Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

Hutaki kumbato majini wewe???

Endelea nae tu uonje vya ulimwenguni na kuzimu.

Omba Mungu liwe jini jike tu, kama jini dume litakuzagamua wewe🤣🤣.
Akipandisha anakupanda na wewe🤣
 
Kwa maelezo yako, inaonekana binti tayari alishaingia kwenye ndoa na majini hili ni jambo ambalo lipo sana hasa kwa akina dada lakini hata akina kaka. Hayo hapo ni aina ya majini wanaita jini mahaba.

Kwa hivyo kuna mkataba wa ndoa tayari kati ya binti na jini hilo mahaba uliofanywa kwa binti kujua anafanya nini au bila kujua. Ndoa hiyo lazima ivunjwe kabla ya wewe kuweza kumwoa binti huyo. Bila hivyo hutaweza kumwoa na hata mkifunga ndoa yenu hiyo Mahakamani ni bure tu, mtaishia kupata matatizo ya kila aina, mara ugonjwa, mara mimba kutoka, mara ugomvi na mwisho lazima ndoa itavunjika.

Inategemea imani yako lakini kwa vyovyote shughulika na kuvunja hiyo ndoa na ndipo uweze kufunga ya kwako. Ipo kazi kwani majini mahaba yana wivu mkubwa.

Pia chunga sana usiporomoshwe kiuchumi kwani ndio njia yao ya kupigana vita na wanaume wanaotaka kuwapokonya wake zao, watashambulia uchumi wako ukose hata nauli ya kwenda kanisani au msikitini, kuwa makini sana. Kama huyawezi hayo achana na azimio lako.
end of thread.

jibu la swali lake limepatikana kazi kwake
 
Wakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.

Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.

Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.

Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.

Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.

Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.

Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.

Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
kwanza wewe ni mjinga tu kabla ya kwenda kwao direct ulutakiwa ufanye ujasusi yakinifu kupitia wamama na wazee wanahoijua hiyo familia na binti specifically.

Pili ndoa ya bomani kama mwanamke ni muislam ni ngumu kumuoa labda kama wewe ndie muislam na mwanamke ni mkristo.
 
Tujaribu kutoa michango na ushauri ambao ni constructive kwenye matatizo ya watu, lugha zisizofaa na kejeli sio uungwana. Nimeleta changamoto yangu ili nipate alternative solutions zakuchukua huku nikiongezea na solutions zangu. Niwasihi tu ndugu zangu
 
kwanza wewe ni mjinga tu kabla ya kwenda kwao direct ulutakiwa ufanye ujasusi yakinifu kupitia wamama na wazee wanahoijua hiyo familia na binti specifically.

Pili ndoa ya bomani kama mwanamke ni muislam ni ngumu kumuoa labda kama wewe ndie muislam na mwanamke ni mkristo.
Ungetoa mchango bila kunitukana usingepungukiwa na kitu
 
Kwani Ukiwa unakula Inshu...hilo jini lenyewe huwa linasemaje mkuu?...

Pengine halijafurahishwa na wewe kutaka kumchukua mazima mtu wake!

Kaa na hilo jini vizuri myajenge mkuu...hakuna namna...

umeingilia penzi la watu!
 
FB_IMG_1737479429686.jpg
Mwamba huyu hapa hakuwa mjinga. Mkuu umeingizwa Cha kike miaka3 usijue? Siyo kweli asee
 
Wakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.

Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.

Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.

Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.

Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.

Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.

Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.

Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
Huyo ni chaguo lakoooo
 
Wakuu kwema?
Ipo hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na binti fulani Kwa muda wa miaka mitatu.

Mwanzoni mwa mwaka huu nikasema sasa ni muda muafaka wa Mimi kwenda nyumbani kwao nikatoe mahari ili nimiliki mke rasmi.

Kweli tarehe za mwanzo wa mwezi January mwaka huu, nilipeleka ujumbe wangu kwao na binti, tukakubaliana mahari, nikalipa kiasi chote cha mahari tulichokubaliana.

Sasa wakati tukiwa tumeanza taratibu zingine ili tufunge ndoa ya bomani kwa maana tunatofauti ya kiimani Kati yetu, Ndipo nimegundua hii kitu.
Binti ana maruhani/majini, nimeshuhudia kwa macho yangu akifanya jambo lisilo la kawaida.

Tulikiwa tunakula chakula wote, mara gafla akaanza kudai kifua kinamuuma na akaanza kujishika kifua chake karibu na shingo na kujibana.

Kwakuwa sikuwahi kumuona kwenye hali hiyo, Nilinyanyuka gafla kutoka kweny kiti nilichokuwa nimekaa ili kumpa msaada Lakini nilikutana na upinzani wa hali ya juu sana kutoka kwake. Niliomba msaada kwa majilani ndipo walitokea watu wa wakunisaidia na hapo hapo nikapiga simu kwao ili nipate ufafanuzi labda hii hali wanaijua, wakaniambia nimwache atatulia mwenyewe.

