Baba wa watoto wangu watatu (kila mmoja na babake) wote wanataka kufunga ndoa na mimi

Baba wa watoto wangu watatu (kila mmoja na babake) wote wanataka kufunga ndoa na mimi

Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa miaka miwili. Tulipoteza mawasiliano.

Mtoto wa pili nilimzaa na aliyekuwa boss wangu. Alikuwa msaada mkubwa kwangu. Alisaidia hata ada ya shule ya mtoto mkubwa. Huyu bwana alipata matatizo kazini na alifungwa

Mtoto wa tatu nimemzaa na jirani yangu. Huyu kaka ndiyo kwanza alikuwa amehamia mkoa huu. Mimi nikiwa mtu wa karibu nilimsikiliza chakula na kumfahamisha mij. Nilipopata ujauzito aliamua kunifahamisha kwa ndugu zake

Baba Tatu anataka kunioa na mipango ya mahari imekamilika. Baba Mosi na baba Pili wote wamerudi na kila mtu anataka kuanzisha familia na mimi
Ohoooo angalia moyo ulipolalia
 
Tatizo kila baba anataka tumpate J4
Sky ni wewe au wamekudukua siamini kama ni kweli aisee utakuwa umeamua kutuchangamsha akili kwani wewe katika nafsi yako nani unamwona ndio atakuwa Alfa na Omega kwako kutuuliza sie ni kama unatuonea ujue
 
Chamsingi hapo jaribu kumsoma mwenye roho nzuri na ya msaada hata kwa mtoto asie wake! Kumbuka kwa yeyote utakaeolewa nae ni lazima utakuwa na watoto 2 wasio wake, Na kwakawaida wanaume huwa hatupendi kuishi na mtu alafu hapohapo anakuwa na mawasiliano na mwanaume mwingine eti kisa ni mzazi mwenzie, huwa tupo radhi kubeba gharama ila si kuruhusu mawasiliano na X wako wa nyuma. So ingia kwa yule ambae hata ukikata kabisa mawasiliano na wengine bado atawasaidia hao watoto wasio wake na kama vipi mkubaliane kabisa tangu mwanzo kuwa apende boga na ua lake, kwamba kama anakupenda kweli na awapende pia wanao ulozaa na wanaume wengine, vinginevyo mtakuja chinjana na hata kucomana moto kwa gunia 2 za mkaa!
 
Angalia ambaye yupo serious na ambaye moyo wako unampenda zaidi
 
Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa miaka miwili. Tulipoteza mawasiliano.

Mtoto wa pili nilimzaa na aliyekuwa boss wangu. Alikuwa msaada mkubwa kwangu. Alisaidia hata ada ya shule ya mtoto mkubwa. Huyu bwana alipata matatizo kazini na alifungwa

Mtoto wa tatu nimemzaa na jirani yangu. Huyu kaka ndiyo kwanza alikuwa amehamia mkoa huu. Mimi nikiwa mtu wa karibu nilimsikiliza chakula na kumfahamisha mij. Nilipopata ujauzito aliamua kunifahamisha kwa ndugu zake

Baba Tatu anataka kunioa na mipango ya mahari imekamilika. Baba Mosi na baba Pili wote wamerudi na kila mtu anataka kuanzisha familia na mimi
Olewa na mwenye mtoto mdogo
 
Ila kiukweli kabisa kuwa mwanaume Ni Raha kinoma, Embu fikiria kama usingekua Dem Muda huu ungekua unashikwa shikwa makalio na wahuni.
 
Wewe fumbua macho kumekucha!!!hakuna muoaji hapo wanataka tu kukuongezea watoto kila mmoja awe na watoto wawiliwawili kwako,,,
Hakuna mwanaume bwege atakae kubali kufuatilia X wako wote wawili,
Tega ulete mtoto mwingine
 
Mtoto wa kwanza nilimzaa na class mate wangu. Wakati huo wote tukiwa hatuna ajira. Wazazi wote walitusaidia. Ikifika wakati kaka yake alimuita Gabon akamsaidie biashara. Aliniacha na mtoto wa miaka miwili. Tulipoteza mawasiliano.

Mtoto wa pili nilimzaa na aliyekuwa boss wangu. Alikuwa msaada mkubwa kwangu. Alisaidia hata ada ya shule ya mtoto mkubwa. Huyu bwana alipata matatizo kazini na alifungwa

Mtoto wa tatu nimemzaa na jirani yangu. Huyu kaka ndiyo kwanza alikuwa amehamia mkoa huu. Mimi nikiwa mtu wa karibu nilimsikiliza chakula na kumfahamisha mij. Nilipopata ujauzito aliamua kunifahamisha kwa ndugu zake

Baba Tatu anataka kunioa na mipango ya mahari imekamilika. Baba Mosi na baba Pili wote wamerudi na kila mtu anataka kuanzisha familia na mimi

WE MTAMU SANA,NDIYO MAANA YANAKUKUTA HAYO
 
Jf mnawaogopa wale maarufu humu?:hivi angeleta mtu mwingine na huu uzi si tungekuwa tunasoma tusi la 887 sasa hivi. Nilitegemea nikute maneno kama

Malaya

Tapeli

Huna mapenzi ya kweli

Ho umezalishwa

Hoo singel mother

Mara kahaba

Vipi leo hamtukani au munamwogopa sky
Mara nyingi watu wana ku treat vile wewe unavyojiweka. Ukijifanya mcharuko tutakucharukia na sisi. Ila ukiwa mstaarabu nasi tutaenda na wewe kistaarabu.
 
Back
Top Bottom