Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Una uhakika gani atakao wachagua siyo wanafika
 
Alaa!!, Leo unawakana sukuma gang wenzio!? Bado mtanyooshwa sana
 
Naunga mkono hoja ila kwa upande wangu nataka afanye hivyo ili akose wa kumtupia lawama.
Kweli Kama yule katibu wa wizara ya fedha mteule wake,aliyeidhinisha mamilioni ya posho.PM alikwenda amefura alifikiri Hangaya ni JPM.
Mpaka Sasa kimia.
 
Hilo la kuvunja baraza la mawaziri wa Magufuli tulisema toka alivyokalia hicho kiti cha zali la mental. Nyie ndio mnaamka sasa wakati wahuni wameanza kumpa ukweli wake!? Nadhani sasa mtajiona mlivyo na akili zilizosinzia.
 
Nashauri avunje serikali nzima aweke wapya kabisa.

Angevunja toka mwanzo kama tulivyosema angepata haiba nzuri. Ila sasa anaonekana anavunja kwa jazba baada ya kuambiwa ukweli.
 
Lukuvi naye aondolewe tu. Wizara ya ardhi ipelekewe damu changa yenye kujua changamoto za sekta husika. Ninaamini wapo akiwatafuta atawapata
 
Kabudi,dotto,waitara,katambi out bashe anakuwa waziri kamili kigwangala anapewa wizara dr.samizi analamba uteuzi ndalichako anabadilishwa wizara
Kigwangala atakuwa anahangaika sana huku na huku kusaka nazi
 
Wa kwanza kuondolewa ni kassim majaliwa

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yajayo yana furahisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…