Bado kuna Fukuto la kwanini Samia hajapitishwa kwenye Chujio !!!

Mkurugenzi wa Tume anaweza kukata Jina la Dada Mkubwa?
Kukiwa na hoja nzito zisizokuwa na majibu. lazima afutwe tu, hata kama itakuwa ngumu kiasi gani. Huyo Jaji lazia aweke historia na kila mtu anataka kukumbukwa kwa histora, hivyo hakuna lisilo wezekana
 
kama tu haheshimu katiba ya nchi sasa ya chama c ni takataka tu kwake endeleeni kulalama
 
Acha uzushi na umbea, linafukuta chumbani kwenu?
 
Magufuli aliirudisha CCM kwa wanachama mkamuua sasa CCM iko mikononi mwa manyang'au wanafanya watakavyo.
 
Kazi kwa nani? Kwetu tushamaliza sisi. Mama ndiye mgombea wa CCM. Hayo mengine ni fitna, porojo na chuki, na hayo ni ya kawaida sana mkuu. Wala usijali, kila kitu kipo kwenye order!
 
Angekuwa bwana yule kipindi kile mapema hii na minong'ono ile ndio angekuwa affirmed ile statement famous ya dikteta na king'ang'anizi wa madaraka na presda unyefor lifetime. Asanteni
 
Kazi kwa nani? Kwetu tushamaliza sisi. Mama ndiye mgombea wa CCM. Hayo mengine ni fitna, porojo na chuki, na hayo ni ya kawaida sana mkuu. Wala usijali, kila kitu kipo kwenye order!
black skin tunashida kwenye utawala wa sheria
 
Ni hoja zenye mashiko safi, mungu ni Mkubwa kuliko yeyote yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…