Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Kama cha Azam kimekushinda DSTV ndyo utauza na tv kbsa any way hamia startimes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
23k imemshinda hiyo ndio kuweza?Njoo DStv..
Ukilipa cha 60K hutoki ndani
Na hata asipolipa channels za bure zipo za kutoshaLipia package inayoendana na kipato chako, Period. Usilazimishe kiangalia channels ambazo huwezi lipia.
Pima suruali kadri ya kitambaa ulichonacho
Mkuu...kama Gharama zimepanda ulitaka waingie hasara kufurahisha wateja?..Kwema,
Vifurushi vya Azam vimepanda bei,kuanzia tar 1/8,kikichokua 23000 sasa ni 25000
Azamtv mnatuonaje hasa au ni kwasababu ya kuonesha ligi yenu au ni zile tamthilia zenu...
Wakuu naomben ushaur nahama azamtv ni kisimbuzi kipi kitanifaa au kote mwendo ni ule ule
Kwema,
Vifurushi vya Azam vimepanda bei,kuanzia tar 1/8,kikichokua 23000 sasa ni 25000
Azamtv mnatuonaje hasa au ni kwasababu ya kuonesha ligi yenu au ni zile tamthilia zenu...
Wakuu naomben ushaur nahama azamtv ni kisimbuzi kipi kitanifaa au kote mwendo ni ule ule
fear#fairHawa jamaa hawamalizi miezi 6 bila kupandisha bei. Sio fear kabisa.
Itakua hapa kodi kubwa ndio maana mzigo anapewa anaetumia..Mbona kwa majirani zetu wanawafanyia fair?
Hata mimi nimejiunga nao kwa sababu ya mpira wa Bongo tu. Nje ya hapo, bora hata ya Star timesmpira ndio unawaingizia pesa sana ila walifanya kosa kuwapa mkataba was muda mrefu.
Kabisa. Lakini wanakosea. Hii ni kampuni ya kizalendo, kodi kubwa ya nini?Itakua hapa kodi kubwa ndio maana mzigo anapewa anaetumia..