Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niangalie wapi mkurugenzi. Mimi nje ya mpira, hakuna kitu kingine kinanivutia kwenye king'amuzi cha Azam. Muvi zao nyingi ni za kidwanzi.Unaangalia hizi mkuu,🏃
DStvKwema,
Vifurushi vya Azam vimepanda bei,kuanzia tar 1/8,kikichokua 23000 sasa ni 25000
Azamtv mnatuonaje hasa au ni kwasababu ya kuonesha ligi yenu au ni zile tamthilia zenu...
Wakuu naomben ushaur nahama azamtv ni kisimbuzi kipi kitanifaa au kote mwendo ni ule ule
Ni muvi za mkojani zimejaa tu[emoji1787][emoji1787]Niangalie wapi mkurugenzi. Mimi nje ya mpira, hakuna kitu kingine kinanivutia kwenye king'amuzi cha Azam. Muvi zao nyingi ni za kidwanzi.
Azam Media wanatakiwa waishukuru sana TFF. Maana Ligi ya Bongo ndiyo inayowapa jeuri ya kupandisha gharama za vifurushi vyao.Ni muvi za mkojani zimejaa tu[emoji1787][emoji1787]
Halafu ving'amuzi vyao wameviuza kwa wingi, nilitegemea bei ya vifurushi kupunguzwa. Anyway, wao sio pekee hapa nchini.Kwema,
Vifurushi vya Azam vimepanda bei,kuanzia tar 1/8,kikichokua 23000 sasa ni 25000
Azamtv mnatuonaje hasa au ni kwasababu ya kuonesha ligi yenu au ni zile tamthilia zenu...
Wakuu naomben ushaur nahama azamtv ni kisimbuzi kipi kitanifaa au kote mwendo ni ule ule
Sasa mbona gharama ya kununua king'amuzi walipunguza na wanauza kwa wingi?Mkuu...kama Gharama zimepanda ulitaka waingie hasara kufurahisha wateja?..
Je unajua sababu zinazopelekea kupanda kwa Gharama za Vifurushi??
Swala la kodi kwa Tanzania halina uzalendo hata wewe ukitaka kuleta bidhaa ya matumizi yako utakatishwa tamaa na hao TRA kwa jinsi vikokoteo vyao vilivyo...Kabisa. Lakini wanakosea. Hii ni kampuni ya kizalendo, kodi kubwa ya nini?
Yaani hii nchiSwala la kodi kwa Tanzania halina uzalendo hata wewe ukitaka kuleta bidhaa ya matumizi yako utakatishwa tamaa na hao TRA kwa jinsi vikokoteo vyao vilivyo...
Ukitoa Ligi ya Bongo hakuna jipya Azam,Azam wajinga sana, michaneli yenyewe ya kiarabu ya free, poor quality! ukiondoa ligi kuu hakuna kitu cha maana!
Dstv pambaneni mnunue haki za matangazo ligi kuu turudi nyumban
Nunua azamtv ya kenya au malawi ule maisha. Malipo ni kwa mastercardMbona kwa majirani zetu wanawafanyia fair?
Njoo DStvKwema,
Vifurushi vya Azam vimepanda bei,kuanzia tar 1/8,kikichokua 23000 sasa ni 25000
Azamtv mnatuonaje hasa au ni kwasababu ya kuonesha ligi yenu au ni zile tamthilia zenu...
Wakuu naomben ushaur nahama azamtv ni kisimbuzi kipi kitanifaa au kote mwendo ni ule ule
Watu wamevurugwa🤣Mheshimiwa Azam Fc na Azam Media mbona ni kampuni mbili tofauti kabisa. 😁😁