Baba mkwe Shahidi wa Yehova kakataa mahari ya pesa, anataka apelekewe magovi matano ya watu wazima

Kama mko tayari kupeleka hayo magovi tuwasiliane, ili niende mochuari nikuletee.
 
Shida sio kupata hayo magovi, ila hata huyo anayeoa huko inabidi atafakari tena. Mwisho wa siku ndoa itakuja kua chungu bure.
 
Mleta uzi unatafuta comments tu kupitia uchafuzi wa imani za watu

Usipende sifa za kijinga utaolewa.

Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
 
Bujibuji tunakunyang'anya kanisa soon.

Mtumiahi unawalisha watu chai kwa viwembe ni hatari kubwa🤣🤣
 
Mashahidi wa yehova ndo nini Cha mihimu mungu anaishi,yesu yupo ma sisi tupo tunaishi kwa Imani ,Yani Kuna familia za kiafrica zingine jamani wanapoteza bahati za mabinti Waoo
..sababu ya mambo yasiyokiwa na kichwa ambayo ata yesu akuyaacha duniani ,
 
Tia mimba pita ivi
 
Acheni Ujinga
Mwambieni Mpwa wenu amtie Mimba huyo Binti halafu aendelee na Shughuli zake
Watamtafuta wenyewe tu
 
Acheni Ujinga
Mwambieni Mpwa wenu amtie Mimba huyo Binti halafu aendelee na Shughuli zake
Watamtafuta wenyewe tu
Unayajua magovi au unayasikia? Wewe unayaonea kinyaa baba wa binti anayataka. Je kama sio mchawi ni nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…