Wewe ni mjinga kama hujui Bandari ipo katika maswala ya Maliasili soma comment inayofutaPart 2 ya iga inahusu Terminal 1. Muswada wa Sheria ya Maliasilia hauhusiani na uwekezaji wa Bandari. Shida yako nini?
Ila wakati wa jpm miradi ilikuwa inaenda bana ,hebu mpeni pongezi zakeNikaaje kimya?
1. Tanzania inao wajibu wa kumjulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo kuhusiana na bandari. Tanzania imejifunga kufanya hivyo, ina wajibu wa lazima kufanya hivyo.1. Tanzania shall inform Dubai of any other opportunities relating to ports
2. Tanzania will inform Dubai of any other opportunities relating to ports
3. Tanzania may inform Dubai of any other opportunities relating to ports
Tutafsilie wanazengo tuelewe utofauti wa verb (Shall, Will na May)
Wewe niambie. Uwekezaji wa management ya uendelezaji wa bandari unahusianaje na maliasilia?Wewe ni mjinga kama hujui Bandari ipo katika maswala ya Maliasili soma comment inayofuta
Kwani mikataba baina ya nchi na nchi migogoro inaamukiwa kwenye nchi moja wapo?Kwahiyo DP world atafanya kazi nchini kinyume Cha sheria zetu? Kwa mujibu wa sheria yetu ya mikataba ya 2017 disputes zitaamuliwa na mahakama zetu, Kwa Mujibu wa IGA, zitaamuliwa Kwa sheria za Uingereza na center of abitration ni SA. Bunge limegoma kupokea mabadiliko ya Sheria ili kuweza kusuit mkataba na DP world. Ama Hilo hujui?
Sheria ya maliasili haihusiani na bandari hata siku moja. Hizi harakati zenu zinaambatana na maumivu makubwa ya nafsi.Kasome part II ya IGA, kama huna nikupatie, huwa unapoteza muda kuandika ujinga!
Bunge limeshakataa kupokea muswada wa mabadiliko ya sheria ya Maliasili na Ile ya mikataba ya Maliasili, ambayo ililenga kuaccommodate IGA,
Huoni kwamba sauti zimesikika kwamba Kuna uhovyo ulikua unafanyika?
Sikia, hi hivi sisi hatumtaki DP World? yaani ni hivi ata alete mitambo yake ajue hatafanya kazi kwa amani
Una matatizo kwakweli! Tofauti ya "Will" na "May" ni hipi?1. Tanzania inao wajibu wa kumjulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo kuhusiana na bandari. Tanzania imejifunga kufanya hivyo, ina wajibu wa lazima kufanya hivyo.
2. Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo za bandari, ikiona inabidi kufanya hivyo itafanya lakini haifungwi na Dubai kufanya hivyo.
3. Tanzania itaijulisha Dubai juu ya fursa nyinginezo, hapa pia kuna ulazima wa Tanzania kufanya hivyo.
Kisheria May na Shall huonyesha wajibu au ulazima wa kufanyika jambo. Will ni kama ombi ambalo upande husika unaweza usilitilie maanani.
Niwaulize Kabudi na Mruma wakati najua hao ni wajinga wengine waliokuwa wanahakikisha wanamfurahisha yule kiongozi muovu?Muulize kabudi akisaidiwa na mruma waliounda mikataba hiyo.
Unafikiri tumesahau mikataba ya kujimwambafai ilikuwa ya kijinga?
Hivi kwanini waandishi hawamuulizi kabudi na mruma, vipi wanahenyeshwa icsid?
Naona umemfundisha inglish,Tanzania will inform Dubai hajasema Shall Inform Dubai, hapo hulazimishwi kutii matakwa ya mwekezaji. Na hicho kifungu hakiizuii Tanzania kutafuta mwekezaji mwingine kwa ajili ya magati namba 8 mpaka 11.
Kuna bandari na kuna IGA. Watanzania wanakataa IGA.Mantiki ya huu uzi ni kuwapa elimu kuwa hakuna bandari iliyouzwa wala kugawiwa.
Makubaliana ya Tanzania na Dubai yanahusu uwekezaji katika Terminal 1 hasa gati 0-7. Hii ni sehemu ndogo sana ya Bandari ya DSM.
Ndo mana TPA amekaribisha uwekezaji mwingine katika Terminal 2
Waliowaambia sijui hakuna national sovereignty sijui bandari za maziwa na bahari zimegawiwa walikuwa wanawaokota na kuwadanganya vilaza nyie alafu mnapayuka tu
Makubaliano ni sharti. Ukishaandika kitu katika makubaliano inakuwa sharti. Vinginevyo hakuna sababu ya kuandika katika makubaliano.Naona umemfundisha inglish,
π€£π€£π€£π€£πππππππ
Saaafi sanaaa
Lakini hapo tatizo inaonekana ni inglishMakubaliano ni sharti. Ukishaandika kitu katika makubaliano inakuwa sharti. Vinginevyo hakuna sababu ya kuandika katika makubaliano.
Watanzania gani hao?Kuna bandari na kuna IGA. Watanzania wanakataa IGA.
Zipo IGA nyingi zinakuja huko mbeleni, uelewa wa kina ndio tatizo letu.Kuna bandari na kuna IGA. Watanzania wanakataa IGA.
Kingereza tatizo, pia na uelewa wa sheria za kimataifa ni tatizo jingine kwa wengi wetu tunaopiga makelele mitandaoni.Lakini hapo tatizo inaonekana ni inglish
Hata ukisomwa mwaka mzima hakuna chochote watakachobadilishaDP ilishindanishwa na nani? Na kimsingi tunapinga aina ya mkataba wa kishenzi.
Hii spinning yenu imefeli, tunalikumbusha kanisa katoliki kuwakumbusha maparoko wote waraka uendelee kusomwa kwenye parokia zote kwa wiki tano mfululizo.
Kabudi aliunda mkataba gan kwani?Muulize kabudi akisaidiwa na mruma waliounda mikataba hiyo.
Unafikiri tumesahau mikataba ya kujimwambafai ilikuwa ya kijinga?
Hivi kwanini waandishi hawamuulizi kabudi na mruma, vipi wanahenyeshwa icsid?