Baada ya vyombo vya habari vya nje kutangaza, nimeamini rasmi kwamba ni hujuma

Sahihi kabisa
 
Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha Kuna Amani gan wakati watu wanapotea/Wanatekwa sana. Na Sirikal ipo kmyaaa.

Sasa nimeamini kweli maadui zetu si watanzania, bali mabeberu wakishirikiana na chadema,
Watanzania kuweni makini na amani iliyopo, tukiiharibu ndio furaha kwa maadui zetu

Kuweni makini sana
Kuna Amani gan wakati watu wanapotea/Wanatekwa sana. Na Sirikal ipo kmyaaa.
 
Case ya Ben Saa 8. Ina miaka mingap.....?
Case ya Tundu lissu ina miaka mingap...?
Au bado uchunguzi unafanyika.....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…