Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 987
- 1,426
Daah kila nikiwaza kichwa hakituliii aisee.. hapa kutombewaaa tuINTRODUCTION
Ashukuriwe Mhe. Raisi Mama Samia kwa kutuletea hizi ajira zaidi ya 11,000 hakika ameupiga mwingi.
PROBLEM
#YNWA
Achana na past, present na feature.I dont live in the past.
Distance doesnt matter. Akuamua kuliwa ataliwa tu.Achana na past, present na feature.
The point is agongwi?
Mapenzi ya mbali ni mtihaniii
#YNWA
Poe sana mkuu, vumilia tumtu kila siku ana lala na mkewe na anagongewa.
awe mbali awe KARIBU akiamua kugongwa atagongwa tu kikubwa angalia umeoa wapi
Tuendelee kugegedana tuu jamani ndio maisha ya sasa. Mambo ya kisema mbususu yako peke yako yamepitwa na wakatiNi kaz sana kuyatunza mapenz ya mbali
Wacha wajinga tuwachapiee ake zao.Kazi kweli kweli!
Aah Poa[emoji6]Ila wewe mnokoooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu usiwatishe wenzio, wanawake sisi ni waaminifu sanaaa.
Hahahahahaha labda kaseja hayupo goliniMkuu acha story za vijiweni, ukweli ni kwamba wapo wanaume na wanawake waliotulia na wanaweza ku-sustain kukaa wenyewe for as long as it takes. Priority kwao ipo kwenye vitu vingine kabisaaaa.
Binafsi priority yangu haijawahi kuwa kwenye hayo mambo, Ni rahisi kunikuta nakunywa wine, beer kuliko kunikuta kwenye hzo habari. Kuishi kwa wajibu kwangu ndani ya familia ni kipaumbele changu kikuu, na Mwenyezi Mungu anisaidie.
-Remember, unaweza kujizungumzia wewe mwenyewe na siyo mwingine.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]wewe ukaamini bila kuonaa 😀 😀 wanaweka mpaka tomatooo hao..
Pole kwa yaliyokukuta ungeoa mama wa nyumbani umfungulie kiofisi hata M,pesa yasingekukuta tatizo vijana wa sasa mnapenda kitonga sana.INTRODUCTION
Ashukuriwe Mhe. Raisi Mama Samia kwa kutuletea hizi ajira zaidi ya 11,000 hakika ameupiga mwingi.
PROBLEM
Ila Sasa nataka kuongea na kuuliza mabaharia MMEJIANDAAJE NA NDOA/MAPENZI YA BLUETOOTH kati yenu na hao wapenzi wenu?
SCENARIO
Unataka kunielewa?
Twende pamoja....
1. Upo Songea mkeo kapata ualimu Dar.
2. Upo Dodoma mchumba ako kapata post ya ajira ya unesi Mbeya.
3. Upo Sumbawanga, baby kawa mwalimu wa Kiswahili Iringa.
Sasa umejiandaaje?
Unajua huko anakoenda nako kuna wanaume?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
CONCLUSION
Nikiwaambia msioe muwe mnaelewa.
Sasa mkeo/mchumba ako anapelekea mzigo wakulungwa ambao kwao ni mzigo mpyaaaa.
Haya bana, Mi waliopangiwa huku halmashauri yangu nawasubiri kuwakarimu kwa kuwapa ushirikiano wapate pakufikia.
Na infact hapa gheto nilikopanga Kuna self 2 double hazina wapangaji.
Mliopata ajira KARIBU KWENYE MATESO YA AJIRA ZA HALMASHAURI.
Anyway....
YANGA BINGWA
#YNWA
Ya virusiMakotena mapya
Mnatafuna karanga mbichi kama nyani mjaze mbegu,Sisi Jobless wa mikoani tupo tayari kwa kazi ya kuchakata wake zenu