Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Baada ya kuweka koma kwenye orodha ya kwanza ya Mawaziri, Rais Samia asema atatangaza orodha mpya karibuni

Uzuri ni kwamba Samia anapitia mitandaoni, jana nimeamini kwa hotuba ile.

Jinsi Makamba anavyolalamikiwa toka kila kona ya nchi, nitamshangaa sana akimwacha kuendelea kukalia ofusi ya wizara hiyo muhimu.

Kama anapenda kuendelea kumbeba ni bora akampeleka hata wizara ya utamaduni!

Lakini wizara ya Nishati inataka mtu serious asiye na chembe ya mashaka toka kwa umma.
Tatizo sio kulalamikiwa maana watanzania ni mabingwa wa kupiga majungu na fitina.
chuki binfsi.
Jan. hadi sasa yuko vizuri ktk utendaji.
 
Kwa maoni yangu Mawaziri/Manaibu wafuatao wameshindwa kumsaidia Mhe. Rais;

1. Wizara ya Viwanda
2. Wizara Kazi ajira, wazee.
3. Naibu Utalii
4. Naibu Ardhi
5. Katiba na sheria
6. Naibu miundombinu.
7. Naibu nishati
8..................

Hayo ni maoni yangu kama raia mwema wa Tanzania.
mama anataka kuungwa mkono kwa kila kitu ndani ya wana ccm wenzie sasa ukimpinga tuu ni kosa,kosa lingine kuna mawaziri hawafanyi chochote ila wanamuunga mama mkono na mama atawarudisha,,,namshauri achkue viongozi kwenye vyama vingine pale ccm wanamlia timing
 
Kwa maoni yangu Mawaziri/Manaibu wafuatao wameshindwa kumsaidia Mhe. Rais;

1. Wizara ya Viwanda
2. Wizara Kazi ajira, wazee.
3. Naibu Utalii
4. Naibu Ardhi
5. Katiba na sheria
6. Naibu miundombinu.
7. Naibu nishati
8..................

Hayo ni maoni yangu kama raia mwema wa Tanzania.
Haya ni maoni au orodha tu.
Maoni yangekuwa na sababu. Huenda umeandika kwa chuki tu au wivu
 
Hangaya kazi anayo... ...


Kuna makundi ..na mafundi mule...
 
Umeongea kitu cha maana sana huu mkururu wa Mawaziri Vitumbo hauna maana yoyote ni kupoteza pesa na kufuja mali ya Umma tu ingeiga mfumo wa Japan au Malaysia kupunguza mawaziri vilaza.
Shukraani mkuu,hii ni nchi yetu wote ni vema pie hii ya Taifa iwanufaishe watanzania wote,huku Lingusenguse 60yrs baada ya uhuru wa bendera almost mabadiliko ya maisha ni zero
 
Kwa maoni yangu Mawaziri/Manaibu wafuatao wameshindwa kumsaidia Mhe. Rais;

1. Wizara ya Viwanda
2. Wizara Kazi ajira, wazee.
3. Naibu Utalii
4. Naibu Ardhi
5. Katiba na sheria
6. Naibu miundombinu.
7. Naibu nishati
8..................

Hayo ni maoni yangu kama raia mwema wa Tanzania.
Waziri wa kilimo na manaibu wake
 
Hawa chini kwa vyovyote lazima watasalia

Ummy
Makamba
Gwajima
Dotto
Lukuvi
 
Wanaotoka

1. January Makamba
2. Suleiman Jaffo
3. Mwigulu Nchemba
4. Dotto Biteko
5. Dorothy Gwajima
6. Jenister Mhagama
7. Palamagamba Kabudi

Wanaoingia

1. Ridhiwani Kikwete
2. Nape Nnauye
3. Hamis Kigangwala
4. Charles Kimei
5. Mrisho Gambo
6. Festo Sanga
7. Tarimba Abbas

Nasisitiza huu ni Ubashiri wangu tu wa Mkeka na simaanishi kuwa ndiyo itakavyokuwa. Tuelewane vyema tu tafadhali katika hili
.
Umejitahidi sana,lakini haitakuwa hivyo ila kuna watu kweli wataondoka,kigwa hatopata kwskuwa maza anamjua,hili baraza maza atakuwa so careful ba haitovuja asilani

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wakuu heri ya mwaka mpya...

Kama tulivyo msikia Mama akisema kuwa hivi karibuni atafanya mabadiliko kwenye baraza lake la mawaziri
Je kwa mtazamo wako wakiutendaji kwa mawaziri hao
Je ni nani anafaa kubaki kwenye baraza ilo na ni nani anafaa kuondolewa kwenye baraza hilo

Aya twende kazi..
Wahuni ndio watakaobakizwa na kuongezwa (zama zao zimerejea)

Usitegemee maajabu kutoka kwa Mama wa Kambo

Kumbuka uteuzi wa January Makamba
 
Back
Top Bottom