Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Baada ya TPA kutangaza tenda kuhusu uwekezaji Terminal 2, Bado mnaamini Bandari zote zimeuzwa?

Uingereza walimpa baadhi ya bandari zao, Antwerp wamempa pia. China yupo pia.

Vipengele vya kipumbavu kama upeo wako ukiwa mdogo lakini kama ni mwelewa huu ni bonge la mkataba, na wengi wetu tunasema kwa kukaririshwa tu kama kasuku, hatuna huo uelewa mpana wa hicho kilichoandikwa.

Meli nyingi duniani zinampa uwezo wa kutawala shorobo mbalimbali za kibiashara, zinampa uwezo wa kufikisha biidha katika nchi mbalimbali na hivyo kuondoa gharama za usafiri zinazochangia ongezeko la ugumu wa maisha.
Ujinga umeusomea wapi maana umetisha sana🤣🤣 au ni kipaji?
 
Unajuaje TPA hawakwenda kuomba ruksa ya kutangaza tenda kwa mmiliki wa bandari wa sasa kama IGA inavyojieleza??
Hakuna kitu kama hicho. mmiliki wa sasa anayo mipaka ya umiliki wake na hana mamlaka yoyote ya kumpangia TPA cha kufanya.

Upotoshaji umefanikiwa kuchota akili zetu. Ni sawa na kuamini kwamba mtu uliyempangisha nyumba yako anao uwezo wa kukuambia usimlete mpangaji mwingine na kuanza kukuletea masharti wakati anaishi pale kwa kodi yake.
 
Uingereza walimpa baadhi ya bandari zao, Antwerp wamempa pia. China yupo pia.

Vipengele vya kipumbavu kama upeo wako ukiwa mdogo lakini kama ni mwelewa huu ni bonge la mkataba, na wengi wetu tunasema kwa kukaririshwa tu kama kasuku, hatuna huo uelewa mpana wa hicho kilichoandikwa.

Meli nyingi duniani zinampa uwezo wa kutawala shorobo mbalimbali za kibiashara, zinampa uwezo wa kufikisha biidha katika nchi mbalimbali na hivyo kuondoa gharama za usafiri zinazochangia ongezeko la ugumu wa maisha.
Yani kutoendeleza bandari nyingine,kumpa favour kabla ya kutangaza uwekaziji wowote ni bonge la mkataba em ngoja unatetea mkataba au unamtetea sa100
 
Ndicho kipo kwenye mkataba?
Amini kilichoandikwa kwenye hiyo barua kwamba, anatafutwa muendeshaji wa gati namba nane mpaka kumi na moja, wa gati namba tano mpaka namba saba ndio huyo DP World.

Mengine mengi unayoyasema ni kuzinguana tu.
 
IGA INASEMA UNATAKIWA UOMBE RUKSA KWANZA KWA DP WORLD NA OMBO LAKO LIKUBALIWE. Ndio maana nasema TPA watakuwa waliomba ruksa kwanza🤣🤣🤣🙈
Kifungu gani cha IGA kinasema unatakiwa uombe rukhsa kwanza?
 
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.

Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.

Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.

Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.

Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.

Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.

Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!


Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.

Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?

Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.

Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.

Tumsifu Yesu Kristo!

Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Hii Ni wa kuzuga watanzania walivyo wajinga.yaani hapo dp world watakuja kwa jina lingine watapewa utashangaa Tena. Yaani mfumo wa nchi Ni wa kisenge mno yaani watu wawili wanaamua hatima ya watu milioni Mia kidogo. Ilitakiwa kila mahala pawe na wakuu wake waweze kujiamulia raslimali zao ziweje
 
Tanzania hakuna wa kumuamini sio Serikali wala huo Upinzani kinachofanyika ni kutengeneza content tu za kisiasa ili mataifa ya nje yaendelee kuwaneemesha kwa kigezo kwamba wanafanya Demokrasia. Kiukweli Bara la Africa halihitaji mfumo ambao unatokana na mawazo ya watu wa nje
 
Screenshot_20230831-164523.png
 
Amini kilichoandikwa kwenye hiyo barua kwamba, anatafutwa muendeshaji wa gati namba nane mpaka kumi na moja, wa gati namba tano mpaka namba saba ndio huyo DP World.

