Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 2,406
- 8,039
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigo wa huyo mdada umeuonaje, kwa nlivomuelewa huyo mdada, ni kama anawaambia watu kuwa yeye anapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile academiazSoft 0654238234Nimepita kwenye hiyo page na mojana comment nikaona nisiiache bali niilete ni hii hapa
View attachment 3139677
Mmh nlivomuelewa huyo mdada ni kama anawaambia watu kuwa yeye anapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile BUKU 1 800Viewers+Kuzungumziwa na kupata Media attention
Ndio na sisi yeye tu watoto wengi wa 2000 wanapenda huo mchezo wa kuchezesha samadiMmh nlivomuelewa huyo mdada ni kama anawaambia watu kuwa yeye anapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile BUKU 1 800
Mpaka saivi sijaamka mpaka mamlaka zinipe hakikisho la usalama wangu.... hatuwezi kuubonda mwingi vile afu tuzurure mtaani kizembeTuliubonda mwingi mkuu, sasa tunaruhusiwa kuanza kashfa kwa wapinzan🤣
Mwambie akaanze kumchunguza Mama yake, unapoenda kuchumbia mtu wa kwanza kumwangalia kabla hujaoa ni Mama mkwe ukiona Mama mkwe namna gani ahirisha mchakato haraka sana la sivyo jiandae watoto wako wa kike wote watakua sampuli ya Bibi yaoHao karibia wote ni kizazi hiki cha2000.
Kizazi hiki Watoto wameathirika na matumizi ya Arv,P2,majira nk.
Hawasikii kamwee.
Wazazi wao uzungu mwingi.kuna jamaa aliwahi nitumia clip aliyorecord direct kwenye simu.
Dada yake akiwa live TikTok. Kitu pekee alichoniuliza kama wewe una dada wa aina hii utafanyaje rafiki yangu?
Yaani clp aliyotuma haizid sekunde 17 lakn unaweza kutetemeka mwili mzima kwanza anadai yeye anatoa nyuma Kwa bei kubwa kule mbele bei chee hayo alikuwa akijibu wafuasi wake wanao muuliza kama anatoa nyuma pia!
Jamaa nilimwambia usimruhusu tu aje kwako! Usiruhusu Watoto wako waende kwakwe. Waambie wazazi Kisha mtumie hii clip mwambie asipojirekebisha basi futa udungu nae.
Umeongea fact mkuuMwambie akaanze kumchunguza Mama yake, unapoenda kuchumbia mtu wa kwanza kumwangalia kabla hujaoa ni Mama mkwe ukiona Mama mkwe namna gani ahirisha mchakato haraka sana la sivyo jiandae watoto wako wa kike wote watakua sampuli ya Bibi yao
Baba hata akiwa Chakalamu usimzingatie sana akiwa mtu wa fegi sana usimzingatie ukimkuta ni mtu wa tungi sana usimzingatie jicho lako liangalie Mama wa mkeo yupo yupoje maana tabia zake ndio tabia za mkeo
Mkuu sio mke wake ni dada yake tumbo Moja ndo alikuwa live TikTok anaulizwa nyuma anatoa na baadhi ya followers wake na akajibu ndio pamoja na dau lakeMwambie akaanze kumchunguza Mama yake, unapoenda kuchumbia mtu wa kwanza kumwangalia kabla hujaoa ni Mama mkwe ukiona Mama mkwe namna gani ahirisha mchakato haraka sana la sivyo jiandae watoto wako wa kike wote watakua sampuli ya Bibi yao
Baba hata akiwa Chakalamu usimzingatie sana akiwa mtu wa fegi sana usimzingatie ukimkuta ni mtu wa tungi sana usimzingatie jicho lako liangalie Mama wa mkeo yupo yupoje maana tabia zake ndio tabia za mkeo
