Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Part 2 ya iga inahusu Terminal 1. Muswada wa Sheria ya Maliasilia hauhusiani na uwekezaji wa Bandari. Shida yako nini?
Wewe ni mjinga kama hujui Bandari ipo katika maswala ya Maliasili soma comment inayofuta
 
1. Tanzania shall inform Dubai of any other opportunities relating to ports

2. Tanzania will inform Dubai of any other opportunities relating to ports

3. Tanzania may inform Dubai of any other opportunities relating to ports

Tutafsilie wanazengo tuelewe utofauti wa verb (Shall, Will na May)
1. Tanzania inao wajibu wa kumjulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo kuhusiana na bandari. Tanzania imejifunga kufanya hivyo, ina wajibu wa lazima kufanya hivyo.

2. Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo za bandari, ikiona inabidi kufanya hivyo itafanya lakini haifungwi na Dubai kufanya hivyo.

3. Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo, hapa pia kuna ulazima wa Tanzania kufanya hivyo.

Kisheria May na Shall huonyesha wajibu au ulazima wa kufanyika jambo. Will ni kama ombi ambalo upande husika unaweza usilitilie maanani.
 
Wewe ni mjinga kama hujui Bandari ipo katika maswala ya Maliasili soma comment inayofuta
Wewe niambie. Uwekezaji wa management ya uendelezaji wa bandari unahusianaje na maliasilia?
 
Kwahiyo DP world atafanya kazi nchini kinyume Cha sheria zetu? Kwa mujibu wa sheria yetu ya mikataba ya 2017 disputes zitaamuliwa na mahakama zetu, Kwa Mujibu wa IGA, zitaamuliwa Kwa sheria za Uingereza na center of abitration ni SA. Bunge limegoma kupokea mabadiliko ya Sheria ili kuweza kusuit mkataba na DP world. Ama Hilo hujui?
Kwani mikataba baina ya nchi na nchi migogoro inaamukiwa kwenye nchi moja wapo?
 
Kasome part II ya IGA, kama huna nikupatie, huwa unapoteza muda kuandika ujinga!

Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,

Huoni kwamba sauti zimesikika kwamba Kuna uhovyo ulikua unafanyika?
Sheria ya maliasili haihusiani na bandari hata siku moja. Hizi harakati zenu zinaambatana na maumivu makubwa ya nafsi.

Bandari ni lango la kuingia ndani ya nchi sawa sawa na uwanja wa ndege, huwezi kuiweka katika kundi la maliasili.

Pale bandaini kilicho katika kundi la maliasili ni maji tu, lakini huwezi kusema makontena yanayopakiwa melini ni sehemu ya maliasili. Huwezi kusema zile machine za kupakia na kupakua makontena eti ni sehemu ya maliasili.

Uelewa wetu ni tatizo kubwa.
 
1. Tanzania inao wajibu wa kumjulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo kuhusiana na bandari. Tanzania imejifunga kufanya hivyo, ina wajibu wa lazima kufanya hivyo.

2. Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo za bandari, ikiona inabidi kufanya hivyo itafanya lakini haifungwi na Dubai kufanya hivyo.

3. Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo, hapa pia kuna ulazima wa Tanzania kufanya hivyo.

Kisheria May na Shall huonyesha wajibu au ulazima wa kufanyika jambo. Will ni kama ombi ambalo upande husika unaweza usilitilie maanani.
Una matatizo kwakweli! Tofauti ya "Will" na "May" ni hipi?
 
Nchi ina watu wengi xnaa ila wajinga ni wengi kuliko werevu hilo ndio tatizo?
Ushauri wangu vijana tupige kazi tusitumiwe na wanasiasa na baadhi ya wazee wasio na hekima nchi inazid kukua
 
Muulize kabudi akisaidiwa na mruma waliounda mikataba hiyo.

Unafikiri tumesahau mikataba ya kujimwambafai ilikuwa ya kijinga?

Hivi kwanini waandishi hawamuulizi kabudi na mruma, vipi wanahenyeshwa icsid?
Niwaulize Kabudi na Mruma wakati najua hao ni wajinga wengine waliokuwa wanahakikisha wanamfurahisha yule kiongozi muovu?
 
Mantiki ya huu uzi ni kuwapa elimu kuwa hakuna bandari iliyouzwa wala kugawiwa.

Makubaliana ya Tanzania na Dubai yanahusu uwekezaji katika Terminal 1 hasa gati 0-7. Hii ni sehemu ndogo sana ya Bandari ya DSM.

Ndo mana TPA amekaribisha uwekezaji mwingine katika Terminal 2

Waliowaambia sijui hakuna national sovereignty sijui bandari za maziwa na bahari zimegawiwa walikuwa wanawaokota na kuwadanganya vilaza nyie alafu mnapayuka tu
Kuna bandari na kuna IGA. Watanzania wanakataa IGA.
 
Naona umemfundisha inglish,
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂
Saaafi sanaaa
Makubaliano ni sharti. Ukishaandika kitu katika makubaliano inakuwa sharti. Vinginevyo hakuna sababu ya kuandika katika makubaliano.
 
Muulize kabudi akisaidiwa na mruma waliounda mikataba hiyo.

Unafikiri tumesahau mikataba ya kujimwambafai ilikuwa ya kijinga?

Hivi kwanini waandishi hawamuulizi kabudi na mruma, vipi wanahenyeshwa icsid?
Kabudi aliunda mkataba gan kwani?
 
Back
Top Bottom