Love Love Love...soma tena.Angekuwa ana nia ya kusaidia wenye uhitaji basi angetafuta watoto yatima wanaoteseka mitaani, ila kwa kumpoint mtoto mwenye baba na mama hapo ndo tunapotilia mashaka lengo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Love Love Love...soma tena.Angekuwa ana nia ya kusaidia wenye uhitaji basi angetafuta watoto yatima wanaoteseka mitaani, ila kwa kumpoint mtoto mwenye baba na mama hapo ndo tunapotilia mashaka lengo lake
Ukipenda boga penda na ua lake huwezi kumpenda mtoto umchukue kiujanja bila ridhaa ya aliyomleta duniani hapo hakuna love sema, just pure selfish imemfanya asijali hisia za mama mzazi kisa haijui laborLove Love Love...soma tena.
Hawa ishu yao iko tofauti na wewe unavyosema.
Huyu muhind kaanza kumlea huyo dogo tangu akiwa mwaka mmoja, Na kamsomesha hapohapo mwanza had kufikia miaka 8 ila imetokea huyo muhindi kahamisha makazi kwenda canada, Sasa kuna shida gani kwenda nae? kashazoea kuishi nae huyo dogo kama mwanae.
Hapo cha muhimu ni mawasiliano tu kati ya muhind, mama na mtoto mwenyewe.
Tatizo wanawake wengi huwa wanatumia hisia sana kuliko akili.Ukipenda boga penda na ua lake huwezi kumpenda mtoto umchukue kiujanja bila ridhaa ya aliyomleta duniani hapo hakuna love sema, just pure selfish imemfanya asijali hisia za mama mzazi kisa haijui labor
Wanawake tatizo sana yaan Sasa anamganda mtoto anaenda kusoma Canada anataka awe muuza maziwa km baba yake?Mwache mtoto aende kapate elimu bora
Wanawake matatizo sometimes ukimuuliza wewe unaweza kumsomesha Canada huyu mtoto? Atabaki kuvimbiwa midomo tu nyambafuTatizo wanawake wengi huwa wanatumia hisia sana kuliko akili.
Ndiyo hivyo!!
Ukipenda boga penda na ua lake huwezi kumpenda mtoto umchukue kiujanja bila ridhaa ya aliyomleta duniani hapo hakuna love sema, just pure selfish imemfanya asijali hisia za mama mzazi kisa haijui labor
Huwezi kumpangia mtu utashi, yeye siyo wa kwanza wala wa mwisho kuadapt mtoto ambaye siyo yatima, ni vile tu wengi hamyajui haya, uliza historia ya Utajili aliorithi Alex Kajumuro Marekani miaka hiyo enzi za Kajumuro world soccer.Angekuwa ana nia ya kusaidia wenye uhitaji basi angetafuta watoto yatima wanaoteseka mitaani, ila kwa kumpoint mtoto mwenye baba na mama hapo ndo tunapotilia mashaka lengo lake
Kuns watu wanapenda na kuufurahia umasikiniNa hawa wanaotupa vichanga vyao huwa wametoka TLP?
Hovyo, yani unadhani sisi siyo Wazazi?
Ndio maana umaskini hautakaa uishe Tanzania maana kuna umaskini unawapendeza sana.
Ni sawa na kusema kama pesa ingekuwa tamu kweli basi kusingekuwa na maskini.Kama labor ingekuwa na thamani kiasi hicho basi kusingekuwa na watoto wa mitaani na watoto kutupwa
Ana- HanaHuyu mama ana akili! Pole yake
Huyo Mama atakuja kumshukuru Mhindi kwa baadae, kuna Watanzania wamepata fursa za kuishi nje just for this kind of love.Ukipenda boga penda na ua lake huwezi kumpenda mtoto umchukue kiujanja bila ridhaa ya aliyomleta duniani hapo hakuna love sema, just pure selfish imemfanya asijali hisia za mama mzazi kisa haijui labor
Love Love Love...soma tena.
Hivi waifananisha Canada na Tz au Afrika?Una uhakika kuwa huko anakopelekwa atapata elimu bora?.Hiyo elimu bora si angepatia hapa hapa bongo km kweli watu hao wana nia nzuri?.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Hujasoma hii habari vizuri, soma tena.Kashindwa hata kuwaachia hata nyumba au chumba baba mtu akae au mama mtu,Upendo gan huo
Wewe huna akili, siyo Wahindi wote ni wa India, kuna Wahindi kwao ni Canada na wengine kwao ni Uingereza.Mnafikiri tu kwenda Canada,Ukute ni zuga tu hiyo mtoto kaenda India kuuzwa Figo. Sijui Moyo non sence.
Wewe ni Mwanaume? ukifanya maamuzi kwa kutumia hisia zako hutakaa utoboe kabisa.Hakuna upendo hapo,Hakujali hata hisia za mwanamke mwenzake?upendo gan huo
Rish Sunak ni mhindi na PM wa taifa kubwa kabisa duniani.Wewe huna akili, siyo Wahindi wote ni wa India, kuna Wahindi kwao ni Canada na wengine kwao ni Uingereza.
Mpwayungu Village popote ulipo.
Utajiri ndo nini wewe, Utajiri ni roho tu kama unayo we tajiri tayari kama huna hata urithishwe na Mark Zuckerberg utabaki kuwa maskini tuHuwezi kumpangia mtu utashi, yeye siyo wa kwanza wala wa mwisho kuadapt mtoto ambaye siyo yatima, ni vile tu wengi hamyajui haya, uliza historia ya Utajili aliorithi Alex Kajumuro Marekani miaka hiyo enzi za Kajumuro world soccer.
Tena Watanzania wengi wamechukuliwa vijijini na kuletwa mjini na kulelewa na ndugu na kusomeshwa lakini hawakutaa ili wabaki vijijini na Wazazi wasuguwe dhiki vizuri.