Ndio hivyo mkeo anachukua tabia za Mama yake completely haachi hata 1 kwa hio make sure mama wa mkeo unamfahamu vizuri sana kabla ya kuoa la sivyo subiria kitu kizito maana tabia zote za Bibi yake zinaishi kwa Mama yake na Mama anazorithisha kwa watoto wake sasa akipata watoto wa kike anazirithisha zote ziwe njema au mbovu kwake yeye anaona ni suala la kawaida sababu ndio mazingira aliyokulia hayo kafunzwa na Mama yake aliemzaa inapokuja option ya kufunzwa na ulimwengu ameshakomaa sasa zile tabia zimekita mizizi huwezi kuzing'oa, ndio maana baadhi ya wanaume waliokosea njia wakazaa na wanawake wa ajabu wakitengana hua wanapambana kuchukua watoto wao maana kifuatacho Mama atarithisha zile tabia kwa watoto wote aliowazaaUmeongea fact mkuu
Ndio maana nimekwambia aanze na Mama yake, hizo tabia za dada yake zimetoka kwa mama yake kwa hio amdadisi Mama yake atapata jibu km ataweza kuvunja undugu na Mama yake pia sawa ila chain chanzo chake kimeanzia huko nilipokutajiaMkuu sio mke wake ni dada yake tumbo Moja ndo alikuwa live TikTok anaulizwa nyuma anatoa na baadhi ya followers wake na akajibu ndio pamoja na dau lake
Hii pia ni fact na single mother's wanasoma humu wanakuelewa vizuri unachokisemaAfu ni binti mdogo kabisa,haya ni malez ya singo mama,kuna watoto hulelewa na mzaz mmoja na kuaminishwa hakuna wengine wa muhimu zaidi ya huyo mamaake na hakuna ndugu mwingine mwenye msaada kwao kwahyo anaishi kama ana ndugu mmoja tu ambae ni mama ake,hvyo hata mjomba akiona haina shida maana yeye na mjomba wake hawana uhusiano wowote
Oky mkuu uhalisia Huwa uko hivyo. Lakini Kwa kifupi tu Mimi namjua mshikaji na familia Yao mama Yao ni mtu wa makamo Sasa Si chini ya miaka55+ Hivi. Kwa mtazamo wa Nje yule mama hawezi fanya hivyo.Ndio maana nimekwambia aanze na Mama yake, hizo tabia za dada yake zimetoka kwa mama yake kwa hio amdadisi Mama yake atapata jibu km ataweza kuvunja undugu na Mama yake pia sawa ila chain chanzo chake kimeanzia huko nilipokutajia
Huyo dada hadi kwa p.diddy anatoa?Mkuu sio mke wake ni dada yake tumbo Moja ndo alikuwa live TikTok anaulizwa nyuma anatoa na baadhi ya followers wake na akajibu ndio pamoja na dau lake
Dah kweliNdio hivyo mkeo anachukua tabia za Mama yake completely haachi hata 1 kwa hio make sure mama wa mkeo unamfahamu vizuri sana kabla ya kuoa la sivyo subiria kitu kizito maana tabia zote za Bibi yake zinaishi kwa Mama yake na Mama anazorithisha kwa watoto wake sasa akipata watoto wa kike anazirithisha zote ziwe njema au mbovu kwake yeye anaona ni suala la kawaida sababu ndio mazingira aliyokulia hayo kafunzwa na Mama yake aliemzaa inapokuja option ya kufunzwa na ulimwengu ameshakomaa sasa zile tabia zimekita mizizi huwezi kuzing'oa, ndio maana baadhi ya wanaume waliokosea njia wakazaa na wanawake wa ajabu wakitengana hua wanapambana kuchukua watoto wao maana kifuatacho Mama atarithisha zile tabia kwa watoto wote aliowazaa
Sikukaa na Ile clip Tena nilitaka niitolee Uzi hapa hapa ila nikasema huenda jamaa nae yumo humu ataniona sifai mara100 na tuna heshimiana sana. Nikaacha yule dada anatoa bana. Ni binti wa 2003-4 Hivi.Huyo dada hadi kwa p.diddy anatoa?