Mengine mengi unayoyasema ni kuzinguana tu.
Ko mkataba umefutwa au?😂😂😂
Nyie nikwenda polepole mnataka kupindua meza kibwege
 
Hapakuwa na sababu ya kumshindanisha na mtu yoyote. Anamiliki meli 400 zinazozunguka dunia nzima, nitajie mshindani wake mwenye wingi wa meli zenye kufikia angalau nusu tu ya hizo 400.

Anaendesha bandari za Uingereza, China na Ulaya nzima, ni mzoefu sana wa end to end logistic chain ambayo kisasa ndio maana mpya ya neno PORT.

Kwa suala la vigezo kawazidi wengi sana. Kanisa limechemka vibaya kuja na waraka wakati walikuwa hawajui kwa kina malengo ya serikali ni yapi.
Utaratibu unahitaji mwekezaji apatikane baada ya ushindani, hizi sifa ulizomwagia bado hazitoshi kuhalalisha ukiukwaji wa taratibu na sheria.
 
Kwa wachache tuliobarikiwa kuielewa vizuri nchi hii na jamii yake pamoja na siasa zake tunaposimamia jambo kwa maslahi ya taifa naomba tuheshimiwe na tueleweke vizuri.

Kwa miezi 2 sasa kuna kikundi cha wanasiasa na viongozi wa dini, kwa maslahi binafsi na kutumiwa na watu ambao kila siku wamekuwa wakineemeka kwa michezo yao michafu wanayoifanya kwenye njia zetu kuu za uchumi walianzisha maneno kuwa Bandari zote za Maziwa na Bahari ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam zimeuzwa kwa waarabu.

Kikundi hichi cha watu kilisambaza maneno haya nchi nzima huku kikisema kuwa Bunge letu limeshurutishwa na Rais Samia kuuza Bandari zetu na hivyo linauza nchi.

Kwa wachache tunaowajua vizuri tulisema kuwa haya maneno ya hawa watu hayana ukweli wowote ule ila ni hila za watu ambao wamekuwa wakineemeka kwa kuifisadi nchi yetu kupitia Bandari ambao wanatunga maneno ili ku sabotage nia nzuri ya Rais katika kuleta mapinduzi ya kiuchumi kupitia njia zetu kuu za kiuchumi ikiwemo Bandari.

Tuliosimamia ukweli huu na kukataa upotoshaji wa kundi hili la wanasiasa na viongozi wachache wa kidini tuliitwa majina yote eti tumehongwa, mara sisi ni chawa wa Rais Samia.

Kuna mzee mmoja aliwahi kuniambia kuwa, ukweli una tabia moja, unatembea taratibu sana ila uzuri wake ni lazima tu ufike mahali pake.

Baada ya Mamlaka ya Bandari kutoa tangazo la kukaribisha maombi ya uwekezaji katika Terminal 2 ya Bandari yetu ya Dar es Salaam sasa nimeamini rasmi maneno ya yule mzee.

Kilichonifurahisha ni kwamba, baada ya tangazo hili la Bandari, Sijasikia maneno yale ya wale wanasiasa pamoja na wale viongozi wa dini hasa TEC kuwa Rais kauza Bandari ya Dar es Salaam au Bandari zote kwa waarabu!


Wale watu waliokuwa wanasema kuwa Bandari zetu zimeuzwa wameufyata kimyaaaaaa na siwasikii wakisema neno lolote lile zaidi ya kuhamisha magoli saivi wameanza kuzungumzia kampuni ya Adani.

Wale waliokuwa wanasema tumeondoa our National Sovereignty kwa kuwapa Bandari yetu Dubai ndo siwasikii kabisa sasa sijui wamelala usingizi wa pono hawajaona hili tangazo la TPA?

Napenda kumaliza kwa kusema
Tanzania kuna kundi maslahi ambalo limekuwa likinufaika kwa ujinga wa Watanzania. Kundi hili ni zito na lina wanasiasa na watu wa dini pia.

Endapo msiposimama na Serikali kuiunga mkono katika kuleta mapinduzi ya kweli ya kiuchumi, nchi yetu itakuwa maskini hadi ukamilifu wa dahali.

Tumsifu Yesu Kristo!

Nakala kwa
The Boss FaizaFoxy GUSSIE
Hiyo tenda haitakaa itekelezwe. Huo ni mpango wa kupotosha watu au kuhalalisha DPW kupewa bandari zote. Kwanini hawakutangaza ile waliowapatia DPW?


Unafiki utawaua ,😂
 
Back
Top Bottom