Mama anaufungua Mkoa wa Kigoma kama ifuatavyo
Barabara zote za kuingia na kutoka Kigoma ziko under construction
Anajenga na kupanua Airport ya Kigoma(Gombe-Mahale International Airport) Kwa kupanua runway ,kujenga jengo la Abiria ,parking ya ndege na mnara wa kuongozea ndege ziruke usiku na mchana full taa.
Anajenga hospital ya Kanda ya Magharibi yenye hadhi ya Muhimbili
Muhimbili inayenga Branch ya Chuo Kikuu hapo
Anaipanua Bandari ya Kigoma
Anajenga meli Mpya 2 za Abiria Ziwa Tanganyika,anakafabati mv Liemba,Mt Sangara na kujenga meli Mpya za mizigo
Kuna tawi la BoT linajengwa
Kuna mradi wa grid ya Taifa wa umeme unaenda(Hapo uvinza kutajengwa substation kubwa sana itayopokea njia kubwa ya kutoka Kagera na kutoka Sumbawanga).
Hivyo ni vichache tuu kati ya vingi.