1. Tanzania shall inform Dubai of any other opportunities relating to portsWewe ndiye unayekariri mistari pasipo kuielewa vizuri, tena unafikia hatua ya kuuleta mkataba humu jukwaani.
Sijui lakini wanaoupinga mkataba wanasema tumeuza nchi. Naona 2025 tutachagua Rais kutoka UAEKwani Mkataba na DP World unasemaje??
Tuonyeshe na tenda ya terminal 1 mpaka 7Bado unaamini Rais ameuza bandari zote na bahari, mito na maziwa?
Nioneshe Tenda ya Bwawa la Nyerere na SGR Dar- Moro na mie pia ntakuoneshaTuonyeshe na tenda ya terminal 1 mpaka 7
Ni kwa sababu mimi ninakuelewa lakini nimeshagundua kuwa kwenye swala hili, kile ambacho mimi nakielewa, walio wengi hawakielewi.Nikaaje kimya?
Wewe ni sahbiki wa kisiasa siyo great thinker maana unaandika utumbo tu hapa jukwaani .Wewe unaeupinga hujui unasemaje?
Tupeni lengo la iga😂Ipi hiyo imegawiwa bure?
Zikishagaiwa bure then Mali inakuwa ya Nani?si sawa hata mara moja ukisema zimeuzwa.Hazikuuzwa hata mita moja zilikuwa kwenye mchakato wa kugaiwa bure
Tufafanulie ulie sahihi hatutaki wazushiWafafanuaji wamejaa humu, kila mtanzania ni mjuaji wa kila kitu.
Inaruhusiwa kuwaza na kuelewa vyovyote inavyotaka iwe kwa mahaba yako,iwe kwa shinikizo au kwa maslahi ama yako ama ya kundi lako ama vyovyote iwavyo,kwa kuwa uko huru.Fedheha ni kwamba makanisani waraka ulishapelekwa na hivi sasa tunaishi na gharama za kuitengeneza hiyo chuki kati ya serikali na ukatoliki.
Tulilishwa matango pori kwamba mwarabu anataka kuinunua nchi hivyo ule waraka ulikuwa na ujumbe wa siri wa kukataa kuiuza Tanzania kwa mwarabu haswa muislam.
Leo hii tangazo la TPA linamtaka mwekezaji mwenye uwezo ajitokeze na vigezo vyake vitazamwe kama vinakidhi mahitaji ya uendeshaji wa bandari kisasa, tangazo linasema hata wale wazalendo wenye uwezo wa kuendesha bandari kisasa na wao wanaalikwa pia.
Maana yake ni kwamba hata sisi walei wa kawaida tunaosali makanisani tunaalikwa kufanya biashara na serikali yetu kama vigezo vyetu vinatimia!, hii ni aibu kubwa sana ambayo maaskofu pengine kwa kutokujua walichokifanya waliamua kuitafuta wao wenyewe!.
Du aisee kwa hiyo mkataba wa kujenga SGR ni sawa na mkataba wa kuendesha bandari?Nioneshe Tenda ya Bwawa la Nyerere na SGR Dar- Moro na mie pia ntakuonesha
IGA===Inter Government Agreement.Chawa Lord denning haujawahi hata kuusoma ule mkataba wa IGA, ajabu una kiherehere kila siku kuutetea, uache ule mkataba ujitetee wenyewe.
Una uhakika gani hajausoma?Chawa Lord denning haujawahi hata kuusoma ule mkataba wa IGA, ajabu una kiherehere kila siku kuutetea, uache ule mkataba ujitetee wenyewe.
Warukeruke wee,ila kurukaruka kwa maharage ndio kuiva kwake.DP ilishindanishwa na nani? Na kimsingi tunapinga aina ya mkataba wa kishenzi.
Hii spinning yenu imefeli, tunalikumbusha kanisa katoliki kuwakumbusha maparoko wote waraka uendelee kusomwa kwenye parokia zote kwa wiki tano mfululizo.
Uelewa ni mdogo sana huyo Hana hojaDu aisee kwa hiyo mkataba wa kujenga SGR ni sawa na mkataba wa kuendesha bandari?
Naunga mkono hoja.. Tutamloga kwa mizimu ya kitanganyika hadi apagawe au hamjawahi kusikia greda limeshindwa kuvunja nyumba kupisha barabara........!!???Sikia, hi hivi sisi hatumtaki DP World? yaani ni hivi ata alete mitambo yake ajue hatafanya kazi kwa amani
Natamani nikupe hata likes 10. Wanajizima data ila wanajua kinachoendeleaMnajitahidi kupindua meza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] waraka ndo umefanya tenda itangazwe unaisi Kila mtu ni mjinga sio kwani iga ilkua inasemaje?
Wana sahau watu wanauelewa wanakuja na hoja nyepesi utafikili tec ndo waliingia mkataba wa iga afu wao wamepinduaNatamani nikupe hata likes 10. Wanajizima data ila wanajua kinachoendelea
Tofauti yake nini? Hiyo mingine sio mikataba au?Du aisee kwa hiyo mkataba wa kujenga SGR ni sawa na mkataba wa kuendesha bandari?