Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Hapakuwa na sababu ya kumshindanisha na mtu yoyote. Anamiliki meli 400 zinazozunguka dunia nzima, nitajie mshindani wake mwenye wingi wa meli zenye kufikia angalau nusu tu ya hizo 400.

Anaendesha bandari za Uingereza, China na Ulaya nzima, ni mzoefu sana wa end to end logistic chain ambayo kisasa ndio maana mpya ya neno PORT.

Kwa suala la vigezo kawazidi wengi sana. Kanisa limechemka vibaya kuja na waraka wakati walikuwa hawajui kwa kina malengo ya serikali ni yapi.
Oneni chizi huyu, unajuwa sheria ya manunuzi?
 

Attachments

  • Screenshot_20230901-104441.jpg
    Screenshot_20230901-104441.jpg
    24.7 KB · Views: 1
Kasome part II ya IGA, kama huna nikupatie, huwa unapoteza muda kuandika ujinga!

Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,

Huoni kwamba sauti zimesikika kwamba Kuna uhovyo ulikua unafanyika?
Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,
 
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.

Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.

Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.

Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.

Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.

Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.

Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!


Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.

Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?

Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.

Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.

Tumsifu Yesu Kristo!

Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Baada ya kuacha kupeleka ule mswada bungeni....
 
Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,
Tulipofikia ilikuwa ni kutengeneza tatizo ambalo halina sababu. Kwa mara ya kwanza nimeanza kufikiria kutakuwa na mabadiliko ya kweli
 
Tulipofikia ilikuwa ni kutengeneza tatizo ambalo halina sababu. Kwa mara ya kwanza nimeanza kufikiria kutakuwa na mabadiliko ya kweli
Inaweza ikawa dhana tu na isiwe halisi, wanasiasa wakiona mkate ni rahisi kubadilika na hivyo kutoaminika
 
Wewe ndio mjinga kupitiliza msingi wa appendix unatokana na malengo makuu, appendix nisehemu mahususi! Main objective ndio inasubmit bandari zote za bahari, na maziwa! Punguza UJInga na ujuha!
Endelea tu kubwabwaja. Uwekezaji wa DP Lworld kwa mujibu wa Appendix ni sehemu ya Terminal 1.
 
Inaweza ikawa dhana tu na isiwe halisi, wanasiasa wakiona mkate ni rahisi kubadilika na hivyo kutoaminika
Sio sasa hivi. Hata haya mabadiliko yamekuwa ya lazima. Lazima kuweka watu ambao wataweza kusawazisha hizi kelele za miezi kadhaa.
 
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.

Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.

Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.

Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.

Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.

Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.

Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!


Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.

Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?

Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.

Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.

Tumsifu Yesu Kristo!

Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Andiko zuri Mkuu, umesahau kuweka namba ya simu hapo mwisho.
 
Sio kila kitu kina ulazima wa kununuliwa kwa sheria ya manunuzi. na hili lilishaelezewa kwa kina na wanasheria wa wizara mbele ya wahariri na mbele ya maaskofu.
Tuambie ni Sheria ipi inayosema sio lazima, na utaje kwamba uwekezaji wa sehemu mahususi kama Bandari au sehemu yoyote kwamba imetajwa humo kufanyika pasina kufuata sheria ya manunuzi!

Lakini ukumbuke kwamba Waziri Mbarawa aliuambia umma kwamba walishandinisha kampuni Saba na DP akaibuka mshindi

PM akauambia umma kwamba waliemda kumtafuta DP wenyewe wakati wa maonesho ya biashara Dubai na wakaona utendaji kazi wake wakamchagua!

Nani mkweli kati ya hao wakati hata mama alidanganywa kwamba DP Wan campaign ya kuchukua bandari ya Mombasa while tunajua 2022 walimkataa,
 
Basi msimamo wa Kanisa ndio msimamo wa Waumini

Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Watanzajia siyo wakatoliki, nchi yetu haina dini, huo waraka wao wawaandikie waumini wao waache ulevi, uzinzi na ushirikina. Waachanane na mambo yahusuyo uendeshaji wa nchi, ya kwao yenyewe yamewashinda, hilo ni baraza la kiinjili
 
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.

Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.

Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.

Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.

Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.

Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.

Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!


Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.

Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?

Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.

Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.

Tumsifu Yesu Kristo!

Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Ndg yangu hapo kuna wapiga dili na wengine ni manyumbu tu yanafuata yasiyokijua kwasababu ya ujinga wao.
 
Brother hatubwabwaji tunaestablish real facts zilizoko katika maandishi ya IGA.
Sasa kwa mujibu wa Appendix 1 uwekezaji wa DP World ni RoRo Terminal (Berth 0), General Cargo Terminal (Berth 1-4) na Container Terminal ( Berth 5-7)

Ukibisha jambo uwe na data mpuuzi wewe!
 
Watanzajia siyo wakatoliki, nchi yetu haina dini, huo waraka wao wawaandikie waumini wao waache ulevi, uzinzi na ushirikina. Waachanane na mambo yahusuyo uendeshaji wa nchi, ya kwao yenyewe yamewashinda, hilo ni baraza la kiinjili
Swali Rahisi kwako:
Kama umeusoma waraka huo Kuna provision yoyote ambayo imeandikwa Kwa muktadha wa kidini au ukiitaka serikali izingatie matakwa ya kidini au kanisa Katoliki?

Kama hujausoma usicoment utadhihirisha ujinga wako.

Baraza la Maaskofu linaundwa nà Maaskofu ambao ni Watanzania, wanaaongoza waumini wa kanisa Katoliki Tanzania. Hivyo logically Maaskofu wanaongoza sehemu ya watanzania, na sio watanzania wote!
Watanzania ni wananchi wa Tanzania wanaostahili haki za kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Maaskofu wametoa waraka kama viongozi wa kanisa Katoliki Tanzania ambapo Kuna watanzania wanaostahili haki za kiuchumi, na katika mkataba wa Bandari Kuna athari za kiuchumi Kwa watanzania bila kujali dini zao au kama hawana dini kabisa!

Kimsingi kisu kimegota mfupani
 
Back
Top Bottom