Baada ya siku mbili kupita nimekaa nae chini kumuuliza kwanini alikuwa vile majibu yake ni kuwa ana Majini, nimejaribu kuuliza baadhi ya ndugu zake nao kumbe wanafahamu.

Nimemuuliza kwanini hakuniambia mapema majibu yake eti ningemuacha, sasa nifanyeje ndugu zangu na mahari nimeshalipa?
Mpeleke kanisani kwa mchungaji katunzi mawneo ya mbagala huko Cag church aisee majini yote yataondoka hapo utaishi naw kwa amani nilifanya hv mwenzio kwa mdada kama huyo. Ila sio.kila mahala nasisitiza kwa mchungaji katunzi cag church.
 
Mara siku majini yameamka hayataki kiti apigwe chuma mboga badala yake ubong’oke wewe ndo utaelewa 😹😹😹
Ilishawahi kunitokea znz, siku hiyo Nimetoka zangu home mida ya saa 2 usiku naenda zangu kula nyama choma na beer

Ile kutoka tu getini upande wa pili navuka nikamuona demu mkali haswaa, nikampa hi na nikamuuliza unaenda wapi? Akaniambia naenda kutafuta kula nikamwambia twende home basi ukale.

Pale niliko kuwa naishi nilikuwa na Ndugu yangu ambaye alikuwa ni Afisa Mkubwa na ile nyumba ilikuwa na ulinzi mkali lakini wale Maaskari walikuwa ni Wanangu sana na tulikuwa na House Boy tu.

Kufika ndani na yule msichana kwanza alikuwa ananunukia na alikuwa Chotara na sijui genye gani zilinikuta mpaka nikaenda naye ndani.

Fika ndani nikampakulia Wali na maini rosti na juice ya kushushia. Na ndugu yangu nilikuwa nakaa kwake alikuwa ni ofisa mkubwa sana wakati mwingine alikuwa ni mshauri wa Serikali upande wa mambo ya uchumi na hakuwa mtu wa kuishi sana pale nyumbani.

Baada ya yule msichana kuumaliza kula basi genye zikanipanda kiwango cha SGR nikamuita chumbani akaja nikaanza kumchojoa. Nilimtoa baibui lake akawa wamebaki na bra nikamchoa skin jeans na hapo genye zipo juu ile mbaya.

La haula ile namchojoa bra aisee alitoa Sauti ya kiume 👹👹 NIACHE NAKWAMBIA. Aisee nilitetemeka mnoo 😑😑😑 mpaka mkojo ukanitoka. Baada ya pale akaanza kupiga kichwa ukuta mpaka vioo vya madirisha vikawa vinatikisika. Nilikuwa naogopa mnoo 😑😑😑

Kajigonga ukutani kwa muda mrefu na Mimi hapo nimelowa jasho mwili mzima.

...........

Oi Lamomy itaendelea.....
 
Ilishawahi kunitokea znz, siku hiyo Nimetoka zangu home mida ya saa 2 usiku naenda zangu kula nyama choma na beer

Ile kutoka tu getini upande wa pili navuka nikamuona demu mkali haswaa, nikampa hi na nikamuuliza unaenda wapi? Akaniambia naenda kutafuta kula nikamwambia twende home basi ukale.

Pale niliko kuwa naishi nilikuwa na Ndugu yangu ambaye alikuwa ni Afisa Mkubwa na ile nyumba ilikuwa na ulinzi mkali lakini wale Maaskari walikuwa ni Wanangu sana na tulikuwa na House Boy tu.

Kufika ndani na yule msichana kwanza alikuwa ananunukia na alikuwa Chotara na sijui genye gani zilinikuta mpaka nikaenda naye ndani.

Fika ndani nikampakulia Wali na maini rosti na juice ya kushushia. Na ndugu yangu nilikuwa nakaa kwake alikuwa ni ofisa mkubwa sana wakati mwingine alikuwa ni mshauri wa Serikali upande wa mambo ya uchumi na hakuwa mtu wa kuishi sana pale nyumbani.

Baada ya yule msichana kuumaliza kula basi genye zikanipanda kiwango cha SGR nikamuita chumbani akaja nikaanza kumchojoa. Nilimtoa baibui lake akawa wamebaki na bra nikamchoa skin jeans na hapo genye zipo juu ile mbaya.

La haula ile namchojoa bra aisee alitoa Sauti ya kiume 👹👹 NIACHE NAKWAMBIA. Aisee nilitetemeka mnoo 😑😑😑 mpaka mkojo ukanitoka. Baada ya pale akaanza kupiga kichwa ukuta mpaka vioo vya madirisha vikawa vinatikisika. Nilikuwa naogopa mnoo 😑😑😑

Kajigonga ukutani kwa muda mrefu na Mimi hapo nimelowa jasho mwili mzima.

...........

Oi Lamomy itaendelea.....
😹😹😹 Em wait… kabla hujaendelea nipe namba za huyo ndugu yako Afisa mkubwa na mshauri wa mambo ya uchumi serikalini 🤣
 
Back
Top Bottom