Tuna kiongozi wa hovyo sana nchi anaenda kuitumbukiza shimoniMchungaji Pastor Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa Mnatuona Manyaji amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali...
Dini na "harakati" za siasa wapi na wapi ?!!!Ni mwimbaji mzuri sana. Mpaka natamani kama angeachana mazima na hizi hekaheka za kisiasa na mapambano na watumishi wenzie akajikita kwenye kuutangaza ufalme wa Mungu. Angefika mbali sana kiutumishi ila kwa sasa CCM ninavyowafahamu hakuna rangi ambayo ataacha kuona!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Paul na Sila walitiwa ndani Sasa wao wanaogopa nini?
Unaleta jeuri wakati unavunja sheria?
Nina hakika bwana huyo 'Mwakipesile' hana ajualo baina ya dola na dini zaidi ya hisia za chuki kwa Samia kama mtu."......kwa nini msitambulike na kulindwa kisheria....".
UMEMALIZA [emoji2956][emoji1732][emoji109][emoji106][emoji7][emoji1720][emoji120]
Mirembe umetoka lini ?!!!Tuna kiongozi wa hovyo sana nchi anaenda kuitumbukiza shimoni
Lonafungiwa na kufuatiwa onyo kaliAkianzisha jingine tena bila usajili?
Hakika...Nina hakika bwana huyo 'Mwakipesile' hana ajualo baina ya dola na dini zaidi ya hisia za chuki kwa Samia kama mtu.
Tunatakiwa kwenda hatua ya mbele zaidi kama serikali, ili upewe ruhusa ya kutoa huduma ya kiroho kisheria unapaswa uwe na angalau Stashahada ya Juu au Shahada ya kwanza katika Sayansi ya Dini.
Huyu kichwani pana tope zito kama weweMirembe umetoka lini ?!!!
Yaani NCHI ipotee kisa huyo mnyakyusa amepigwa mvua?...
[emoji15][emoji15][emoji15]Kanisa ni nini na Kibali kutoka kwa nani ? Kama una waumini nadhani hicho ni kibali tosha, sasa kama tutanyimana vibali au kupeana vibali katika mambo ya Imani nadhani itakuwa ni mwanzo wa kuleta tafrani..,
Kwangu Punda afe mzigo ufike...Huyu kichwani pana tope zito kama wewe
Unaongea kitoto sana,Si kweli...
Kazi ya tawala ni "kudeal" vyema tu na Kila "kisoi" awe MCHUNGAJI AMA SHEIKH......[emoji120]
Unaongea kitoto sana.Unaongea kitoto sana,
Kanisa ni nini na Msikiti ni nini ? Mimi nikiwa na Mizimu ya Mababu zangu tunakutana na wananzengo chini ya mwembe nani ni mlezi wetu na nani wa kutukataza kufanya tunachofanya ? (As far as we are concerned sisi ndio experts wa Imani yetu) na so long as hatudhuru mtu wala kuleta kero kwa wengine sioni kwanini tusifanye tunachofanya bila mtu yoyote kutuingilia (hizo ndoa zenu na vyeti vyenu vitahitajika pale tu nitakapoingiliana na utaratibu wenu)[emoji15][emoji15][emoji15]
Hakuna tafrani yoyote....
Serikali ni mlezi wa makanisa na misikiti....
Angalia VYETI VYA NDOA zilizofungwa huko halafu usiione DOLA/SERIKALI.....[emoji1787][emoji1787]
Hewaaa....Kanisa ni nini na Msikiti ni nini ? Mimi nikiwa na Mizimu ya Mababu zangu tunakutana na wananzengo chini ya mwembe nani ni mlezi wetu na nani wa kutukataza kufanya tunachofanya ? (As far as we are concerned sisi ndio experts wa Imani yetu) na so long as hatudhuru mtu wala kuleta kero kwa wengine sioni kwanini tusifanye tunachofanya bila mtu yoyote kutuingilia (hizo ndoa zenu na vyeti vyenu vitahitajika pale tu nitakapoingiliana na utaratibu wenu)
Labda huko kwenu kuna umeme, petroli, bei ya vyakula imeshuka, ajira zimeongezeka na mafisadi wanafikishwa mahakamaniKwangu Punda afe mzigo ufike...
Mzigo wenyewe ni UTULIVU ,AMANI NA USALAMA WA TANZANIA...DOLA NA WATU WAKE....
Nitukane utakavyo [emoji1787][emoji1787]
Usiwaingize wakristo katika jambo la upumbavu la "mkristo"....Ameanza kuchezea sharubu.
Huko ni kuujaribu uvumilivu wa Wakristo.
Majibu atayaona hivi karibuni.
Una maana gani unaposema "hakuna mahali..."?Hakuna mahali nyumba za ibada zitaanzishwa bila kuhakikisha uthibitisho wa kitakachukuwa kinafanyika kwenye nyumba hizo.
Kama wewe na jirani yako mtahitaji kutambulika kama waanzilishi wa Itikadi/falsafa fulani na kuhitaji kuungwa mkono na jamii yenu kwanini msimtambulike na kulindwa kisheria?