalika

Ajira zinatangazwa na watoto wa masikini wanaajiriwa

Mzunguko wa pesa kuonekana

Uchumi wa mtu mmoja mmoja kuboreka na huduma za kifedha kuwa Bora zaidi hasa kibenki

Foreign direct Investment imeongezeka na viwanda vipya vinafunguliwa huko Mkuranga na Kibaha

Uboreshaji wa maslahi ya watumishi angalau kidogo

Uhuru wa mawazo na mikutano ya kisiasa umezidishwa

Wakulima angalau wanaona faida

Elimu ya juu pesa imeongezwa.
Mkuu kwenye biashara nadhani hauko sahaihi sana
 
Embu jibu hoja za mleta uzi, tofauti na hapo na wewe unanzishe uzi wa kusifu. Huyu ajibiwe kwenye hoja zako.
Ndio kajibu!
Hebu ngoja tuone hao wanaoitwa wanyonge kipindi Cha awamu iliyopita na hali zao ilikuwaje.

Wakulima:
Hili kundi halina bima na ridhiki yao ni jembe la mkono.
Asilimia almost 70% ya Watanzania wanajihusisha kwa namna Moja ama nyingine.

Lakini hali zao ziliboreka kipindi Cha awamu iliyopita?

Tuwatazame wakulima wa Korosho mikoa ya Pwani, Lindi,Mtwara na wilaya ya Tunduru.
Kabla serikari haijaingilia bei ya Korosho ilikuwa vizuri na wakulima waliita dhahabu nyeupe.

Lakini awamu ya tano ikaingia, tena mbaya zaidi ikatuma jeshi ndilo likusanye badala ya makampuni ya kigeni, matokeo yake,
Watu kudhulumiwa Korosho zao, vipigo kwa walanguzi na kushusha bei ya soko.

Kilimo Cha Mbaazi
Kilikuwa vizuri kilo ilienda mpaka 3000 na kunufaisha hawa wanyonge unao waits matokeo yake awamu ya tano ikaingiliwa, ikabiruga Soko na Mbaazi kushushwa mpaka 1000 kwa kilo.

Yaani muokota chupa za plastiki anapata pesa nyingi kuliko mkulima wa mbaazi, hebu fikiria kwa umakini.

Kilimo Cha Mahindi
Nani asiyejua bei ya pembejeo iliendelea kupanda kwa awamu iliyopita lakini bei ya mazao sokoni ilishushwa.

Wakati gharama ya kuhudumia shamba la mahindi ipo juu, Kuna mtu mmoja aliamua kuathiri chain nzima kwa kupiga marufuku masoko ya nje ambayo ni Kenya na Zambia.

Matokeo yake kaya masikini kule Sumbawanga na nyanda za juu kusini wakulima walikuwa wanapata hasara, kumbuka kule vijijini ndani ndani hutegemea kilimo hicho kuendesha maisha yao.

Hawakupunguziwa gharama za pembejeo za kilimo Wala kupewa chochote na serikari.

Kilimo Cha Nyanya
Waza mkoa wa Iringa na kitendo Cha kufungwa mipaka kilifanya Nyanya zishuke bei mpaka sado 500.

Je gharama za Nyanya, mbolea, mbegu, vibarua ilipungua?
Vipi wananchi wenye hali duni kule kilolo? Uliwafikiria?
Au hawa si wanyonge, labda Wana bima za kiasili kutoka kwa Mkwavinyika?

Mliaminishwa propaganda ambazo wachache walipata ukwasi usiomithilika na wengi mlikuwa bendera fuata upepo.

Vipi upotevu wa 1.5 Trillion ambazo CAG kazitaja kipindi Cha awamu iliyopita?

Vipi ununuzi wa Ndege kwa Cash ambazo value of money haionekani?
Kwenye Taifa masikini

Kwa nini sheria ya fedha, na budget ilikuwa haifuatwi?
Unajua kwenye ujenzi Kuna wizi mkubwa zaidi?
Kwa nini sheria ya manunuzi haikufuatwa?

Kwa nini Vijana wachache kina makonda na wenzie wakawa matajiri ghafra?

Kwa nini mabenki yalifilisika?

Kwa nini mifuko ya hifadhi ya jamii ilikuwa merged?

*Acheni propaganda na uzalendo uchwara huku wachache wakifaidika

Je wamachinga aliwaundia sheria ya kuwalinda?

Aliboresha maslahi yao ya kazi?

Au ilikuwa kete ya kisiasa
Umenena kweli tupu!
 
confidence 0% sasa tunajua anayekushika mkono ni yule mwizi wa msoga mpiga madili!
JK - Bilioni 360 Richmond, Dowans & Escrow (sio hela ya serikali) kwa miaka 10. Mawaziri wakawajibika kwa kujiuzulu

JPM - Tiririoni 3 kwa mujibu wa vitabu vya CAG kwa miaka 5. CAG kafurumushwa. Hakuna waziri aliyejiuzu.

Nani Jambazi? Wa Msoga au Chato?
 
Petrol inatoka nje ya nchi inanunuliwa kwa fedha ya kigeni, hakuna namna ambayo sisi tunaweza kuwa na utawala wa bidhaa ya kutoka nje, wanaitawala wenye kumiliki hizo biashara na sio sisi.

