Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
adiotYameshajadiliwa sasa,lamba ndimu au chumvi
Kwa mtu kama wewe na hii mentality yako basi nadhani ulistahiki kuandika hivi,lakini kwa mtu ambae anamentity ya kumkuza mtoto wake kwa kujitegemea na kuwa mpiganaji basi hawezi kuona shida kuzaa..
Insult reported. Welcome to my IGNORE LISTStaha kivipi sasa we mpuuzi!
Insult reported. Welcome to my IGNORE LISTKajamaa kameandika utopolo mtupu halafu kanajiona kajanja kweli, kumbe kapumbavu tu
Watu wanatetea mambo ya kijinga sana humu. Mama na binti kuzaa pamoja sio maadili haya.Mawazo ya kijima sana haya.
Haya maadili mnayoongelea ni maadili yapi? ya nchi gani hapa Afrika na kabla lipi kwa Tanzania hii, Mambo ya kimagharibi ndo mnaita maadili. Wao kule lazima walie na mafamily planing maana ardhi hawana tena.Watu wanatetea mambo ya kijinga sana humu. Mama na binti kuzaa pamoja sio maadili haya.
NimeelewaWas it at all worth it or even at least fair? hasa kwa hao watoto? Imagine wanaenda kuishi maisha yao yote bila baba (japo his legacy will console them) lakini nani asiyejua thamani ya baba katika malezi hasa dunia ya sasa?...
mhhh
Jenga picha mama ana miaka 45 binti ana miaka 21 wote wanakutana klinikini sawa kabisa kwasababu bado baba nipo na nasimamia majukumu yangu kikamilifu.
Sidhani kama kukutana na mama yake kliniki ni kosa kwani ata kama sio mama yake kuna watu wenye umri wa mama yake anakutana nao huko kliniki.Jenga picha mama ana miaka 45 binti ana miaka 21 wote wanakutana kliniki
Hiyo hoja ya huyo jamaa hapo juu kwangu bado haina mashiko, kufa mtu yeyote anaweza kufa hata huyo mtoto anaezaliwa leo. Lakini kwa mtu ambaye ana miaka 45 kuna shida kuendelea kuzaa. Babangu akiwa na miaka 45 mimi nilizaliwa nikiwa mtoto wa sita kwa mamangu, na waliendelea kuzaliwa wengine wengine sita.Nimeelewa
Kila mtu angekuwa anawaza hv ingekuwa vzur sana,Kuna mijitu inazaa ili mradimimi mtu anayezaa zaidi ya watoto 3 katika dunia ya sasa naona kama amekosa akili. zamani watu walikuwa wakizaa mitoto mingi kwa sababu elimu na njia za uzazi wa mpango kulikuwa hakuna, sasa hivi zipo tele, mtoto pia alikuwa akitumika kama rasilimali ya kulima shamba na kuchunga mifugo, saa hivi mtoto anatakiwa alishwe, avalishwe na asomeshwe na utengeneze future nzuri kwa kuwekeza sio waje kutembea juani wakisaka ajira
Wanakufa watoto wakiwa bado wadogo sanawazae tu hakuna shida ila wahakikishe wanawalea ipasavyo hao watoto maswala ya kufa mtoto akiwa Bado hajajitegemea wayaache.
Hahahahahaaaaa sawa mkuuMkuu acha Wivu
mhhhUtaolewa mjini hapa
Ndio hapo mkuu. Basi azae haraka kabla watoto hawajaanza kuzaaHasara ya kuchelewa kuoa halafu mtu anataka watoto 8.
You are a very responsible father. GoodAisee ebu nieleze yangu,
Mimi ninao watoto 5 nina 42yrs sasa.First borne ana 14yrs yupo form 2,lastborn ana 4yrs yupo middleclass.
Nilimwomba Mungu sana nipate watoto 6 sasa nina watano....