Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote sababu ya attention, 🤑💰💲💸Habarini,
Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).
Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x
View attachment 3139608
View attachment 3139609
Alaa kumbe umeenda kwenye page ya fb ya Alan mastory kuona iyo video, aloo Yani kama umeiangalia iyo video ulichoki-experience, hata mm nimeki experience, Yani nlivoiona nlianza kuhema juu juu sababu ya kuwaka tamaa, kama vile ni mara yangu ya kwanza kuona video za hivyo, wakati naziona kila siku kwenye smart Suleiman hussein noroh nzalendoNimemzoom kwa nyuma mpaka mapigo ya moyo yameenda mbio wachezaji wa miguu yote wamekuwa wengi sana
ngoja na mie nikaone nifaidi 😊Alaa kumbe umeenda kwenye page ya fb ya Alan mastory kuona iyo video, aloo Yani kama umeiangalia iyo video ulichoki-experience, hata mm nimeki experience, Yani nlivoiona nlianza kuhema juu juu sababu ya kuwaka tamaa, kama vile ni mara yangu ya kwanza kuona video za hivyo, wakati naziona kila siku kwenye smart Suleiman hussein noroh nzalendo
Uko sahihi 100%Tukubali tukatae, Wabongo wana ulimbukeni wa mitandao.
Content Creator mwambie aje na maudhui tofauti na ngono uone anavyotoa macho.
Kwahiyo wewe ungemuomba nini?Habarini,
Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).
Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x
View attachment 3139608
View attachment 3139609
Huwa nawazaga hili, hawa wengine wanaweza kuwa sio watu, mbona hatukutani nao mitaani?Wengine SI watu.Wengi watoto wa Malaika walioasi.
Apa umetakakusemajeNimemzoom kwa nyuma mpaka mapigo ya moyo yameenda mbio wachezaji wa miguu yote wamekuwa wengi sana
Kwaiyo isiwe hivo🤣Ila mi huwa nashangaa harusi, yaani watu wanajua kabisa binti yao ataenda kunyanduliwa kikamilifu ukumbi mzima wanajua hilo. Naona kama ni uhuni uliohalalishwa