Azam TV yapandisha bei za vifurushi kuanzia Agosti 1 mwaka huu

Mkuu...kama Gharama zimepanda ulitaka waingie hasara kufurahisha wateja?..

Je unajua sababu zinazopelekea kupanda kwa Gharama za Vifurushi??
 

Mkuu ulisoma na kuelewa vigezo na masharti kabla kutumia huduma zao?
 
Zile sajili zao tu za mbwembwe, kina Fei na wengineo, nilijua huu ni mtego, kama ilivyo serikali na mzigo wa matozo kwa raia wake wanyonge huku wakishindwa kupunguza matumizi, na Azam hivyo hivyo, mzigo wa matumizi anaangushiwa mteja[emoji17][emoji17][emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…