Mimi siwezi kuwa safari moja na kenge mpuuzi ambaye hajitambui hata kata rasimali za taifa lake zinaibiwa.Leo hii unaniita Kenge?!!! [emoji15][emoji1787][emoji1787]
Tulikuwa wote katika ile safari ya utawala wa JPM...
Kipi kimewabadilisha ninyi watu ?!!
CCM ni ileile
Tanzania ni ileile
Dola ni lilelile
Tulikuwa na JPM kwa maslahi ya matumbo yetu na viriba vyetu vya tumbo ?!!!
Endelea kuchukia.....sikumpenda JPM kwa sababu yake bali "integrity" endelevu ya JMT....
Kalaghabaho [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huu unaitwa wivu sasa [emoji23]Kuna mijitu inahela inarandaranda tu!
Tafuta pesa kijana, usionee wivu wanaozitafuta na kufanikiwa!Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ni mwanasheriaKwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji3]Niletee huyo mdada anioe
Ameenda kutoa ripoti Kwa mabwana zake,huyu ni kibaraka wa Wazungu na msaliti wa Taifa.
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji3]Niletee huyo mdada anioe
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji3]Niletee huyo mdada anioe
Tulia we mzee
Basi angewaachia wanaohitaji misaada ya wazungu Kama child support na incapacity benefitsUnataka ajenge mara ngapi?
Kamweleze baba yakoBasi angewaachia wanaohitaji misaada ya wazungu Kama child support na incapacity benefits
Amewatia uchizi, mmepanic mpaka mkanaikana katiba iliyowaweka hapo.Kwa kazi zipi za uwakili zinazompa "mipesa" ya kupumzika ULAYA NA MAREKANI ?!!![emoji15][emoji1787][emoji1787]
WATANZANIA tuamke....hawa makuwadi wa UBEPARI ,UBEBERU NA SOKO HURIA wamejipenyeza kila eneo....ikiwa wako misikitini na makanisani watakosaje kuwa siasani ?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
#Siempre Serikali Mbili Za JMT[emoji120]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Alikwenda akarudi na mkataba mmoja tu wa Bandari. Safari hii akirudi anakuja na mingine miwili tu!!! Akimaliza hiyo anafuata mingine.[emoji23]Amewatia uchizi, mmepanic mpaka mkanaikana katiba iliyowaweka hapo.
Ngoja mwamba akapumzike, akirudi Bandari na hifadhi zetu mtazitapika.
Alikwenda akarudi na mkataba mmoja tu wa Bandari. Safari hii akirudi anakuja na mingine miwili tu!!! Akimaliza hiyo anafuata mingine.
Mpaka mkimbie Tanganyika
Huyo itakua kapata habari kuwa Sasa ni kudhughulukiwa tu,Kama alivyosema mchengerwa,maana madomokaya adabu hawanaKuna mijitu inahela inarandaranda tu!
Ahsante kwa bango
Ni mjinga na uvccm ndio wanaamin huu ujinga!! LISSU yupo very open anapiga Kweny mshono ingawa wanaccm hawapendi!!Mwenye macho na asikie hivi vyama vya upinzani vipo kimkakati ndo mana jpm alitaka kuvifutilia mbali. Bora kiduku na Putin hawavitaki kabisa ili nchi iende lazima kiongozi awe dictator. Sijui Samia anasubiri Nini kuwa dictator