Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ulimbukeni tuu, hilo single maza ndo la kuvuruga mtu kiasi hiki? Bora To yeye watoto wàke wa baba mmoja.Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Huyu Ki siyo mwanachama wa vikao vya wanaume huyu, achunguzwe jinsia.Kwenye vikao vyenu si huwa mnaambiwa hamna kuoa single mother nyie? Na hamna kulipia mahari asiye bikra😂😂😂😂😂
Tako tako kweli yaani hapa aziz anafaidi dunia kabisa.Hii sio trend Kweli.🤔?
Naona kama huu ni mchezo umechezwa Kwa akili kubwa Sana.Huyu jamaa kamuolea mtu.
Ila hamisa ana msambwanda asee.
Wacha nibaki na Kazi yangu ya udalali
Single mama uwe na tako sasaBora single Maza nyota zimeanza kung'aa.
Mie nataka wote but if am to choose aise mobeto ata tako zuri sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] oyaaa...ukiambiwa uekti porno na hamisa na malaika cute...utamchgua nani ?
Kuna yule msanii kazi yake ilikuwa ni kupiku wake wa wenzake simkumbuki jina yaani yeye ni pinduapinduaLakini mbili, Hamisa ni Kunguru ambaye hafugiki, kwa maana ya kwamba watu wazima kama kina diamond, majizo na hata yule mnigeria wame gonga mwamba je vipi kwa Huyu kijana ambaye alipaswa achukue binti wa 2000 waanze moja
Mim nilisema jaman huku mtaan watu wanaoa watu wenye Rika sawa hao watoto wa 2000 na bikra wanaoa wakiwa mitandaonMimi huwa nasema, Hizo kelele za bikra , single maza na blah blah kama hizo zipo huku mtandaoni tu, ila kiuhalisia watu wanaoa na wala hawajali[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu limbukeni kapotea sana, kachukua mali yà umma. Hapa mwàka mmoja tuu hamisa atakuwa keshapata alizozitaka ndo mwisho wa Ki.Kuna wanawake wa kula na kuto olewa na Hamisa ni moja kati ya hao wanawake wasiostahili kuolewa. Yule ni kwa agili ya kuburudika naye tu kisha unasepa tena huku ukimblock asikutafute unamtafuta wewe tu pale unapomuhitaji.. Mwanamke gani anapigwa miti kwa dau na kila mwanamme?
Wewe unaona Ile sura ya Ki baada ya miaka 5 itakuwaje? Hapo mwakà ukiisha bahati.Huenda na uchawi umo,hii sio kawaida
Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Wanaoa single mamaz sana tu lakini haiondoi ukweli kuwa wanakinywea kikombe ndani ya hilo tanuru.Mim nilisema jaman huku mtaan watu wanaoa watu wenye Rika sawa hao watoto wa 2000 na bikra wanaoa wakiwa mitandaon
YashapoaHahahahahhah,
Pole kwa mgogoro wa kifamilia Mtibeli.
Kabisa mkuu, kuna baadhi ya pisi mtu unazidharau, unaona ni mbovu ila kuna mwamba huko halali, anahonga balaa walau apate kiss tu.Barikiwa,nadhani wameelewa
Kisichokufaa wewe mwingine chamfaa
Yaan maisha ya mapenzi siyo ya kupangiana...wewe huwezi wenzako wanaweza...
Yaan mtu kupigwa matukio basi anataka wanaume wote wasimthamini mwanamke ...hapana tunakosea...tukumbuke nasi tulizaliwa na mwanamke aliyechaguliwa na baba
Huyo mdada anatumia UCHI wake vizuri!Wakuu
Kama mnavyojua jambo lao ni leo (MAHARI DAY 15TH FEB 2025)
Soma: Aziz Ki aachia video akimvisha pete Hamisa Mobetto na ujumbe mzito wa siku ya Valentine
Afisa Habari wa Yanga Ally Kamwe ameweka wazi kuwa Aziz Ki amemtolea Hamisa Mobetto Mahari ya Shilingi Milioni 30
View attachment 3236974
Daah mkuu.Tusimtaman sanaaaa ni mke WA mtu masaa kadhaa yajayo.Tako tako kweli yaani hapa aziz anafaidi dunia kabisa.
Huyu mrembo ukimweka doggy style hadi raha
Naweza nikawaombea mazuri lakini kuachana kupo pale pale nakwambia. Maombi yangu hayatasaidia chochoteWaombee wenzio mambo mazuri jamani sio poa hivyo.