Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,407
- 5,418
Huenda kuna rushwa ilitembea hapo, viongozi wenye akili timamu hawawezi kukubaliana na mkataba wa kinyonyaji namna hiyoNawalaumu bodi ya ligi kuchukua pesa bila kuangalia thamani ya pesa kwa muda husika, huu mkataba ulipaswa uwe wa miaka 10 ila thamani ya fedha iwe kwa dollar