Baadhi ya wanawake wana mambo ya ovyo. Ebu mnishauri cha kufanya hapa kabla sijaushangaza ulimwengu

Inawezekana hata ameshaanza kumla au hapo ndio siku hiyo ametoka kumla...kwa hiyo kwenye kusherehesha maongezi ndio ikawa hivyo
 
Muwe wapole
 
Hapana anachomaanisha huyo mwanamke alikuwa anamzuga boya ili again trust baada ya hapo kitombo kiendelee kama kawa, kiufupi ndugu yetu kaoa malay*.
 
Cha ajabu nini hapo? Kamahujakuta bikra ujue umeoa mke wa watu. Ukitaka mwache na wewe uwe X wake umgongee àtakàyemuoa.
Ukikuta hamna bikra ni mke wa watu kuleni wote.
 
Mkuu njoo huku nikushauri kabla ya kuishangaza dunia ILI USIISHANGAZE ASHANGAE HUYOO ASIYE ELEWA MAANA HALISI YA NDOA
 
Umechukua demu wa watu, Kwa tafsiri ya kina kuhusu hiyo sms ni kwamba Sasa Yuko free anytime anaweza kutobolewa na yyte, maana ndoa ishakomaa tayari. Hivyo ex wake Sasa anaweza kujipakulia au tayari ashajipakulia minyama mikubwa mikubwa, Sasa hivi mnaishi kama kaka na dada. Huo ndo Ukweli ninaokuambia ndugu yangu. Wanaume wa kweli hatunaga unafiki.

NB. Haya mambo Ili uchukue maamuzi na uwe na sababu kutoka rohoni, basi at least na wewe uwe msafi kidogo ila kama na ww na mchafu to be honest itakuwa ni uonevu tu.
 
Umechukua demu wa watu, Kwa tafsiri ya kina kuhusu hiyo sms ni kwamba Sasa Yuko free anytime anaweza kutobolewa na yyte, maana ndoa ishakomaa tayari. Hivyo ex wake Sasa anaweza kujipakulia au tayari ashajipakulia minyama mikubwa mikubwa na hivyo basi ulioa mtu mpumbavu wa kiwango cha juu, Sasa hivi mnaishi kama kaka na dada. Huo ndo Ukweli ninaokuambia ndugu yangu. Wanaume wa kweli hatunaga unafiki.

NB. Haya mambo Ili uchukue maamuzi na uwe na sababu kutoka rohoni, basi at least na wewe uwe msafi kidogo ila kama na ww ni mchafu to be honest itakuwa ni uonevu tu.
 
Kama hukumkuta bikra, unahisi akifanya sasa hivi, kipi kitabadilika?
 
Soda sio binadamu kwani wewe nawe si unakuwa nguvu zako zimeisha kwa wanawake wengine?
Mwanamke asiyekuwa bikra ukimuoa ni sawa na kunywa soda iliyofunguliwa.....ukiinywa uombe Mungu tu aliyetangulia kunywa asiache sumu
 
Usimfanye chochote kwa sababu unaweza kuishia jela, mwambie tu meseji yako nimeiona, wala usibishane naye sana. ''inaonekana walishakulana''

Kiufupi, tafuta mchepuko nje mpe ujauzito maisha yasogee.​
Akaharibu tena mtoto wa watu na kumfanya mzinzi kwasababu ya mkewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…