Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

INASIKITISHA MAASKOFU WANAACHA KONDOO WANATAWANYIKA KWA WAO KUKOSA MAARIFA SASA ONA AIBU WANAYOIPATA KWA KUWADANGANYA WAUMINI? YAANI NI SAWA NA MCHUNGAJI KULA KONDOO AIBU KWA TEC
 
DP ilishindanishwa na nani? Na kimsingi tunapinga aina ya mkataba wa kishenzi.

Hii spinning yenu imefeli, tunalikumbusha kanisa katoliki kuwakumbusha maparoko wote waraka uendelee kusomwa kwenye parokia zote kwa wiki tano mfululizo.
AIBU NAONA MIMI KWA UJINGA WA HUO WARAKA
 
IGA===Inter Government Agreement.
Whereas all contracts are agreements, not all agreement are contracts. An agreement is therefore, not necessarily a contract
Intergovernmental "Agreement"(IGA)

Host Government "Agreement" (HGA)

Agreement ipi ni "Mkataba" na ipi ni "makubaliano"😂😂😂

Kwa elimu ya kawaida hapo kweli ni shida...Wale wa "law school"wanalijua hilo💪🇹🇿👍
 
Umeishia darasa la ngapi? Kama unasubiri mkataba wq DP ufutwe mwambie Mungu akuchukue tu maana nakuhakikoshia haufitwi
Wewe ni mwizi pamoja na wenzio muda sio mrefu mahakama itatamka mkataba haufai na ulikiuka sheria za nchi hatimaye mtaipata adhabu ya JALALIukiwemo wewe chawa-kunguni
 
Unakamuliwa kinyelo
 
Kanisa Katoliki lina nguvu sana aisee.Haya yote ni matokeo ya ule waraka.Waraka haupoi.Ukilala unakereketa ukiamka unakereketa.
 
Sasa chawa kanisa linanufaika vipi na ishu bandari.
Misamaha yote ya kodi ipo chini ya mamlaka ya mapato bandari haihusiki
 
Mwarabu kapata hasara ya kuliwa kishika uchumba na wajanja bila kuangalia gia ya kuingilia je Hela alizowapa kina mwijaku,baba levo watarudisha? Bandari ndio keshaikosa hio.
Aende akaendeshe ya Zanzibar
 
Ninauhakika kabisa wew akili yako ni ndogo sana ukilinganisha na hao jamaa waliotoa huo walaka., pia nina uhakika hujuwi historia na siasa za Taifa hili kwa undani.
Nina uhakika kuwa walioutoa huo waraka kwa sasa wanaona aibu baada ya tangazo la TPA la jana. Nina uhakika hujui kuwa upo msemo usemao ujanja mwingi mbele ni kiza.
 
Lord Denning unashindwa kutambua kwamba, tangazo la TPA ni matokeo na itekelezaji wa waraka wa maaskofu. Hii ni kinyume na mkataba wa DP world.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…