Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kwer kabisaMaisha yamebadilika, hayo mazingira mazuri anayoishi pamoja na kula ni gharama, wazazi wanamtegemea huyo binti awape mkate.
Na chanzo pekee kinachompa kipatio ni huo mwili.
Na hii inatokana na mabadiliko ya kidunia ya kutaka hela ndio ibadilike kuwa unga, kitunguu, chumvi, mchicha n.k; wengi hatutaki kufanya kazi za uzalishaji kama; kilimo, ufugaji n.k
🤣Sema katisha mwambaNimepita kwenye hiyo page na mojana comment nikaona nisiiache bali niilete ni hii hapa
View attachment 3139677
Wale madg waliupiga mwingiHakika ni CHANGAMOTO....pia kuna ile clip ya wale mabinti,walikuwa 6 au 7 nadhani wa Mwanza( wasikika wakisema hivyo) ,walikuwa wakipita mmoja mmoja kunako camera..yaani maneno waliokuwa wanayasema..dah ..tuzidi kumuomba Mwenyezi Mungu
Tunaomba ushahidi hata wa pichaHiyo mbona kawaida, umewahi jiuliza wale pornstars kama wana wazazi!?
Kuna huyu Mkenya anaitwa Zaawaad anawakilisha nchi yake vizuri kabisa.
Kuna familia watu wote wamepinda.Habarini,
Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).
Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x
View attachment 3139608
View attachment 3139609
Utakuwa huna experience na malezi Kuna watoto waliokuwa wanaitwa wa gatekali lakini ndo mateja na mashoga wa sasaUgly truth.
Maana mtoto mwenye malezi anaanzaje kupata huu ujasiri. Anautoa wapi yan kwanza!?
Viewers+Kuzungumziwa na kupata Media attentionDhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hujanielewa bado. Kuna kulea mtoto na kuna kumfungia mtoto. Vitu tofauti.Utakuwa huna experience na malezi Kuna watoto waliokuwa wanaitwa wa gatekali lakini ndo mateja na mashoga wa sasa
Dish halisomi mawimbiKwani wewe huna yule ndugu ambaye wote mnajua ni kichwa kibovu?
Ndiyo hao sasa!
Ukizaa na Mwanamke wa ajabu jua mtoto wake wa kike atakua wa ajabu ajabuHiki kizazi tutaona mengi
Unapoamua kuzaa na Mwanamke angalia sana mwanamke unaezaa nae gene zinaongea amekopi kwa mama yake sio kosa lakeNi njaa tu mkuu
Ukitaka kuamini angalia wanavyojiamini na kufanya ionekane kawaida binadamu wa kawaida mwenyewe common sense Kuna vitu hawezi kuvifanya kama kutega camera kujirecord anacheza akiwa uchi.Huwa nawazaga hili, hawa wengine wanaweza kuwa sio watu, mbona hatukutani nao mitaani?
Nimeichukua hii kiongoziUnapoamua kuzaa na Mwanamke angalia sana mwanamke unaezaa nae gene zinaongea amekopi kwa mama yake sio kosa lake
Mchezaji ngono wa Kenya? Hana wazazi mtoto wa jamii na jamii imemkataa sasa anajazaje tumbo lake? Njia pekee aliyoiamua ni kuvitumia viungo vyake kujiingizia mkwanjaHiyo mbona kawaida, umewahi jiuliza wale pornstars kama wana wazazi!?
Kuna huyu Mkenya anaitwa Zaawaad anawakilisha nchi yake vizuri kabisa.
Madame B tunaomba mchango wako kwenye hii madaHabarini,
Jana nilipita pita Facebook nikaona video moja toka kwenye ukurasa wa alli mastory mdada alijirekodi video akiuliza, akiwapa nafasi wanaume wachague chochote (zingatia neno chochote) cha kumuomba kwenye mwili wake, watamuomba kipi, akajionyesha upande wa mbele, huku akiuliza kama watamwomba mbele, halafu akageuka na kutingisha makalio yake na kuuliza au watamwomba hii (akimaanisha makalio) halafu akasema anavyojua wanaume watamuomba hii (huku akitingisha makalio).
Hapa wandewa wenye D mbili mmemuelewaje huyu binti? Wazazi na ndugu zake wakiona hiyo video watajisikiaje? Dhumuni la huyo binti kujirekodi video ya hivyo ni nini?
Hapa chini ni picha za screenshot ya hiyo video Mzee wa kupambania The only mrangi BICHWA KOMWE - nzalendo Extrovert Equation x
View attachment 3139608
View attachment 3139609
Sasa mafundisho SI ndo mpaka ayaelewe na ayazingatie kama asipozingatia je wewe utakuwa huna malezi ni sawa na kusema mwalimu hakufundisha pale mwanafunzi anapofeli.Hujanielewa bado. Kuna kulea mtoto na kuna kumfungia mtoto. Vitu tofauti.
Huhitaji geti kali na mbwa ili mtoto awe na adabu.
Malezi ni mafundisho na kuna watoto wanalelewa kimasikin tena uswahilini but wamenyooka kama ruler hawafumgiwi ndani.
Naomba unielewe
Inaonekana unasomaga mada za Rachael mushala, zipporah mushala na Gabriel mziray kule Facebook Am For RealWengine SI watu.Wengi watoto wa Malaika walioasi.