macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ni kweli. Zamani kabla DSTV hajaingia nakumbuka ligi kuu ya Uingereza, Champions Leaque etc tulikuwa tunaangalia bure ITV. Kipindi hicho Arsenal ndiyo ilikuwa moto kweli kweli. Lakini mpaka sasa kombe la dunia mechi nyingi ni bure na huwa zinarushwa na TV za serikali au bure za nchi husika.Kombe la dunia na lenyewe ni premium? Hili si huwa linakuwa la wazi hata youtube linastrimika? Au mambo yamebadilika? ITV alikuwa anaonesha UEFA, Uero, World Cup, Afcon nk ,sijui ilikuaje akawaachia hao wengine ambao ni wachanga wampoteze
Ni policy ya FIFA kuonyesha kombe la dunia bure kwa watu wengi kadiri iwezekanavyo. Hivyo TV ya taifa ni lazima itaonyesha. Serikali haina nguvu yoyote kwenye rights za TV na hata wakisema ndiyo wameingilia ikaonyeshwa basi watakuwa wanadanganya.Mwisho wa siku serikali itaingilia kati na watanzania watashuhudia world cup buree kupitia free to air channels.
Kama huamini, wewe subiri uone nguvu ya wanasiasa.
Nakumbuka miaka ya 2002 niilikuwa naangalia EPL na UEFA kupitia channel ten, sijui kilibadilika niniNi kweli. Zamani kabla DSTV hajaingia nakumbuka ligi kuu ya Uingereza, Champions Leaque etc tulikuwa tunaangalia bure ITV. Kipindi hicho Arsenal ndiyo ilikuwa moto kweli kweli. Lakini mpaka sasa kombe la dunia mechi nyingi ni bure na huwa zinarushwa na TV za serikali au bure za nchi husika.
I concur.Kombe la dunia siyo fedha ina-matter. Ninachojua TV za serikali kila nchi zinapewa offer ya kuonyesha bure.
Then obviously you're uncultivated, watu wanaosoma vitabu ni kawaida kukuta uncommon words na wanaofuatilia mijadala ya watu wakubwa wenye elimu kubwa ni kawaida sana kuona wakitumia uncommon words, Na sio maneno magumu bali ni high vocabulary.Uandishi wako ni wa kawaida sana, sana. Kutumia maneno magumu kwenye vitu vidogo ni alama ya udhaifu. Huwezi kutumia maneno magumu alafu ukashindwa kuelewa vitu basic kabisa na kuvijengea hoja- hapa ndo napokubaliana na wajenga hoja ya kwamba maneno magumu mara nyingi hutumika kuficha udhaifu.
Point to note- Aliyelalamika habari ya maneno magumu ni mwengine ila katumia diplomatic language.
79,000 na ofa ya compact kuanzia tar 15 mwezi huu69'000
Asante sana.79,000 na ofa ya compact kuanzia tar 15 mwezi huu
Coverage na financial capacity ya Startimes media kwa Africa yote huwezi fananisha na Azam utaonekana kichaa.Yani azam awe magumashi kuliko startimes? Bro umetumia kilevi gani? Azam ndo mshindani wa Dstv kwa hapa Tz
Huyo mtoa mada namuona Kama mtoto mdogo, harafu anauliza maswali uenye kulazimisha huja yake iwe sahihi!!Unakosea mkuu,
Nimesema total bidding ya Qatar kuweza kuhost hayo mashindano. Jikite argument zako kwenye vilivyoandikwa otherwise hatuwezi kuwa na constructive argument.
WTF? mimi sio mleta mada lakini Jifunze kuandika mkuu.Huyo mtoa mada namuona Kama mtoto mdogo, harafu anauliza maswali uenye kulazimisha huja yake iwe sahihi!!
I see, high vocabulary is a national problem. Hauwezi kujibu kuogopa predicaments.Coverage na financial capacity ya Startimes media kwa Africa yote huwezi fananisha na Azam utaonekana kichaa.
Hoja haijawa confirned Tanzania, ila uwezo wa kampuni kwa ujumla kuweza kumudu kununua haki za matangazo.
Mkuu,I see, high vocabulary is a national problem. Hauwezi kujibu kuogopa predicaments.
Nah! shule sikwenda kuuza maandazi bali nilienda kutafuta watoto wakali.Mkuu,
Huko shule ulienda kusoma au kuuza maandazi?
Unajenga hoja kama mtoto. Tafuta level hizo mtaelewana. Otherwise mimi sioni cha maana kutoka kwako zaidi ya GUBU.
Yani azam awe magumashi kuliko startimes? Bro umetumia kilevi gani? Azam ndo mshindani wa Dstv kwa hapa Tz
Azam anatuonyesha ligi ya France League 1 tunaiona PsG ya kina Neymar&Messi, azam anatuonyesha Bundesliga tunaiona Bayern Munich ya kina Sadio Mane, Dortmund na mechi kibao kila wiki, bado azam anaonyesha ligi ya ndani NBC bado azam anaonyesha mechi moja ya Epl bure kila jumamosi, lakini bado Pia tunayaona mashindano ya CAF
Huyo ndo mshindani halisi wa Dstv hapa Tz startimes ni takataka mbele ya azam, mtu mwenye akili timam hawezi kwenda kununua startimes kwa matarajio ya kupata burudani zaid ya burudani inayotolewa azam
Hiyo haiwezi sababisha company kubwa kama Azam kushindwa kulipia.
I would say tourism is a big pocket.
Unajua Startimes ana opserate nchi ngapi Afrika? Startimes sio Entity ya Tanzania tuu. na ana possibility ya kuonyesha kuliko azam