Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

Hatuwezi kuiongelea hiyo maana hatujasikia story ya upande wa pili.

Hata kama house girl ndo kaachiwa pesa wakati mke hayupo mwenye maamuzi ya jinsi pesa itumike na chakula gani kinunuliwe ni mama.
sawa mke mla ganchi ukishirikiana na house girl. mkuu kuna vitu ambavyo mwanamke mwenye akili atamfanyia mumewe lkn katu hawezi kumshirikisha hata mtoto wake. shida sio kubana hela, nilichoshangaa ni yeye kushirikiana na house girl, kauli ya weka pale tunapowekaga unaielewa, msije tu mkaanza kumtumia house girl kama mtu kati kwa michepuko yenu,
 
sawa mke mla ganchi ukishirikiana na house girl. mkuu kuna vitu ambavyo mwanamke mwenye akili atamfanyia mumewe lkn katu hawezi kumshirikisha hata mtoto wake. shida sio kubana hela, nilichoshangaa ni yeye kushirikiana na house girl, kauli ya weka pale tunapowekaga unaielewa, msije tu mkaanza kumtumia house girl kama mtu kati kwa michepuko yenu,
Bado hatuwezi kumjudge inawezekana hiyo pesa inayobaki ina matumizi ya msingi. Na kubakiza pesa sio kitu cha ajabu...

Labda kama anapika chakula chini ya kiwango hapo ndo tatizo.

Wakati mwingine inatokea issue ya ya buku tu unakuwa huna na umeachiwa 10,000 asubuhi. Unamwambia mume anakushangaa.

Sio pesa yote unayoachiwa nyumbani ni kwaajili ya chakula. Kuna emergency na mambo mengine
 
Kuishi mwenyewe ni bora zaidi, kuna wanawake kazi yao ni kukupa stress 24/7, unakuta jitu libinafsi na wala halina shukrani hata ulifanyie nini!

Mimi wangu alianza chokochoko za naenda kwetu, huo ukawa wimbo kila muda. Kuna siku akajichanganya, naomba nauli naondoka, nikampa chaap, asubuhi nikampeleka Ubungo. Sasa mwaka wa 3 huu maisha yamekuwa na amani sana, kila siku analilia kurudi..huwa nawaza arudi kunipa stress tena?

NB: Mnaotaka kuoa mjitafakari mara mbili, kuna muda wale jamaa wa KATAA NDOA, wana hoja!
Muonee huruma mwenzio.
 
Kuishi mwenyewe ni bora zaidi, kuna wanawake kazi yao ni kukupa stress 24/7, unakuta jitu libinafsi na wala halina shukrani hata ulifanyie nini!

Mimi wangu alianza chokochoko za naenda kwetu, huo ukawa wimbo kila muda. Kuna siku akajichanganya, naomba nauli naondoka, nikampa chaap, asubuhi nikampeleka Ubungo. Sasa mwaka wa 3 huu maisha yamekuwa na amani sana, kila siku analilia kurudi..huwa nawaza arudi kunipa stress tena?

NB: Mnaotaka kuoa mjitafakari mara mbili, kuna muda wale jamaa wa KATAA NDOA, wana hoja!
Hivi humu ndani wote mmeoa magalikipa? Kila mtu anadai kumrudisha mke nyumbani, je kibarua wanaacha? Kuna tatizo si bure JF
 
Bado hatuwezi kumjudge inawezekana hiyo pesa inayobaki ina matumizi ya msingi. Na kubakiza pesa sio kitu cha ajabu...

Labda kama anapika chakula chini ya kiwango hapo ndo tatizo.

Wakati mwingine inatokea issue ya ya buku tu unakuwa huna na umeachiwa 10,000 asubuhi. Unamwambia mume anakushangaa.

Sio pesa yote unayoachiwa nyumbani ni kwaajili ya chakula. Kuna emergency na mambo mengine
sawa mamiloo ujumbe umekufikia ila bado unaamisha magoli, au na wewe huwa unamshirikisha house girl kwenye ishu zako na mumeo?
 
Umuofia kwenu!!

Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........

1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha StarTv kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah

2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....

3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....

4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....

5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....

6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.

Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!

Ndoa..........mh!
😂😂😂 Wanaume tunasuffer vitu vinavyofanana.
 
Kuishi mwenyewe ni bora zaidi, kuna wanawake kazi yao ni kukupa stress 24/7, unakuta jitu libinafsi na wala halina shukrani hata ulifanyie nini!

Mimi wangu alianza chokochoko za naenda kwetu, huo ukawa wimbo kila muda. Kuna siku akajichanganya, naomba nauli naondoka, nikampa chaap, asubuhi nikampeleka Ubungo. Sasa mwaka wa 3 huu maisha yamekuwa na amani sana, kila siku analilia kurudi..huwa nawaza arudi kunipa stress tena?

NB: Mnaotaka kuoa mjitafakari mara mbili, kuna muda wale jamaa wa KATAA NDOA, wana hoja!
Kaka na kuelewa vizuri sanaa wanawake wengine ni kero, ndoa kama hujakomaa kiakili nashauri vijana kuachana nao,

Mimi ugonjwa wangu siwezi kuzini hata iwe siku moja na siwezi kukaa mwezi bila utelezi hicho kime nifanye nioe wake wawili for emergence incase moja nikimpa likizo mgine ipo ku-cover nafasi kwa hivo nimeishi bila stress za wanawake, usije ukabembeleza mwanamke kubaki akiomba nauli kuenda makwao kama unao mpe hiyo hiyo siku.
 
Ndio maan wanaume hawaishi muda mrefu and usipoweza control your emotions ndio watu wanamaliza kabisa,u need to be careful sn na mtu mpya maishani mwako
Mkuu pole sana kwa kuoa uzaramuni🤣 wao tabia za kihuni kwao ni kawaida. Ameenda mafunzo huyo akirudi kinawaka tena atakagua kama umesajili koloni jipymaana
 
Back
Top Bottom