ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #41
π€£π€£π€£ππππππππππππ Dharula ya nyege za Amsterdam labdaLisu ametumwa kwa dharura na UN huko Morocco na Libya, usikae mbali na Al jazeera utawaona team yao!
Narudia tena, zile zama za kutegemea uoga wa wananchi zilishapita. Kila mtu ana haki ya kwenda popote hapa duniani na kukutana na yoyote. Hutaki jinyonge.Wewe Wacha upumbavu,Rais amealikwa China alienda na Wachina walikuja kurekodi Filamu za vivutio Tanzania.
Huyo kibaraka wenu hatutakubali avuruge Nchi.
Kati ya anaeua Wamasai na kuwapora ardhi, na anayepaaza sauti kuwatetea, nani anavuruga amani?Nchi imekopa ila hatutumiwi kama Lisu msaliti kuvuruga amani ya Nchi Kwa sababu yeye ana pa kukimbilia.
Bahati nzuri anajenga na hauzi ,anaboresha Ufanisi na hauzina hatutakubali huyo mama yenu auze bandari za Tanzania kwa waarabu
Anawapotosha wakati anafahamu Toka uhuru kwamba wanatakiwa kuondoka kulinda Hifadhi.Kati ya anaeua Wamasai na kuwapora ardhi, na anayepaaza sauti kuwatetea, nani anavuruga amani?
Ila zama za kuwa kibaraka hazina nafasi TanzaniaNarudia tena, zile zama za kutegemea uoga wa wananchi zilishapita. Kila mtu ana haki ya kwenda popote hapa duniani na kukutana na yoyote. Hutaki jinyonge.
maneno ya kwenye kanga kawaambie uvccmBahati nzuri anajenga na hauzi ,anaboresha Ufanisi na hauziView attachment 2747562
Tanzania hii inayoshindwa hata kuendesha bandari na kutegemea waarabu, au Tanzania ipi unaiongelea?Ila zama za kuwa kibaraka hazina nafasi Tanzania
Amani ni muhimu kuliko Kushindwa Kuendesha Bandari, Waarabu wametangulia zamaniTanzania hii inayoshindwa hata kuendesha bandari na kutegemea waarabu, au Tanzania ipi unaiongelea?
Sema uoga ni muhimu kuliko kuendesha bandari. Watu wajinga tu ndio huongelea amani na sio haki.Amani ni muhimu kuliko Kushindwa Kuendesha Bandari, Waarabu wametangulia zamani
Haki Iko mbinguni,Duniani Kuna fairness na equitySema uoga ni muhimu kuliko kuendesha bandari. Watu wajinga tu ndio huongelea amani na sio haki.
Sasa unajiliza nini Lisu akienda ulaya kama kuna fairness na equity?Haki Iko mbinguni,Duniani Kuna fairness na equity
Anaenda Kutukuza na kuandaa mikakati ya kuharibu equity na fairnessSasa unajiliza nini Lisu akienda ulaya kama kuna fairness na equity?