Huko Lindi wamepata hospitali mpya tangu nchi ipate uhuru, unapowaambia awamu hii ni mbovu inabidi uje na hoja zenye kuingia vichwani mwao.

Kodi huwezi kukwepa kuzilipa iwapo unataka huduma ziboreshwe. Hao wanaotupa misaada wanajinyima matanuzi ili sisi tuweze kuishi, kumbuka hilo kabla hujaendelea kulialia.

Bandari inapata mwekezaji DP World na mwezi Novemba anaanza kazi, kule Mbegani Bagamoyo pia anakwenda kupatikana mwendeshaji mahiri, hiyo sekta ya uchukuzi serikali imejipanga kisawasawa.

Masuala mengi ya kiuchumi yanakwenda kupata ufumbuzi.

Punguza kulialia.
Kodi ndo hizo zinazoliwa na ripoti ya CAG haifanyiwi kazi??

Acha ushabiki wa kishamba mkuu
 
Narudia:

Ulitaka kuagiza nini nje ya nchi kwa kutumia Dollar ukakosa
Narudia tena,

Ingawa siwezi kukwambia chochote kuhusu kile naagiza kwa dollar na imekuwa changamoto

Ila ukae ukijua, nakupa siri tu za wafanya biashara sisi kwamba, hata hayo mafuta kuoanda saana, changamoto ni dollar
 
Hebu ngoja tuone hao wanaoitwa wanyonge kipindi Cha awamu iliyopita na hali zao ilikuwaje.

Wakulima:
Hili kundi halina bima na ridhiki yao ni jembe la mkono.
Asilimia almost 70% ya Watanzania wanajihusisha kwa namna Moja ama nyingine.

Lakini hali zao ziliboreka kipindi Cha awamu iliyopita?

Tuwatazame wakulima wa Korosho mikoa ya Pwani, Lindi,Mtwara na wilaya ya Tunduru.
Kabla serikari haijaingilia bei ya Korosho ilikuwa vizuri na wakulima waliita dhahabu nyeupe.

Lakini awamu ya tano ikaingia, tena mbaya zaidi ikatuma jeshi ndilo likusanye badala ya makampuni ya kigeni, matokeo yake,
Watu kudhulumiwa Korosho zao, vipigo kwa walanguzi na kushusha bei ya soko.

Kilimo Cha Mbaazi
Kilikuwa vizuri kilo ilienda mpaka 3000 na kunufaisha hawa wanyonge unao waits matokeo yake awamu ya tano ikaingiliwa, ikabiruga Soko na Mbaazi kushushwa mpaka 1000 kwa kilo.

Yaani muokota chupa za plastiki anapata pesa nyingi kuliko mkulima wa mbaazi, hebu fikiria kwa umakini.

Kilimo Cha Mahindi
Nani asiyejua bei ya pembejeo iliendelea kupanda kwa awamu iliyopita lakini bei ya mazao sokoni ilishushwa.

Wakati gharama ya kuhudumia shamba la mahindi ipo juu, Kuna mtu mmoja aliamua kuathiri chain nzima kwa kupiga marufuku masoko ya nje ambayo ni Kenya na Zambia.

Matokeo yake kaya masikini kule Sumbawanga na nyanda za juu kusini wakulima walikuwa wanapata hasara, kumbuka kule vijijini ndani ndani hutegemea kilimo hicho kuendesha maisha yao.

Hawakupunguziwa gharama za pembejeo za kilimo Wala kupewa chochote na serikari.

Kilimo Cha Nyanya
Waza mkoa wa Iringa na kitendo Cha kufungwa mipaka kilifanya Nyanya zishuke bei mpaka sado 500.

Je gharama za Nyanya, mbolea, mbegu, vibarua ilipungua?
Vipi wananchi wenye hali duni kule kilolo? Uliwafikiria?
Au hawa si wanyonge, labda Wana bima za kiasili kutoka kwa Mkwavinyika?

Mliaminishwa propaganda ambazo wachache walipata ukwasi usiomithilika na wengi mlikuwa bendera fuata upepo.

Vipi upotevu wa 1.5 Trillion ambazo CAG kazitaja kipindi Cha awamu iliyopita?

Vipi ununuzi wa Ndege kwa Cash ambazo value of money haionekani?
Kwenye Taifa masikini

Kwa nini sheria ya fedha, na budget ilikuwa haifuatwi?
Unajua kwenye ujenzi Kuna wizi mkubwa zaidi?
Kwa nini sheria ya manunuzi haikufuatwa?

Kwa nini Vijana wachache kina makonda na wenzie wakawa matajiri ghafra?

Kwa nini mabenki yalifilisika?

Kwa nini mifuko ya hifadhi ya jamii ilikuwa merged?

*Acheni propaganda na uzalendo uchwara huku wachache wakifaidika

Je wamachinga aliwaundia sheria ya kuwalinda?

Aliboresha maslahi yao ya kazi?

Au ilikuwa kete ya kisiasa
Uko sahihi

Kile usichokuwa sahihi, umeshindwa kubainisha unafuu wa mkulima anaupata wapi na atajiendeleza vipi anapouza mazao yake kwa bei juu, akirudi kwenye vifaa vingine vya ujenzi, analutana na mrundikano wa bei

Nafuu yake ni ipi hapo mkuu
 
Back
Top Bottom