Baada ya jina lake kutoka kwenye Mkeka wa Afya ataka nisubiri miaka 5 ndio niweze kumuoa

Alishayaona mengi...hahaha duuh
 
_JAMAA ATAKAYEMKUTA

"madam leo niko bored tutoke bas out"

"madam sijui kupika njoo bas unisaidie "

"madam leo sijakuona kazini naskia unaumwa,ntapita kwako kukusalimia"

"madam twende gym"

"madam kuna zawadi yako hope utaipenda"



_WEWE HAPO

baby usiku mwema naomba usinicheat huko ulipo,nakupenda sana MWAAAAA


LIFE__

hahahahahaaa
 
Dah mkuu ndio unaniondoa relini kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…