Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ilikua 56,000 wamepandisha last monthNjoo DStv..
Ukilipa cha 60K hutoki ndani
Elimu,Kwa hiyo hakuna mabadiliko ya cha 35,000
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nimepokea sms ya AzamTv kuhusu kupandisha bei za vifurushi kuanzia tarehe 01/08/2023.
Mkeka ni kama ifuatavyo;View attachment 2697690
Si mnapenda kuangalia Simba Day na Yanga Day na Sultan !Hawa jamaa hawamalizi miezi 6 bila kupandisha bei. Sio fear kabisa.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kabisa aisee
JiueSi mnasifu kila siku eti Mama yenu Anaupiga Mwingi!!!?
Baki hapo hapo mkuu utazoea tuKwema,
Vifurushi vya Azam vimepanda bei,kuanzia tar 1/8,kikichokua 23000 sasa ni 25000
Azamtv mnatuonaje hasa au ni kwasababu ya kuonesha ligi yenu au ni zile tamthilia zenu...
Wakuu naomben ushaur nahama azamtv ni kisimbuzi kipi kitanifaa au kote mwendo ni ule ule
Mheshimiwa Azam Fc na Azam Media mbona ni kampuni mbili tofauti kabisa. 😁😁Zile sajili zao tu za mbwembwe, kina Fei na wengineo, nilijua huu ni mtego, kama ilivyo serikali na mzigo wa matozo kwa raia wake wanyonge huku wakishindwa kupunguza matumizi, na Azam hivyo hivyo, mzigo wa matumizi anaangushiwa mteja[emoji17][emoji17][emoji17]
Duuuh! aisee we kichwaji Maji yan kwaiyo mama anaingiajeapo. Ebu punguza chuki binafs utakufa buleSi mnasifu kila siku eti Mama yenu Anaupiga Mwingi!!!?
Wabongo 🙌🙌 sasa kama tunalia na vifurushi vya Azam vya Dstv inawezekana , vya Dstv pia vimepanda au huna taarifa mkuuAzam wajinga sana, michaneli yenyewe ya kiarabu ya free, poor quality! ukiondoa ligi kuu hakuna kitu cha maana!
Dstv pambaneni mnunue haki za matangazo ligi kuu turudi nyumban
Dstv picha quality na chanels zao ni unique,Wabongo [emoji119][emoji119] sasa kama tunalia na vifurushi vya Azam vya Dstv inawezekana , vya Dstv pia vimepanda au huna taarifa mkuu
Zitaje sababu hizo hapa...Mkuu...kama Gharama zimepanda ulitaka waingie hasara kufurahisha wateja?..
Je unajua sababu zinazopelekea kupanda kwa Gharama za Vifurushi??
Hongera kwa kuhitimu kozi ya utambuzi Pale Uholanzi [emoji1544]Nawaza huduma yao ya Azam money nayo wanabei nzuri msimu wa kutafuta watejaaa
Wakishajazanaaa watapandisha baadhi ya gharama
Au wangekubali mkataba wa muda mrefu kwa dollar na sio Tsh maana ndani ya mwaka huu Milioni 500 ni sawa na dollar 200,000/Mpira ndio unawaingizia pesa sana ila walifanya kosa kuwapa mkataba was muda mrefu.
Hawawezi pewa tenda ya kuonesha, ndo maana ligi ikaingia mkataba wa muda mrefuDstv wakiweza kuonesha ligi kuu basi azam, azam kisimbuzi kipo sababu ya NBC premiere league na si jingine
Unaangalia hizi mkuu,🏃Wanaongeza bei halafu tamthiliya zenyewe ndiyo hizi za Ottoman! Kazi kweli kweli.